Wanabodi,
Mimi ni miongoni mwa waraibu wa JF, usingizi ukinikatika, huingia JF,
Alfajiri ya leo, usingizi umekata mapema, ile swalaa swalaa imenikuta macho, hivyo baada ya yale ya msingi baada ya kuamka, nikashuka if, nikakutana na bandiko hili:
LIVE - Ziara ya Rais Samia katika Ikulu ya...