riwaya

  1. mcTobby

    Riwaya na mashairi

    “A poem cannot stop a bullet. A novel can't defuse a bomb. But we are not helpless. We can sing the truth and name the liars.” ~Salman Rushdie. Huyu mdau amenisurika kuuliwa na utawala wa ayatollah wa Iran miaka ile ya 80 baada ya kuandika riwaya inayoukashifu uislamu inayoitwa SATANIC VERSE.
  2. Xav Emmanuel

    SIMULIZI: KANGA SEASON 01

    HADITHI FUPI - S01E01 "KANGA" - [Rudisha Kwa Mhusika] Mtunzi. Xavery Luoga (Mkandarasi) Na. +255672493994 ___________________ Atuganile Chamse, mrembo aliyeshindana na mumewe kwa muda mrefu, muda huu alikua anamalizia kupanga vitu vyake kwaajili ya kumkimbia huyo mumewe. Safari yake ya siri...
  3. godlovalez360

    RIWAYA

    SHAMBA LA HELA Imetungwa na Godlove Kabati. WhatsApp 0763204351. SEHEMU YA KWANZA; FEROOUZ HAIR CUTS Bukoba, Kagera Jumamosi, saa kumi jioni. KITENDO cha kukatika kwa umeme kiliuzika uchangamfu na kufufua hali ya kupooza kwenye genge la mtaa huu. Hii sio hali ya kawaida kabisa, Yaani...
  4. S

    Riwaya:: The revenge of Derrick (s 01)

    SIMULIZI:THE REVENGE OF DERICK MTUNZI:WIZZY JOOH FACEBOOK:STORY ZA JAY SEHEMU YA PILI(2) ILIPOISHIA Mpambano ukaanza huku Derrick akionyesha uwezo mkubwa sana wa kupambana japokuwa Inspector mbogo alijitahidi kumdhibiti Derrick Derrick lakini akajikuta akishindwa kwani Derrick alikua...
  5. S

    RIWAYA: THE REVENGE OF DERRICK (S 01)

    SIMULIZI:REVENGE OF DERRICK MTUNZI:WIZZY JOOH SEHEMU YA KWANZA(1)* "Walikuwa ni watu wema sana" "Ni kweli bamdogo lakini watu wabaya wamedhurumu nafsi za wazazi wangu na kwa ili bamdogo niahidi kuwa utawakamata hawa wauaji na utawafanya walipie kwa hili" "Nakuahidi Derrick nitawapata hawa...
  6. U

    Uzi maalumu wa riwaya zilizojipatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya tanzania na sababu za kupigwa marufuku

    Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu Mimi nianze na Rosa Mistika mtunzi kezirahabi marufuku kwa kukiuka maadili Jioni njema
  7. J

    Mwenye riwaya soft copy za kiswahili naomba

    Habari ndugu zangu, nilikua nahitajii mwenye RIWAYA zozote zile Za kiswahili naomba anisaidie, natanguliza shukrani 🙏
  8. Selemani Sele

    Riwaya: Baamedi wa Sinza Mori

    BAAMEDI WA SINZA MORI BY SELEMANI SELE NO 1. Maisha n safari na huwez jua kesho yako mungu kaipanga kwa namna gani. Naitwa marry nimezaliwa mm na mdogo Wangu wa kiume pekee,nilipofika kidato cha tatu baba alifariki na wakati huo mdogo wangu alikuwa darasa la sita. Kiukwel maisha ya nyunban...
  9. Brodre

    Riwaya: SIN

    Kabla sijaanza naomba niwahakikishe kwamba hii story nimepewa ruhusa na mwandishi kupost humu. Kila siku ntakua napost na nawahakikishia story itaisha kabisa. SIN 01 Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour) Age ……………………………………………………18+ Simu…………………………………………………...
  10. MALKIA WA TABASAMU

    SOFTCOPY YA RIWAYA MPYA ELFU 3 TU.

