Leo nimemkumbuka my rafiki yangu sio kipenzi kwa sababu alikuwa anakera sana.
1. Anaweza kuvaa brazia zako .
2. Kuvaa nguo zako hataka kama ni special kiasi gani .
Naakiharibu kitu anasema kwani si bahati mbaya unakasirika nini?
Halafu hupenda sana kulalamika bila sababu.
3. Hapendi wewe ukiwa...
BURIANI RAFIKI YANGU WA UDOGONI IBRAHIM MUSSA PAZI
Nimesoma taarifa ya kifo cha Ibrahim Mussa Pazi nikiwa katikati ya Bahari ya Hindi nikitokea Zanzibar kurejea Dar es Salaam.
Ibrahim tumekuwa sote udogoni tukicheza mpira Saigon.
Huu ni mwaka wa 1966 umri wetu haujapita Miaka 15.
Leo...
Baada ya wazazi wake kumkataa binti ambaye alikuwa ana mipango ya kumuoa kwa sababu wazazi wanazozijua wenyewe.
Jamaa yangu sasa anakaribia kuoa kimya kimya bila wazazi na wala ndugu zake kuwashirikisha wala hawajui chochote kama anaowa na amefanya hivi sababu wazazi wake wamekuwa kikwazo...
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na nina familia tayari, pia kwenye mambo ya mapenzi nina uzoefu si haba.
Huyo girlfend wake ni mrembo wa...
Vita vya Urusi na Ukraine vimemsaidia sana rafiki yangu kuhandle mchepuko wake uliokuwa unakidomo Domo unaotaka kuharibu ndoa yake.
Alifanyiwa kila kitu na rafiki yangu huyu mchepuko mpaka kanyumba na kagari akapewa, Ila ameleta shida katika ndoa ya jamaa Sasa amepigwa vikwazo vikali...
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.
Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika...
Salaam enyi watu wa Mungu, bwana weeh mi nna mshikaji wangu mmoja,ni rafiki haswa tangu huko shule ya sekondari miaka takribani miaka kumi,hivyo tunaelezana mambo mengi tu binafsi.
Sasa siku ya siku bwana,nilikuwa nae jamaa pamoja na kaka yake,ambaye kimsingi naye ni rafiki yangu ila baada ya...
Huyu ni rafiki yangu Nimesoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao...
"Am sorry Dear I know una nia...
Poleni na majukumu wakuu.
Nipo kwenye mahusiano ya kirafiki na binti mmoja hivi kwa miaka mitatu sasa. Ni binti ambaye tunaelewana sana karibu kila kitu. Tunasaidiana, tunashauriana, tunapendana, tunaheshimiana sana kama marafiki, lakini zaidi tunaongea kuhusu kila kitu.
Kilichonifanya...
Habari Wana jukwaa...
Kuna rafiki yangu kauziwa simu ya wizi yeye alinunua huko Makumbusho polisi wameitrack wakamkamata ila akawapeleka aliponunua wakamkamata pia aliyemuuzia wakaenda kumweka ndani ili aseme kaipata wapi ndipo akawapa number za aliyemuuzia.
Wakamfatilia wakajua yupo Mtwara...
Habari Wakuu!
Kukaa miaka mitano tuu ndio ujifanye Mzungu?
Kukaa miaka mitano tuu ndio ushindwe kuongea Kiswahili bila kuchanganya na kimombo?
Ati mjanja! Ati anajiita Civilized, Mpuuzi tuu!
Kitu kidogo utasikia; yaani wabongo hampo civilized! Mara ataje Ridiculous! Na msamiati mingine...
Habari zenu wakuu, rafiki yangu wa mafia ananiambia hivi.
Mimi nimezaliwa na kukulia kisiwani mafia, shuleni kwetu tangia naanza darasa la awali mpaka namaliza darasa la saba, hapakuwahi kuwa na mwanafunzi mkristo, sote tuliwa wa imani ya uislamu. Aliwahi kuja mwalimu mmoja wa imani ya ukristo...
Huyu rafiki alioa mke wake toka kijijini.
Mwanamke alikuwa anampenda Magufuli na sera zake balaa
Ilivyotokea Magufuli anasema tuzae elimu ni bure,fyatueni tu watoto ,huyu shemeji yangu akamsikiliza
Miaka nane ya ndoa wana watoto watano maisha magumu ,jamaa anataka kukimbia familia
Ilikuwa ni jumamosi moja tulivu, nikiwa na watu wangu kadhaa tuliosoma wote shule ya msingi tuliamua twende kwenye pori moja lililo kilometa kadhaa kutoka kwenye kijiji ambacho kwa umoja wetu (tuliomaliza pamoja shule ya msingi) tuna shamba ambalo tulinunua kwa pamoja.
Basi tukanunua vinywaji...
N i aina ya wale watu ambao kitendo ha masikio yao kusikia mziki unakita basi mwili utashawishika kucheza.
ni age mate, ana miaka 31, tunafanyia kazi shirika moja la kiserikali ila yeye alihamishiwa kituo kingine, kwa hio sikua nae karibu kwa mwaka hivi zaidi ya kuwasiliana kwenye simu...
Imetokea jana jamaa katoka chimbo usiku kamkuta wife wake juu ya kifua cha katoto
wife hakujua jamaa anarudi siku hiyo.
Kinacho nishangaza ni kwamba mke wa rafiki yangu ana mimba kubwa tu.
Jamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo...
Labda mimi ndo nina mtazamo hasi, huyu rafiki yangu Nakaa naye ghetto moja, Ingawa vyumba tofauti, Ana mchumba wake aliemaliza chuo Mwaka huu, huyu kidume ameajiriwa, ni mwalimu wa sekondari.
Kiukweli huyu jamaa anampenda sana huyu mdada, na ana malengo na huyu mdada, na ashamtambulisha huyu...
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni hakuna laana.
Aisee Nina rafiki yangu zaidi ya ndugu yaani tumeshibana hasa hasa hakuna Jambo linaweza tokea la kutugombanisha tushindwe kutatua.
Huyu jamaa yangu anafanya kazi mkoa mwngn Ila jirani na mkoa niliopo na nilipo Mimi ndipo familia yake...
Habari zenu wakuu!
Bila kuwachosha naomba niwaeleze hii kitu,Kipindi naajiriwa (gvt)nimekuta watu wengi tu pale aliwepo mshikaj mmoja ambae alikuja kuwa mshikaji wangu sana.Baada ya kuzoeana sana nikamshauri akaongeze elimu (degree)na kwel baada ya miez kadhaa jamaa kaondoka kwenda Dom chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.