raila odinga

  1. C

    Raila aokota Dodo kupitia Gen Z

    1. Raila Amollo Odinga kupitia ODM ameokota Dodo kwenye mti wa mpera kwa Viongozi wa Chama chake Kuteuliwa nafasi za uongozi kwenye serikali ya Kenya. Huku Gen Z wakiendelea Kula vumbi Kibera na Mathare slums. 2. Ruto akiteua girlgriend wake kuwa Waziri. 3. Poleni Gen Z, poleni Kibera, hizo...
  2. J

    ODM yaondolewa kwenye Umoja wa Azimio, Raila Odinga atimuliwa Kilonzo Musyoka Mwenyekiti Mpya!

    Baada ya Viongozi wanne wa ODM kuingia kwenye cabinet ya Kenya Kwanza maana yake ODM siyo Chama cha Upinzani tena hivyo kimeondolewa kwenye Umoja wa Azimio Source: Citizen TV Mlale Unono 😀
  3. J

    Chadema fuatilieni kinachoendelea ODM baada ya Odinga kuridhiana na Rais Ruto, mtakuja kunishukuru baadaye

    Kuna Mjadala mkubwa unaendelea kwenye Chama kikuu Cha Upinzani nchini Kenya ODM Nusu Mkate ya Baraza la Mawaziri imeigawa ODM kiasi Cha kutishia Usalama wake Chadema wameomba Nusu Mkate 2025 Ndio sababu nawashauri wajifunze faida na hasara zake sasa kupitia ODM Nafuatilia Mjadala Citizen TV...
  4. Black Butterfly

    Raila Odinga apinga wanaoshinikiza Ruto ajiuzulu Urais

    Kiongozi wa Upinzani chini ya Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amekosoa shinikizo la Waandamaji wanaotaka Rais William Ruto ajiuzulu akieleza hatua hiyo haitakuwa na mabadiliko yoyote katika Serikali. Akizungumza na Wabunge wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM)...
  5. M

    Raila retreats from Ruto deal amid backlashes

    Proposed political deal with President William Ruto, as his coalition partners reject the plan for a government of national unity. Wiper party leader Kalonzo Musyoka has joined other Azimio la Umoja principals in firmly rejecting the planned national dialogue, throwing a wrench into Ruto's...
  6. Tlaatlaah

    Baada ya kuwatuliza Gen Z, mfalme wa siasa za Kenya Dr. William Ruto aanza tena siasa za majukwaani na ni dhahiri atashinda tena Urais 2027

    Washirika wake wa chama chake cha UDA na Muungano wa KENYA KWANZA maseneta, wabunge na magavanor bado wanamuona ni mtu pekee na muhimu zaidi katika kuwaunganisha wa Kenya na kuwaletea maendeleo endelevu katika maeneo yao. Wana Imani nae sana licha ya vijana kutaka ang'atuke mamlakani. Sambamba...
  7. J

    Raila akubali Maridhiano na Serikali ya Ruto lakini Washirika wake Kilonzo, Kijana na Karua wamtenga na kuwaunga mkono Gen Z!

    Rais Ruto atangaza siku 6 za mazungumzo ya kitaifa. Mazungumzo kujumuisha wadau mbalimbali nchini. Kikao hicho kuanzia Julai 15 kujumuisha pia vijanaRais: Kikao hiki kitaangazia mustakabali wa taifa Gen Z wamegoma kujumuishwa kwenye Kikosi Kazi cha Maridhiano na Serikali Raila Odinga akubali...
  8. BLACK MOVEMENT

    Raila Odinga ni Kiongozi wa Chama chake tangu zama za Moi, nani asiyejua Mchango wa Raila kwenye Demokrasia ya Kenya?

    Kwa siasa za Kenya Raila Odinga ndio kiongozi wa Chama chake tangu nyakati za Moi, akaja Kibaki, akaja Uhuru Kenyatta na sasa William Ruto na hakuna tatizo kabisa make anasimamia idea yake. Nani Kenya asiyejua mchango wa Raila Odinga kwenye Demokrasia ya Kenya? Mbona yeye hajawahi achia...
  9. Influenza

    Raila Odinga: Serikali ya Rais Ruto 'imeliteka' Bunge, sasa limekuwa 'hanisi'

    Azimio la Umoja One Kenya coalition party leader Raila Odinga now claims the Kenya Kwanza administration has captured the legislative arm of the government, thereby rendering Parliament unable to conduct its oversight role on behalf of Kenyans. Speaking during the burial of Phyllis Mawathe, the...
  10. B

