redio

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Naomba upesi nijibiwe haya Maswali yangu na Watangazaji pamoja na Wachambuzi wa Michezo wa Redio nchini

    Swali # 1. Je, Yanga SC ingekuwa inaongoza Ligi Kuu ya NBC mpaka sasa ( yaani leo ) mngekuwa Wanafiki hivi na Kutumia muda mrefu Kumjadili Mwamuzi wa leo kuwa Kaipendelea Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate FC huku mkijisahaulisha ( mkijizima data ) kuwa hata hiyo Klabu mnayoitetea kwa...
  2. R

    Naomba niwasaidie watangazaji wa vituo vyote vya redio namna ya kutamka majina ya Kijerumani

    Naona hili ni tatizo kubwa sana kwa watangazaji wetu wa vituo vyote vya redio kuanzia redio ya taifa mpaka vituo vidogo vya redio linapokuja jina lenye asili ya kijerumani matamshi yanakuwa ndivyo sivyo kabisa. Ni kama wewe umsikie mtu akitamka jina Juma kama Jima au Joma. Au jina Ali kama Hali...
  3. Wu-Ma

    Baada ya kukoswa koswa kuibiwa nimeamua niuze TV, REDIO, NA FRIDGE

    Iko hivi mi nafanya kazi shirika fulan , huwa tunazurura mikoa mingi , kila mkoa huwa tunakaa at least miez sita . Kwa sasa tupo DSM , nimechukua chumba mitaa ya KAM college Kimara korogwe, nikanunua baadhi ya vtu vya ndani kama TV hisense smart inch 43, Fridge Aborder 128Liters na Radio Boss...
  4. Baba Rhobi

    Wataalamu Umeme na Electronics, Msaada wenu hapa wa hiki ki redio

    Wakuu habari ya nyie, kuna hiki ki redio nimeombwa msaada hapa kukirekebisha, kina shida moja. Waya ule wa speaker vile vidogo (Sijui ndo wanaviita twitter), pale kwenye ki tobo unapoingia kimekufa, sasa nafikilia hivi inawezakana nikauchukua na kuunga kwenye ule mwingine, tobo lililokufa ni...
  5. Raia wa Afrika

    SoC03 Nguvu ya Redio: Kuunda tabia mpya kwa jamii bora

    Katika historia, mawasiliano ya umma yamecheza jukumu muhimu katika kuunda jamii, na redio, kwa hakika, imejitokeza kama muhimili wenye nguvu katika kusambaza habari na kuathiri umma, ikileta matokeo mazuri na mabaya pia. Katika mfano muhimu wa athari nzuri ya redio, BBC ilizindua kampeni yenye...
  6. Li ngunda ngali

    Kuna kipi kinaendelea kwenye kituo cha redio cha Samia huko Zanzibar?!

    Kama hamfahamu, Rais Samia ana miliki kituo cha redio huko Visiwani na kwa tetesi zilizopo yapo maendelezo ya ghafla isivyo tarajiwa kwayo. Inasemekana lakini, eti, kuna baadhi ya material yanatoka bara isivyo ndani ya utaratibu na kupelekwa kule. Yawayo, yamo! Mliopo karibu na kituo hicho...
  7. I

    Nimesikitishwa na kugadhabika jinsi Watanzania walivyopokea suala la wanafunzi waliotoka Sudan

    Wakuu, Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili. Nasema nimegadhabishwa kwa...
  8. K

    Mnaosema bandari imeuzwa tunaomba mtueleweshe imeuzwaje, na kwa kiasi gani

    Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana. Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa. Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua...
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je unasikiliza redio kwa siku ngapi kwa wiki? Unasikiliza vipindi gani?

    Binafsi nasikiliza radio mara mbili tu kwa wiki. Nasikiliza siku ya Ijumaa Asubuhi na Jumamosi asubuhi. Radio ninayosikiliza ni Radio One. Na siku ya Ijumaa nasikiliza kuanzia saa nne na robo asubuhi, kipindi cha nyimbo za zamani. Na sìku ya Jumamosi nasikiliza kipindi cha Kiswahili. Baaaaaaas
  10. B

    Mwenge wa Uhuru wazindua kituo cha redio Chalinze FM 97.5

    Wiki hii Mwenge wa Uhuru ulifika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze mkoani Pwani kumulika na kukagua miradi ya maendeleo ambapo ilizindia Kituo cha Redio cha Chalinze FM 97.5 chini ya kauli mbiu yake ya 'Sauti ya Jamii'. Chalinze FM iko katika Jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Chalinze na...
  11. BARD AI

    Kenya: 'Wasiojulikana' wavamia Studio za Redio na Bunduki huku kipindi kikiendelea

