rafiki yangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ben Zen Tarot

    Unapo-chat na girlfriend wako kwa style hii

    Wewe:Oya! Yeye:Niambie! Wewe:Mzima? Yeye:Mimi mzima wewe je Wewe: Niko poa Yeye:Okay KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII: Jamaa:Mambo mrembo wewe Msichana:poa mzima wewe? Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe...
  2. Mohamed Said

    Buriani Rafiki Yangu Waziri ''Maestro" Ally

    BURIANI RAFIKI YANGU WAZIRI ''MAESTRO'' ALLY Hakika sisi ni wa Allah na kwake ni marejeo yetu. Kifo hakizoeleki hata kidogo. Nimepokea taarifa ya kifo cha rafiki yangu Waziri kwa mshtuko mkubwa. Nimejuana na Waziri mwaka wa 1979 wakati huo mimi mwanafunzi Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM)...
  3. Mohamed Said

    Buriani rafiki yangu Wendo Mwapachu

    Buriani rafiki yangu Wendo Mwapachu! Leo jioni katika makaburi ya Kisutu tumemzika Wendo Mwapachu. Nimemjua Wendo kwa kujulishwa kwake na Ted kama tulivyozoea kumwita. Ted sasa hivi Chief Edward Makwai wa Siha ndiye aliyenijulisha kwake. Wao ni ndugu wa damu na ni siku hiyo hiyo nilimjua...
  4. Fohadi

    Kuna kubwa la kujifunza kupitia huyu rafiki yangu...

    Miaka 4 iliyopita nilikutana na huyu jamaa. Ilikuwa ndani ya basi la kutoka kwetu huko nyanda za juu kusini magharibi ambako kwa wakati ule nilienda kumzika babu yangu mzaa mama (Rest in peace Grandpa). Tulipofika Morogoro, abiria wengine walishuka na kupanda wapya ili tuimalize safari ya...
  5. GENTAMYCINE

    Rafiki yangu na Rais wangu wa TFF Karia kwa yanayoendelea Uwanja wa Songea nimekusamehe ila Kosa hili lisije likajirudia tena

    Nimetoka Kumsikia Msimamizi Mkuu wa Uwanja wa Maji Maji huko Songea (Mkoani Ruvuma) utakaotumika katika Nusu Fainali ya ASFC Kesho kati ya Azam FC na Simba SC nimebaki Kusikitika na hata Kukasirika pia. Ukweli ni kwamba hadi GENTAMYCINE naandika Uzi huu hivi sasa Uwanja upo tayari kwa 75% hadi...
  6. Thomas10

    Nilivyomshauri rafiki yangu aliyeachwa na mpenzi wake

    Rafiki yangu wa karibu, aliachwa na mwenzi aliyemhudumia kwa miaka takribani sita (6) hivi. Alianza nae mahusiano binti akiwa amemaliza kidato cha nne, aliapata ufaulu wa daraja la nne (div 4 point 28) Alijitoa kumlipia ada na mahitaji mengine ya kibinadamu tangu alipoanza masomo ya ngazi ya...
  7. The Garang

    Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

    Habarini za uzima wakuu, rejeaa mada husika hapo juu. Kumekuwa na misemo mingi inayozungumzia athari za uzinzi ,mmojawapo ni "uzinzi gharama". Masaa mawili au chini ya hapo Leo tarehe 30 05 2021, roommate wangu kakoswa koswa na balaa la kufiwa na mtoto wa mwenyewe room kwetu. Ilikuwa majira...
  8. kedekede

    Najutia tukio hili: Sikuweza kumsaidia rafiki yangu akajinyonga

    Wakuu Salaam, Kama kichwa cha habari kinavyosema. Niliwahi kuwa na rafiki yangu wa karibu sana,alikuwa sio mgonjwa au sikujua anaumwa. Tulikuwa tukikutana ana tabasamu zaidi ya mimi na muda wote alikuwa anafuraha mpaka mimi alikuwa ananishauri akiniona sina furaha. Siku moja aliniambia...
Back
Top Bottom