redio

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Waziri Bashungwa awataka wamiliki wa redio kulipia muziki wanaopiga

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania kuhakikisha wanalipa tozo za muziki unaopigwa katika redio zao ili kuwawezesha wasanii kupata haki zao. Bashungwa amesema hayo jana Ijumaa Septemba 3, 2021 wakati akizinduzi kituo...
  2. M

    Bado kuna mwenye Swali juu ya Unafiki mkubwa wa Watangazaji wa Vipindi vya Michezo Redio za Tanzania?

    Juma Khatib ( Antonio Nugaz ) alipokuwa Yanga SC... "Haji Manara hana uwezo na bado kabisa hajaweza kumfikia Antonio Nugaz kwa Kuhamasisha, Kushawishi na kupiga Madongo ya maana na huyu ndiyo kiboko yake" Juma Khatib ( Antonio Nugaz ) baada ya kuondoka Yanga SC Jana... "Haji Manara hana...
  3. K

    Kipigo cha ZANACO chamvuruga kabisa Manara, aingia mitini na kukwepa kipindi cha redio asubuhi hii

    Leo hii Msemaji wa Club ya Yanga Ndg. Haji Manara ali maarufu Msukule au Miss Buzza alikuwa amealikwa kwenye kipindi cha joto la asubuhi kinachaandaliwa na Gerald Hando kupitia redio EfM. Mpaka sasa bado anasubiriwa na hajaonekana na kipindi kiltakiwa kuanza saa moja kamili asubuhi (1:00)...
  4. daizouh

    Kwanini redio Ebony Fm ya Iringa inaomboleza wiki sasa, kulikoni?

    Kwanini redio Ebony FM inayosikika Iringa, Dar , Njombe, Mbeya imekuwa ikipiga nyimbo za maombolezoo tangu mwezi uliopitaa mpaka mwezi huu bado tu wanaomboleza, hakuna kipindi chochote tofauti na nyimbo za dini na misiba
  5. beth

    Waziri agiza watumishi watatu Redio Sengerema kuwekwa ndani kwa ubadhirifu wa Milioni 28

    Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mathew Kundo ameagiza watumishi watatu wa Redio Sengerema ya wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza kuwekwa ndani kwa muda usiojulikana kutokana na ubadhirifu wa Sh28 milioni Wafanyakazi hao ni ofisa habari Halmashauri ya Sengerema, Silvanus...
  6. N'yadikwa

    Kwanini vyombo vya habari kama Televisheni na Redio za Tanzania havina habari za biashara

    Habari za Biashara zinawafungua wananchi wakiwemo wakulima, wafanyabiashara na wafanyakazi juu ya mwenendo wa masoko. Sasa hapa Tanzania je ni kwanini hakuna kituo cha Televisheni au Redio chenye Habari za mashiko za Biashara kama vile Mwenendo wa Masoko ya Hisa ya Tanzania na Afrika Mashariki...
  7. May Day

    Hii imekaaje Vituo vya Redio kupishana muda?

    Mimi kila alfajiri huwa nasikiliza RTD, ili kusikiza Usia wa baba, utabiri wa hali ya hewa pamoja na mambo mengine, na baadae nahamia RFA kusikiliza BBC. Kwa wiki kadhaa sasa nimegundua ya kuwa Vituo hivi, yaani RTD na RFA wanapishana muda...kwani baada tu ya RTD kusema imetimia saa kumi na...
  8. GENTAMYCINE

    Betri za Redio zikiisha Nguvu huwa tunazianika Juani Kisha tutaendelea Kuzitumia je, Betri za Simu zikianza Kupungua Nguvu tunafanyaje?

    Hapa nitakuwa nasoma tu Maoni yenu!!!
  9. beth

    Nigeria: Redio na Runinga zaelekezwa kutotumia Twitter kama chanzo cha taarifa

    Mamlaka ya Utangazaji imeshauri Runinga na Redio kutotumia Mtandao wa Kijamii wa #Twitter kama chanzo cha taarifa zao, huku ikiwataka wafunge akaunti zao Mamlaka hiyo imesema haitokuwa uzalendo kwa Watangazaji wa #Nigeria kuendelea kutumia Mtandao huo. Twitter imesema itafanyia kazi kurejesha...
  10. mdukuzi

    Edo Kumwembe ni mzuri wa kuandika ila sio kwenye TV au redio

    Enzi niko sekondari nilikuwa napata marks za juu somo la English ila kuongea ilikuwa shida. Sasa huyo kumwembe nimefuatilia makala zake kwenye mitandao na gazetini yuko vizuri. Sababu inaonekana huwa anafanya research kabla ya kuandika, lakini kwenye TV na radio si mzuri, hana sauti, anakosa...
  11. the numb 1

    Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako. Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
  12. GENTAMYCINE

    Ninaekereka au Kuchoshwa na hili linaloendelea sasa katika Redio nyingi za Tanzania nipo peke yangu au?

    Unakuta Kipindi fulani ni cha ama dakika 30 au Saa Moja tu lakini Watangazaji wake wote Watano wanataka Kuonesha Umahiri wao katika Kupiga Stori na hapo hapo tena Matangazo ya Biashara yanafululiza na Content husika iliyokufanya usikilize hicho Kipindi unakuja kuipata ndani ya dakika 5 tu...
  13. L

    Hadithi ya Lwanda Magere katika kipindi cha Sinto sahau kinachorushwa na Redio Free Africa

    Wanabodi. Radio Free Africa wanarusha kipindi cha sito sahau kila Jumapili saa nne na kuendelea. Sasa hivi kuna hadithi ya jamaa anaye jiita Lwanda Magere! nimesikiliza hadithi yake kwa baadhi ya episode zake! Jamaa kiukweli kwa maneno yake mwenyewe, anakiri kuua watu wengi sana hasa kupitia...
  14. M

    Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

    1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa 2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee 3. Mishahara Kupandishwa Maradufu 4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee 5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa 6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu 7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu Nasisitiza hapa hapa kuwa...
  15. Yoda

    Watetezi wa 'Legacy' ni kipi katika haya mabadiliko msichokipenda?

    Nyie hamfurahii kurudi kwa uhuru wa habari na kutoa maoni kinzani kwa watu wote? Hamfurahii kuona redio na TV zikiwa zimechangamka na za moto kwa mijadala mbalimbali? Hamfurahii kuona magazeti yameanza kuvutia wasomaji tena? Hamfurahii kuona ada tata za YouTube zinaanza kuondolewa...
Back
Top Bottom