    Watangazaji wa Kituo cha Redio cha Mwinjoyo FM kutoka Nakuru Nchini Kenya wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya wanaume waliovalia nguo nyeusi na Viziba Sura kuwataka wazime matangazo na kulala chini. Baada ya maagizo hayo waliwataka Watangazaji kueleza kama kuna mtu mwingine kwenye jengo la...
  12. Russia is not your enemy

    Kwenye hizi daladala natamanigi kunyofoa ways za redio

    Kelele za ajabu sana. Unapanda dalafala una stress zako unakuta mziki sauti juu. Au asb unakuta station**** wanapiga story kutoka vichwani mwao, mawazo Yao idea zao hazina logic yoyote. Kuna dalafala Moja imeandikwa pale ndani juu kwamba...nanukuu...''SAMAHANI ABIRIA SAUTI HAIPUNGUI" Mwisho wa...
  13. Melki Wamatukio

    Hadi kufikia sasa, hakuna kituo cha runinga ama redio kilichocheza wimbo wa "Nipeni maua yangu"

    Sawa, hauna video, lakini hata kwenye redio haukuchezwa pia (a) Ni kwamba wamiliki wa redio zetu pamoja na watangazaji wao hawana uhakika na uhuru wa vyombo vya habari walionao? (b) Au ndo kusema kuwa barua kutoka BASATA zilisambazwa sehemu husika kimya kimya pasi na taarifa kwa umma? Wacha...
  14. MK254

    Shukrani Wakristo kwa upendo, kituo cha redio kinamilikwa na Muislamu ila mmekichangamkia

    Kituo cha Wasafi media kinamilikiwa na Muislamu, na kila Jumapili huwa kinapeperusha kipindi cha Kikristo. Leo hapa naona pamenoga kweli kweli Wakristo wamejumuika na kumsifu Yesu kwa upendo, hapa nawaza dini zingine unakuta hata mgahawa ukimilikiwa na mtu asiye wa dini hiyo hawawezi hata...
  15. D

    Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

    Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote; 1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW 2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma 3. Daudi wa kota 4. Salma Msangi kutoka Dodoma 5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho...
  16. Jaji Mfawidhi

    Redio Tanzania: Salamu za wagonjwa

    "Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawapa pole*2" Ajuaye bwana Mungu kuwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole*2" Kiitikio; Kipindi chenu kinawapa pole wote tunawapa pole, Mungu awajalieni pole* Huo ni wimbo maarufu ambao ulikuwa ukifungua kipindi cha...
  17. GENTAMYCINE

    Mtangazaji Farhia Middley wa Redio One na ITV: Wanawake Wanaowaendea Wanaume wao kwa Waganga wa Kienyeji wako sahihi 100%

    "Huenda kutokana na Kumpenda na kutotaka Mumewe / Mpenziwe huyo asihangaike na Wanawake Wengine anaenda huko kwa Waganga wa Kienyeji Kumroga atulie nae tu na waweze Kulea Familia pamoja hivyo hata Mimi naungana nao kwenda huko" Chanzo Taarifa: Radio One Mazungumzo ya Familia leo Haya Wanaume...
  18. BARD AI

    Guglielmo Marconi, mgunduzi wa Redio inayotumia Mawimbi (Radio Waves)

    Redio ya kwanza inayotumia Mfumo wa Mawimbi ilianza kurusha Matangazo Mwaka 1895 baada ya Mvumbuzi Guglielmo Marconi kutoka Italia kufanikisha zoezi la Redio hiyo kusikika katika eneo la Kilomita 3.2 bila kuunganishwa na Waya. Mwaka 1900 Wanasayansi 3, Reginald Fessenden, Maryland na Cobb...
  19. BARD AI

    Leo ni siku ya Redio Duniani, Kituo gani cha Redio unasikiliza zaidi?

    Siku ya #Redio Duniani ilianzishwa na Kikao cha Umoja wa Mataifa mwaka 2012 kwa kuhusisha Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Redio uliorushwa moja kwa moja kutoka Geneva mwaka 1974. Siku hii huadhimishwa kila mwaka kwa lengo la kutambua mchango muhimu unaotokana na Redio katika maisha na jamii...
  20. marehem x

    Nchi yangu nimeipenda bure. Leo vituo vingi vya redio vinamtakia Rais Samia heri ya siku ya kuzaliwa. Inapendeza Sana

    Si kila mara utapata upendo kutoka watu wako lakini hii ni dalili nzur na njema Kwa redio kulijua hili Mama ndiyo kila kitu. Sisi wengine kila mama ni mama yetu. Tunafarijika anapopendwa mama wa wenzetu Kwa kuwamama zetu wengine wapo mbele ya haki. Allah awape maisha yenye rehma. Ameen. Leo ni...
Back
Top Bottom