raila odinga

Raila Amolo Odinga (born 7 January 1945) is a Kenyan politician who served as the Prime Minister of Kenya from 2008 to 2013. He has been the Leader of Opposition in Kenya since 2013. He was the Member of Parliament (MP) for Langata from 1992 to 2013. Raila Odinga served in the Cabinet of Kenya as Minister for Energy from 2001 to 2002, and as the Minister for Roads, Public Works and Housing from 2003 to 2005. Odinga was appointed High Representative for Infrastructure Development at the African Union Commission in 2018.He was the main opposition candidate in the 2007 presidential election, running against the then incumbent Mwai Kibaki. In the subsequent presidential election 5 years later he placed second against Uhuru Kenyatta, garnering 5,340,546 votes, which represented 43.28% of the total votes cast. He made another attempt for the presidency in August 2017 against Uhuru Kenyatta and Uhuru Kenyatta stole votes after the chairman of the electoral body declared Uhuru Kenyatta winner with 54% of the votes cast to Odinga's 43%. This outcome was eventually annulled by the Supreme Court following findings that the election was marred by "illegalities and irregularities". A subsequent fresh election ordered by the Court was won by Uhuru Kenyatta when Odinga declined to participate citing inadequate reforms to enable a fair process in the repeat poll.
Son of the first Vice President of Kenya, Jaramogi Oginga Odinga, he draws a large chunk of his support from various regions in Kenya, most notably the Coastal Region and his native former Nyanza Province. Odinga is commonly known as "Baba", coincidentally, he was an MP at the same time as his father between 1992 and 1994. Other nicknames that have been associated with the premier are such as "Nyundo" which is hammer in Kiswahili, "Tinga" which means tractor in Kiswahili a symbol of his National Development Party (NDP) and "Agwambo" meaning a man who is unpredictable (enigma or mysterious) and 'Baba' which means a political father.
Odinga first ran for president in the 1997 General Elections, coming third after President Daniel arap Moi of KANU and Mwai Kibaki of the Democratic Party (DP), respectively. He contested for the presidency again in the 2007 General Elections on an Orange Democratic Movement (ODM) ticket.
In readiness for that poll, on 1 September 2007, Odinga was picked as ODM's presidential nominee to face off with PNU's Mwai Kibaki. He managed to garner significant support in that election. According to the he Electoral Commission of Kenya (ECK), the electoral body at the time, he swept the majority of the votes in Rift Valley (Kenya's most populous area), Western, his native Nyanza, and Coast. Kibaki on the other hand won majority votes in Nairobi (the capital), North Eastern province, Central province and Eastern province, taking 4 provinces against Odinga's 4. Odinga's ODM party got 99 out of the 210 seats in the parliament, making it the single largest party in parliament.
The Kriegler report, commissioned to investigate the violent aftermath of the 2007 elections and alleged vote-rigging, stated that about 1.2 million dead voters existed in the voters register, raising serious doubts to the integrity of the election.On 30 December 2007, then chairman of the Kenyan election commission the late Samuel Kivuitu, declared the incumbent, President Kibaki, the winner of the presidential election by a slim margin of about 230,000 votes. Odinga disputed the results, alleging fraud by the election commission. However he refused to follow due process of petitioning the courts, believing that the courts were under manipulation by Kibaki and so could not give a fair and impartial hearing.
Most opinion polls had speculated that Odinga would defeat the president, though the margin kept narrowing as election day neared. Independent international observers have since stated that the poll was marred by irregularities in favor of both PNU and ODM, especially at the final vote-tallying stages. The announcement of Kibaki's win was followed almost immediately by rioting and violent protests, from both ODM and PNU supporters, and the post-election violence continued for several weeks resulting in over 1000 deaths and the displacement of 500,000 people.Besides his father, Odinga is identified as one of the leading forces behind the democratization process of Kenya, particularly during the repressive regime of President Daniel arap Moi (1978–2002) and the lead-up to the adoption of the new Constitution (2010) that re-affirmed many formerly neglected fundamental rights.
In 2017, Odinga ran for the presidency a fourth time, but lost to Uhuru Kenyatta. Odinga contested the election result in the Supreme Court, which nullified the results and called new elections as a result of electoral irregularities. Despite the Supreme Court ruling, Odinga announced on 10 October 2017 that he would withdraw from the second Presidential election.

