Rais Putin leo ameonya kuwa makombora yake ya hypersonic (hypersonic missiles) yapo tayari kuvurumishwa.
Ktk video ameonya kuwa makombora hayo ya hypersonic yasiyo na mlingano (nadhani akusudia kuwa hakuna makombora mfano wake toka kwa US na NATO) diniani tayari yameingizwa kwenye mapambano...
Trump anasema kuwa namna Rais Putin alivyotangaza majimbo mawili makubwa ya Ukraine kuwa huru, hayapo ndani ya Ukraine, ni namna ya kipekee iliyotumia akili kubwa mno (Genius).
Trump akaendelea kusema kuwa Putin anaenda ingia ndani ya Ukraine na kuwa mlinda amani..."hilo ni jeshi imara zaidi la...
Wanasiasa hufanya makosa mengi sana wakiwa madarakani. Wanapoyafanya huwa hawana uwezo wa kupima ukubwa na madhara ya wanachokusudia kukifanya. Ni pale wanapokuwa wanapokea lawama nyingi ndio hujisumbua kuangalia kwa kina namna ambavyo wangeweza kuzuia kile walichokifanya, wangefanya hivi na...
Rais Putin asaini waraka wa kuamuru majeshi ya Russia kuingia Ukraine kulinda amani ktk majimbo-yenye-uasi ya Luhansk na Donetsk
Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia amesaini tamko rasmi/ decree kuamrisha majeshi ya Russia kuingia nchi Ukraine katika majimbo Luhansk na Donetsk, ambayo...
Rais Vladimir Putin akitia saini amri (the Decree) kutambua majimbo ya Donestk na Luhansk kuwa majimbo huru. Picha na Reuters.
Rais wa Russia Vladimir Putin usiku huu anatarajiwa kutangaza majimbo ya Donetsk na Luhansk kama majimbo huru.
Majimbo haya mawili yaliyo upande wa Mashariki mwa...
Jisomee mwenyewe hapa! Siku zote vita kubwa huanzaga kama utani vile na kama haitatokea vile, lakini mwisho wa siku huwa ni mlipuko mkubwa wa vita. Hatimaye Urusi inaelekea kuchoka kuoneshwa ubabe na Marekani kwa kutishiwa vikwazo. Anadai wakiendelea kupuuza red lines zake, "liwalo na liwe"...
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amemueleza Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz kuwa nchi yake haitaki vita barani Ulaya. Viongozi hao wawili walikutana jana mjini Moscow ikiwa ni juhudi za hivi karibuni za kuepusha vita.
Putin ameelezea utayari wa Moscow wa kufanya mazungumzo na Marekani pamoja na...
PUTIN ASIFIA UHUSIANO WA KARIBU WA URUSI, CHINA
Rais wa Urusi, Vladmir Putin, leo ameyasifu mahusiano ya karibu ya nchi yake na China, katika mkutano na mwenzake wa China, Xi Jinping, kabla ya kufunguliwa kwa Michezo ya Olimpiki ya majira ya Baridi mjini Beijing.
Viongozi hao wawili...
Tunapo shereheka na Sikukuu tuwakumbuke watesekao na hata waliotokomezwa kusikojulikana.
Ni jambo la msingi kwa awaye yote akajua uonevu wowote dhidi ya wengine kwa kutofautiana mawazo au imani tu haukubaliki.
Kwao kama kwetu, binti Putin yamemkuta.
Binti kafanya yasiyowapendeza wenye nguvu...
Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.
Putin ametoa sisitizo hilo katika salamu alizomtumia Rais Xi Jinping wa China kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 72 wa kuasisiwa Jamhuri ya Watu wa China.
Katika salamu zake hizo, Rais...
Rais wa Urusi, Vladimir Putin anajitenga kama tahadhari baada ya Wasaidizi wake wa karibu kuugua Ugonjwa wa COVID19. Imeelezwa, Rais huyo mwenye miaka 68 hana maambukizi.
Kwa mujibu wa Ikulu (Kremlin) Putin kwa kushirikiana na Wataalamu alifikia uamuzi wa kujitenga baada ya kukutana na Rais wa...
Putin and Biden say talks were ‘constructive’ (msn.com)
SPUTNIK/AFP via Getty Images TOPSHOT-SWITZERLAND-US-RUSSIA-SUMMIT-DIPLOMACY
Russia's Vladimir Putin said his face-to-face talks with the US President had “no hostility” while Biden described the atmosphere of the sit-down as not...
Fahamu kwa undani maisha binafsi ya kila siku ya rais wa Urusi Vradimil Putin
Kwa kawaida Putin huchelewa kuamka na kupata kifungua kinywa
Akiwa ni mmoja wa viongozi wa dunia wenye nguvu na ushawishi zaidi na mwenye ulinzi mkali, Rais wa Urusi amekuwa akiishi maisha yanayoaminiwa kuwa ya...
Akihojiwa leo na kituo cha televisheni cha ABC NEWS Rais Biden amesema anaamini Rais wa Urusi, bwana Putin ni muuaji na atalipa iyo gharama.
Ameongeza kuwa amewahi kumwambia Putin kuwa ni mtu katili na asie na roho ya binadamu. Rais Putin amewahi kushutumiwa kwa mauaji ya waandishi wa habari...
Habari za wakati huu jamiiforums.
Unamjua "Media Tycoon" Vladimir Gusinsky? Rais Putin alimwambia "niuzie vyombo vyako vya habari, laa sivyo nitakuweka ndani mpaka ukoo wako ukusahau"
Mnamo mwaka wa 1999, kulikuwa na muungano/umoja wa kisiasa ambao uliwajumuisha Rais wa wakati huo ndugu...
Purukushani za hapa na pale zilitokea baaada ya walinzi wa Putin kukataa kuweka suitcase zao zisipite kwenye scanner, inasemekana kwamba suitcase hizo zilikuwa zina code za siri za silaha za nuclear za Russia.
Inasemekana kwamba baada ya walinzi hao wa karibu kabisa wa Putin kufika eneo la...
QUANTUM IMMOTALITY
Wasaalam
kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"
kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.
Tumejifunza vingi sana...
Warusi walitangaza mapema kabisa kwamba wamepata " Vaccine" dhidi ya COVID-19. Na huyu mwamba Putin akasema binti yake moja amepata hiyo chanjo na iko poa. Yeye mwenyewe amekwepa kupata chanjo kwa visingizio kibao.
Sasa Obama, Bush na Clinton wao wamesema watapata chanjo ya covid 19 na ma...
Vladimir Putin described the Kremlin's decision not to congratulate Joe Biden as "a formality" with no ulterior motives.
Russian President Vladimir Putin said he's ready to work with any U.S. leader, but still isn't ready to recognize the election victory of Joe Biden.
"We will work with...
Inakuwaje wanajamvi!
Kuna tetesi huenda mwamba Strongman Vladimir Putin Rais wa Urusi akastaafu Urais mapema 2021.
Inasadikika Putin 68, ameanza kuonyesha dalili za Parkinson na kuleta wasiwasi Kremlin na kusababisha sheria za haraka haraka zitungwe awe na kinga ya maisha.
Aidha mpenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.