Zifuatazo ni Aina Kadhaa za Nyumba za kuishi Familia ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako. Zipo ktk uwanja mpana wa STAILI, KIASI CHA KIWANJA, KIASI CHA VIFAA...
Kutazama Ramani Zake za Ndani
+255-657-685-268 WhatsApp
1 ==> vyumba 3, tofali 1700, bati 50
2 ==> vyumba 3...
Hii ramani ina masterbedroom, two bedrooms, sitting room,kitchen, dining,store room, public toilet na ina urefu 12.25m x upana 13.05m. kwa mahitaji ya ramani, makadirio, ushauri na usimamamizi wa ujenzi contact 0679851483/0754984819.
This thread is for the general discussion of the classified ad UJENZI: Let us transform your design ideas into reality - Nile House designs. Please add to the discussion here.
Tukio hili limetokea miaka ya 1970's wakati wa mchakato wa Ujenzi wa Reli ya Tazara inayounganisha nchi za Tanzania na Zambia.
Mradi huo wa kimkakati ulifadhiliwa na na Serikali ya China...
habari za Leo wakubwa,
Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au pray room.
Habarini wakuu.
Hivi ni kwanini watu hujenga kwa ramani za kufikirika tu zisizokuwa na mpangilio wa kitaalamu. Yaani umejibana kukusanya milioni zako flani, unamtafuta fundi na kumtajia idadi ya vyumba tu ajenge au unampa mfano wa ramani uliyoipata kwenye mtandao.
Hebu fikiria umetumia milioni...
Habarini ndugu na marafiki,
Sote ni ndugu kwa sababu sote ni watanzania kwa hivyo sio vibaya wakati mwingine kusaidiana.
Sasa leo hii nimeamua kutoa ramani ya bure kabisa ili ukajenge.
Ukihitaji PDF file yake klick hapo chini kabisa nimesha kuwekea.
Kumbuka vipimo vyote kwenye hii ramani...
habari naitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu na sebule
chumba kimoja master then public toilet
kiawanja ni sq 15/15
kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo
pia nipate kujua vifaa na idadi ya vitu vitakavyo itajika hadi kufika
kwenye lentaa
asanteni
Habari za leo wakuu,
Kama nilivyo ahidi kwamba bado naendelea na mradi wa uchoraji wa ramani. Ambapo nimefanikiwa kuchora ramani za nyumba 20 mpaka sasa.
Na hii ni moja ya nyumba moja ambayo naendelea kuipamba zaidi.
Habari za leo wadau,
Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost ramani ya nyumba ile ambayo naendelea kuchora.
Hivyo hapa ndipo nilipo ishia. Ila bado naendelea nayo kila napo pata muda.
Habari za leo ndugu na marafiki, natumai mu wazima wa afya njema. Bado naendelea na uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba bomba.
Hii ni moja ya ramani ambayo naendelea nayo na hapa ndipo nilipofikia kwasasa. Ila bado haijamalizika bado naendelea kuipamba zaidi.
Habari za wasaa huu ndugu na marafiki.
Bado naendelea na mradi kuchora Romai ya nyumba bomba ya kuishi.
Ila bado sijamaliza. Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost kila napofikia.
Na hapa ndipo nilipofikia. Lakini bado kazi inaendelea. Mpaka pale nitakapo kuwa nimemalza...
Habari wakuu, nina taaluma kutengeneza hesabu na gharama za materials na idadi ya materials, mfano kutambua idadi ya matofali,mabati, misumari, mbao za roof structure na ceiling blandering/gypsum board, idadi ya zege (cement, sand/trip za mchanga and Aggregate/trip za kokoto), Idadi ya nondo...
Habari wakuu,
Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi hitaji husika. Utanipa 'details' zako kamili na maelezo ya kiwanja chako.
Marekebisho ninayofanya ni...
Ramani ya nyumba hii ina;
-Vyumba vinne vya kulala
Kimoja master,kingine self na viwili vya kawaida
-sebule
-jiko
-store
-dining
-public toilet
Ina ukubwa wa mita 17 kwa 13
Kwa mahitaji ya ramani hii na ramani zingine
Wasiliana nami whatsapp
0678418272
abuuammar11@gmail.com
Habari wana Jamiiforums mimi ni mhandisi umeme upande wa ushauri, kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuandaliwa na kutengenezewa michoro ya umeme(lighting with power system) pamoja na mfumo wa vifaa vidhibiti moto (fire detection system), karibu tukuhudumie tunafanya kazi ya kuandaa michoro kwa muda...
Afrika Kusini wanasechi sana ishu za Zimbabwe
Zimbabwe wanawasechi sana Afrika Kusini
Congo wanawasechi sana Nigeria
Tanzania na Uganda tunawafatilia mno majirani zetu Kenya
Burundi wanawasech sana Rwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.