Niende moja kwa moja kwenye mada, kifupi mie nakaa Jiji la mzee Amos makalla na nimebahatika kupata kibanda sasa hapa mtaani. Kuna bi mkubwa flani ambae mwanae wa pili licha ya mie kumzidi umri sana ila ndio mshikaji, maana hiyo mwanae ni mtu wa mambo ya mipira na mie napenda mpira na huwa...
Baada ya muda mrefu kuishi kibahili bahili licha ya kuajiriwa taasisi yenye mshahara na posho si haba, Rafiki yangu kaweza kukamilisha nyumba yake.
Hapo majuzi alienda kumuaga mwenye nyumba kwamba nae amejenga na ni muda sasa umefika nae aende kuishi kwenye nyumba yake, Lengo lilikuwa ni kuaga...
Leo naomba mumsaidie rafiki yangu kumshauri, mimi ni nimeshashauri kwa upande wangu lakini nataka kuona fikra za watu zaidi.
Jamaa ana mke na watoto, hivi karibuni kaka yake alipoteza kazi ndugu wakamuomba asaidie kulea mtoto mmoja ambaye alikuwa kidato cha pili. Jamaa alimshirikisha mke wake...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.
Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo nimeyaishi na kuyapitia kama mwanadamu.
Simulizi yangu ya kwanza kabisa hapa JF imefahamika kama...
Wanajukwaaa wazima nyie?
Kiasili mimi ni mzaliwa kutoka Nyanda za Juu Kusini ndani ya Mkoa flani hivi. Elimu yangu niliipata mkoa wa Kaskazini (Kilimanjaro) kuanzia kidato cha pili hadi Chuo nilisoma kule baada ya maza kupata kazi Kilimanjaro.
Nilibahatika kupata Rafiki yangu ambaye amekuwa...
Siku moja nipo Mikocheni nikapigiwa simu na mtu mmoja anaongea kigogo, akaniambia sogea pembeni hapo kuna kelele, akaniuliza unajua unaongea na nani, nikasema mpaka hapa nishaelewa wewe ni Rais Magufuli, akaniambia uko wapi nikamwambia Mikocheni akasema kaa hapo hapo namwagiza mtu aje...
Sitaki unafiki, ntampa rafiki konekshen ya kazi kwa masharti mawil tu:
1. Nikisikia kuna nafasi ndani ya sehemu nayofanya kazi ila haiingiliani na ofisi ama kitengo changu ninatoa koneksheni, mfano mimi nipo ofisi ya ufundi kuna nafasi ya ufagiaji ama udaktari nitasaidia, nafasi hizi...
Nahisi baba mwenye nyumba yupo hatua 5 mbele zaidi kuliko rafiki yangu.
Ipo hivi, rafiki yangu kapangisha kanyumba kadogo anaishi na mke wake, kwenye kiwanja kuna nyumba ndogo mbili, nyumba nyingine kuna mpangaji mwengine ila hua anasafiri sana.
sasa mke wa rafiki yangu alijifungua kama wiki 2...
Kwa Rhumba hili Kali 'Se Yo' lake Fally Ipupa 'Decaprio" itoshe tu kisema Shikamoo Fally Ipupa popote pale ulipo.
Mpinzani wako mkubwa Ferre Gola ana Kazi ya ziada ya Kukujibu kwani ni Wimbo mtamu, mzuri, umepangika na umeutendea haki na Sauti yako ya Dhahabu.
Rafiki yangu wa siku nyingi Salvanus Kamugisha ni mtu tuliyeshibana.
Licha ya sote kutoka kanda ya ziwa lakini misimamo yetu kimaisha ilikuwa inalingana.
Kwa miaka mingi tatizo la Salva lilikuwa langu na la kwangu lake.
Hivyo basi jana jumamosi jioni nilipomkuta anakata bia mbimbili za mnyama...
Wakuu mmebarikiwa.
Iko hivi, kuna kazi nliipata mikoa ya Kanda ya Ziwa na nlitegemea kupata pesa nyingi sana ila kwa bahati mbaya mambo yamekwenda tofauti kabisa.
Wakati nafika huku nilikutana na rafiki yangu ni mchungaji nilimuahidi nikipata pesa hizo nitamsupport kifedha kwenye huduma ya...
Kawa kama zombi
Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu...
Nina rafiki yangu wa muda mrefu tu na wala hatujawahi kuwa na tatizo, isipokuwa tu akivua viatu yaani chumba huwa kinajaa harufu kali. Ila yeye wala haonagi noma!
Nitawezaje kumjuza bila kumkwaza?
Iko hivi, nina mshkaji wangu peace sana tunaelewana mtu wa kazi kazi.
Nayeye ana mshkaji wake sasa ilitokea wakagombana kisa mikopo maana mwana alienda kopa na mwana ndio alimdhamini. Sasa kwenye marejesho mwana kala chocho, hivyo msala ikabidi mshkaji ausolve ukaisha. Ghafla mwamba huyu hapa...
Mara nyingi sana huwa nikisikiliza nyimbo ya BUSHOKE na JULIANA KANYOMOZI " usiende mbali ". Huwa anamkumbuka rafiki yangu JAMES mapenzi tu ndo kilikuwa chanzo cha kifo chake.
Jamani tunatakiwa tujue maisha mafupi sana haya lakini kuna mtu anaweza akayafanya yakawa maisha mafupi zaidi kwako
Au...
Rafiki yangu tuliyesoma wote yeye yupo kwenye mahusiano na mwanamke kutoka Arusha ingawa bado hawaja tambulishana kwa ndugu na wazazi mpaka sasa.
Rafiki yangu amekuwa akiniomba ushauri sijui namsaidiaje, anadai kuwa anampenda sana huyo binti nae binti halikadhalika, tatizo kubwa ni kwamba huyo...
Stori yangu itaanzia pale ambapo tulikutana mwaka 2017!
ilikuwa kiwanda cha Pepsi- Vingunguti Jijini Dar es Salaam mwaka 2017 wote tulikuwa vibarua na ndipo tulifahamiana hapo, Mwaka 2018 huyu jamaa aliomba mkopo na kupata chuo Udom Jijini Dodoma.
Alisoma mwaka wa kwanza, nakumbuka akiwa...
"Ahsante sana RAFIKI YANGU wa mtandaoni."
Hii ni special kwako wewe rafiki yangu wa mtandaoni. Rafiki yangu ambae mitandao ya kijamii imetufanya tuwe karibu zaidi kama watu tuliopitia historia moja ya maisha.
Tangeni, Mzumbe - Morogoro ndipo nilipozaliwa na kusoma shule ya msingi kabla ya...
Kuna papuchi nimekuwa nikiifukuzia na kuiomba kuichakata ni mwezi wa tano sasa. Juhudi zangu zote hazikuzaa matunda mbali na kuhonga sana, kutumia muda wangu ipasavyo.
Katika harakati za kukata tamaa, binti wa watu akaniahidi kunifanyia surprise! Siku ya juzi usiku, kwa mara ya kwanza, binti...
Zilikuwa tetesi ila kumbe ishakuwa kweli na juzi nilikuwa Uganda majamaa zangu kibao wakawa wananitext WhatsApp kuwa lile jambo tulilokwambia nileo Mariam anaolewa na Hasani. Nikasema sio kweli, jioni naona meseji na picha za ndoa ya mkeka zinamiminika kama maji ya mtoni.
Tahadhari. Adui wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.