View More On Wikipedia.org
  1. Kenya: Rais Ruto na Gachagua wasalimiana kwa kupeana mikono na Raila Odinga msibani

    Rais wa Kenya, William Ruto na Naibu wake, Rigathi Gachagua wakisalimiana kwa kupeana mkono na Kiongozi wa Azimio Raila Odinga wakati walipokutana kwenye msiba wa Mukami Kimathi ambaye alikuwa mke wa marehemu Dedan Kimathi ambaye alikuwa ni mpigania uhuru wakati wa Ukoloni. Akiwa msibani hapo...
  2. Raila kumshtaki Mahakamani Rais Ruto kuhusu vifo vya waumini vilivyotokea Shakahola

    Kongozi wa Umoja wa Azimio, Raila Odinga amesema anachukua uamuzi huo dhidi ya Rais wa Kenya, William Ruto ambaye ameunda Kamati ya kuchukunguza miili 110 iliyofukuliwa katika eneo la #Shakahola lilipo katika Kanisa la Good News International Church, ambapo takribani Watu 320 wameripotiwa...
  3. Raila Odinga: Tutaandamana leo hadi Ikulu, Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Hazina

    Kiongozi huyo wa Upinzani unaoongozwa na Muungano wa Azimio la Umoja One, amesema maandamano ya kupinga Utawala wa Rais Ruto na Serikali yake yatafanyika leo Mei 2, 2023 licha ya Polisi kukataa kuwapa kibali. Odinga amesema watawasilisha Pingamizi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Agosti 2022, Malalamiko...
  4. Raila Odinga: gharama ya maisha imesababishwa na mambo mengi

  5. B

    Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

    Hatimaye maandamano yasitishwa. Somo limeeleweka. Ruto kaona umuhimu wa kuongea. Sisi tuendelee kusubiria maembe kwenye mnazi. Raila agenda ni zile zile: Bila kukomaa itakuwa mwendo wa kulialia tu kama kwetu. Siri ya mafanikio yao ni uwepo wa nguvu ya umma ya uhakika. Pia soma > RAILA...
  6. Rais Ruto amuomba Raila Odinga kusitisha Maandamano, aahidi kuwalinda Wanahabari

    Akihutubia Taifa leo April 2, 2023, Rais #WilliamRuto amemtaka Odinga kuruhusu mchakato wa Majadiliano ya Wabunge wa pande zote kushughulikia madai ya Upinzani, ikiwemo uteuzi wa Makamishna wa Tume ya Uchaguzi (IEBC). Pia, Ruto amevihakikishia #VyomboVyaHabari usalama baada ya kuwepo kwa...
  7. Askari aliyejeruhiwa kwenye Maandamano ya Raila Odinga afariki dunia

    Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Kisumu, Alphonse Wambua amesema Koplo Ben Oduor, alikimbizwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Aga Khan saa 10 jioni na kufariki wakati akipata matibabu. Afisa huyo kutoka katika Kituo cha Polisi cha Keroka katika Kaunti ya Nyamira...
  8. Raila Odinga adai waliovamia mashamba ya Kenyatta walitumwa na Serikali

    Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Azimio la Umoja One amelaani uvamizi huo uliofanywa makundi ya Wahalifu walioiba na kuchinja baadhi ya mifugo ikiwemo Mbuzi na Kondoo waliokuwa ndani ya Shamba hilo. Akizungumza na BBC, Odinga amesema uvamizi huo uliofanywa Machi 27, 2023 ikiwa ni siku ya pili...
  9. Raila Odinga: Polisi wa Tanzania kama Ulaya. Adai wanaweza kusubiri umalize kazi zako ndio wakukamate

    Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue. Polisi wa Tanzania ni Kama wa ya Ulaya...
  10. Odinga anataka Kuharibu amani ya Kenya na ya Ukanda mpo kimya ila yule wa Rwanda mlipaza sauti na kumshutumu Rais Kagame

    Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa na Wazungu ili Kenya inayoenda Kuneemeka na Rais Ruto isitawalike. Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa (anasaidiwa na Nchi moja jirani) yenye Vita ya chini chini ya Kiuchumi na Kenya ili Machafuko yakitokea yenyewe ifaidike...
  11. B

    Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

    Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu: 1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira. 2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda. 3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati. 4. Hakuna nguvu iliyo kuu...
  12. Njia pekee ya kuleta amani Kenya ni ku-deal na Odinga bila kudekezwa

    Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Kenya toka enzi na enzi. Hata wakati wa uchaguzi mkuu I told them Sikumsapot kibaki 2007 nilimuunga Mkono Odinga. 2012 nilimuunga Mkono Uhuru, kutokana na Maono ya atakapoifikisha Kenya. 2017 Vile vile Nilimpa sapot Kenyatta. Baada ya kuona kuwa Kirusi cha...
  13. Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023

    VIONGOZI WA UPINZANI WAKAMATWA, RAIA APIGWA RISASI Seneta wa Kilifi, Stewart Madzayo pamoja na Wabunge Amina Mnyazi na Ken Chonga, wanaripotiwa kushikiliwa na Polisi kwa kushiriki maandamano ya kuipinga Serikali katika Mji Mkuu, Nairobi Hadi hivi sasa Raia kadhaa wanaripotiwa kushikiliwa huku...
  14. Raila Odinga, the political dinosaur of Kenya

    Hey fellow East Africans, please remind Raila zodinga, that he is now irrelevant, he should pass on the political wand to a younger generation. His kind of politics reminds me of the long extinct dinosaurs, and he is heading that way, fast.
  15. Raila Odinga aitisha Maandamano, Ukaidi na Migomo dhidi ya Serikali ya Ruto kuanzia leo

    Kiongozi huyo wa Upinzani kupitia Muungano wa Azimio la Umoja One ameitisha Maandamano ya Nchi nzima ya Kutotii Serikali kuanzia leo Machi 9, 2023 akidai Serikali ya Rais William Ruto imepuuza matakwa ya Muungano huo. Odinga alimpa Ruto siku 14 kuharakisha kufunguliwa kwa Seva za Tume Huru...
  16. R

    Profesa Wajackoya: Raila Odinga alikuwa na CHADEMA akalega lega amerudi tena

    Nchi na mataifa mbalimbali sasa wanaendeleza hamasa ya kuungana na chama chenye malengo ya kuongoza nchi kwa misingi ya amani, umoja, na upendo, na maendeleo pia na kuimarisha diplomasia. Hii ni kutokana na itikadi na misingi mizuri ya kuanzishwa kwake. Prof Wajackoya, nguli wa sheria na...
  17. J

    Hivi Raila Odinga anawezaje kupata wafuasi wengi hivi Kenya? Amewaloga Wakenya na uchawi gani?

    Wakuu kwema? Habari hapo kwa majirani ni mzee Odinga anadai alishinda uchaguzi na anasema ataitisha maandamano makubwa ya kwenda kumtoa Ruto Ikulu Uchaguzi ulikuwa wa wazi na matokeo yote yaliyotoka vituoni na kusainiwa na mawakala wa pande zote yote yalikuwa uploaded online Na kama kuna wizi...
  18. Raila Odinga anachofanya kwa sasa ni uasi sio siasa. Anajaribu kutaka kufanya mapinduzi. Ruto hapaswi kuwa mpole kupitiliza

    Nimeona kitu kinachoitwa uhuru wa kidemokrasia kwa nchi za Afrika ni ujinga mtupu! Kwa hali ilivyo hapo Kenya kwa Sasa sio uhuru ni ujinga na ni ulofa wa kisiasa. Maandamano yale anayofanya Odinga na kuwashawishi watu wapindue Serikali sio ya kuyafumbia macho hata kidogo! Kama katiba ya Kenya...
  19. Maisha haya duh! Raila Odinga kapigwa ban na Mzungu!

    Huyu huyu Raila Odinga aliyekuwa darling wa Mzungu alikuwa kila kukicha yuko Ulaya au USA kuchongea wenzake, Raila Odinga aliyepeleka wenzake The Hague leo hii Mzungu kamgeuka na kapigwa ban kukanyaga Ulaya na USA? Kweli Jew hana rafiki, ipo siku hata hapa kitabadilika tu, ni swala la muda kama...
  20. Kenya wana Katiba Nzuri, Tume huru ya uchaguzi, lakini Raila analalamika kuibiwa kura, na bei ziko juu, na tozo zimejaa

    Nadhani inabidi kuirejea hii ajenda ya katiba mpya, ni kweli wananchi wanaitaka au ni wanasiasa ndio wanaitaka? Kenya Wana katiba mpya, lakini bei za bidhaa ziko juu mpaka Leo Erick Omondi kaandamana Bungeni na akapigwa mabomu na kukamatwa. Na sisi wa katiba ya zamani bei ziko juu. Tozo ziko...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…