    Tundu Lissu aweka bayana uhusiano wa CHADEMA na siasa za Kenya

    Nairobi, Kenya https://m.youtube.com/watch?v=UVkbMVnUkZw 2017 Uhuru Kenyatta na William Ruto 2015 Odinga na urafiki wake na Magufuli Odinga kuunga mkono siasa za mabavu za Magufuli Kabla ya hapo 2010 - 2012 ODM Raila Odinga Busara za Odinga Detention Siasa za kuumizana N.k
  11. Lady Whistledown

    Raila kwa Balozi wa Marekani: Kenya Sio Koloni la Marekani, Funga Mdomo wako, jiepushe na Siasa za Kenya

    Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, amemjibu Balozi wa Marekani Mchini humo, Meghan Whitman, kuwa Kenya sio koloni la Marekani na kumtaka Whitman kujiepusha na siasa za Kenya, la si hivyo Watafanya mazungumzo ili arudishwe Marekani Hii ni Siku moja baada ya Whitman kusema...
  12. benzemah

    Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini

    Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi nchini Kenya, Waziri Mkuu wa Zamani wa Nchi hiyo na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema jitihada za kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea kulitafuna taifa zilifanywa sio tu na jamii wa Wakenya peke yao bali hata Matifa jirani ambapo...
  13. BARD AI

    Serikali yaondoa Walinzi wa Raila Odinga na viongozi wengine wa Upinzani

    Uamuzi huo unakuja muda mfupi baada ya Odinga kutangazia Wananchi kuwa wajiandae kwa Maandamano ya Kimapinduzi kuanzia Julai 19, 2023, Maandamano ambayo yamepata pia kibali cha Mahakama. Kwa mujibu wa taarifa, Askari 10 wanaomlinda Odinga na wengine wanaolinda Makazi yake jijini Nairoi, Kisumu...
  14. BARD AI

    Raila Odinga atangaza kuandamana kwa siku 3 kila wiki kuanzia Julai 19, 2023

    Muungano wa Vyama vya Upinzani wa Azimio la Umoja One Kenya, umesema uamuzi huo unatokana na maombi ya Sekta mballmbali Nchini humo zinazotaka kushiriki Maandamano hayo. Taarifa iliyotolewa na Umoja huo leo Julai 14, 2023 imesema ratiba mpya ya Maandamano itahusisha siku za Kazi na itaanza...
  15. BARD AI

    Msafara wa Raila Odinga wapigwa Mabomu ya Machozi akiongoza Maandamano

    Maandamano hayo ni wito wa Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Muungano wa Azimio kuelekea Jijini Nairobi yakiwa na lengo la kupinga gharama kubwa za maisha na Utawala wa Rais Ruto. Pia, Raila Odinga ameanzisha kampeni ya kukusanya Saini Milioni 10 za wananchi ili kupata uungwaji mkono wa...
  16. BARD AI

    Kenya: Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wadaiwa kupanga njama za kumuondoa Rais Ruto Madarakani

    Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani...
  17. BARD AI

    Raila Odinga: Hatufanyi Majadiliano tena na Serikali, lazima tumzuie Ruto sasa

    Kiongozi huyo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani kupitia Azimio la Umoja One Kenya, amesema wamefuta mazungumzo yote na Serikali baada ya Rais William Ruto kusaini Sheria ya Fedha inayolalamikiwa na wananchi wengi. Amesema wanarejea katika kampeni za kuhamasisha migomo ya wananchi dhidi ya jambo...
  18. Lady Whistledown

    Raila amkosoa Ruto kwa kukopa Tsh. Trilioni 3.6 siku chache kabla ya kuisha kwa mwaka wa fedha

    Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameishutumu Serikali ya Rais William Ruto kwa kukopa kupita kiasi wakati ambapo nchi inakabiliana na ongezeko la deni la Serikali, na kuonya kuwa Hazina ya Kitaifa na Wizara zote zinazohusika katika kukopa hazitaepuka uwajibikaji Akiongea na Waandishi...
  19. Kenyan

    Upinzani wagoma kuhudhuria maombi ya kitaifa

    Viongozi wa Muungano wa Azimio wakiongozwa na Raila Odinga wamegoma kukubali mwaliko wa Rais William Ruto kuhudhuria maombi ya kitaifa yaliyoratibiwa kufanyika leo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Azimio imedai kitendo cha serikali ya Kenya kwanza kuandaa hafla ya maombi...
  20. J

    Raila Odinga ni imara zaidi, amchana Rais Ruto uso kwa uso Msibani

    Tuna Imani na kiongozi Wetu Tundu Antipas Lisu lakini bado hajafikia level za Wapinzani wa huko Duniani, na huo ndio ukweli. Jana hapo Kenya palikuwa na majibizano ya ana kwa ana Kati ya Raila Odinga na Rais Ruto wakiwa Msibani na hatimaye Ruto akasema " mh Waziri mkuu mstaafu katika mambo ya...
Back
Top Bottom