    KATIKATI nguvu ya KIAPO. Muuguzi aliyesalia nami katika chumba kile cha matibabu, haraka sana alinikimbilia na kuniita jina langu. Alitabasamu na kuniambia "karibu" binafsi nilizidisha mshangao, "Dakitari wako anakuja sasa hivi, naomba usijitikise mwili tafadhali" machozi yalianza...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Riwaya; CONNECTION

    RIWAYA YA CONNECTION Mtunzi: Robert Heriel Mwaka 2024 Riwaya; CONNECTION Kazi hii itarushwa katika mitandao kwa akaunti hizi: Facebook: Robert Heriel Tz Jamii Forum: Robert Heriel Mtibeli WhatsApp +255693322300 Maandishi ya Robert Heriel Kwa Lugha ya Kiswahili. Hairuhusiwi kunakili na...
  12. Jacky collection

    Tunauza vitabu vya fursa za kidigitali na riwaya mbalimbali karibuni

    Karibu ujipatie kitabu cha Fursa za mtandaoni 👉Huku utafahamu Fursa zote zilizopo mtandaoni na Jinsi ya kuzitumia kujiingizia kipato 👉 Bei ni Tsh 5000 tu tunapatikana Dar es salaam number 0684861947 / 0692436124
  13. L

    Waandishi wa riwaya wa China wakuza mawasiliano ya fasihi kati ya China na Afrika

    Mwandishi wa vitabu vya riwaya Abdulrazak Gurnah ambaye ni mzaliwa wa Zanzibar na sasa akiwa anaishi Uingereza, amekuwa gumzo kubwa duniani tangu wakati aliposhinda Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka 2021. Sifa ya mwandishi huyu mwenye umri wa miaka 75 imesambaa kila mahali duniani na zaidi kuwafikia...
  14. Azer Zepha

    Msaada wa muendelezo wa riwaya ya saa za giza totoro

    Am sorry guyz natafuta muendelezo wa riwaya ya saa za giza totoro coz aliye weka huu uzi hakumaliza so anaeweza kutoa msaada atusaidie wote ambao hatukumaliza huu uzi
  15. nergomafioso

    Seven days in hell! (siku saba kuzimu)-1

    SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU) Episode-1 Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku damu nyingi zikiendelea kunitoka lakini maumivu makali yalinirudisha chini. Kwa kutumia...
  16. Analogia Malenga

    Tuache blablaa! Uandishi wa habari siyo riwaya

    Ameandika Jesse Kwayu wa Media Brains JUMATATU Februari 26, 2024 yaani mwanzo wa wiki hii taifa lilishuhudia jambo kubwa la kihistoria la kufanyika kwa jaribio ya safari za treni ya umeme kwenye reli ya standard gauge (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro. Ni tukio la kihistoria kwa maana...
  17. Cecil J

    Riwaya: Muuaji mwenye kofia nyekundu

    ..
  18. Sonko Bibo

    Riwaya ya Kijasusi Mabaduni wa serikali

    Riwaya hii ni ya kubuni, hivyo mfanano wa matukio wa ndani ya Riwaya na maisha halisi unayoyaishi ni shabaha tu ya fikra za Mtunzi. Karibuni nyote kwa wingi MABADUNI WA SERIKALI Utangulizi Kila serikali ya taifa lolote hapa ulimwenguni ni lazima iwe na kikosi cha watu maalumu kwa ajili ya...
  19. gstar

    Simulizi: Biashara haramu ilivyosababisha mauaji

    Bado sijapata Title maalum ya hii Simulizi twende nayo hivyo hivyo. UTANGULIZI Kuna jamii ya watu iliyozuka na kuleta sintofahamu miongoni mwa jamii nyinginezo, watu wanaozisaka pesa kwa namna yeyote ile hata ikibidi kumkufuru mwenyezi Mungu, amini nakwambia si kila ukionacho kwa macho kuwa...
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mjue James Hardley Chase, Mwandishi maarufu wa Vitabu vya Riwaya

    Mjue james Hardley Chase, kipenzi cha wapenda riwaya za kusisimua, aliyehamasisha wengi kupenda utamaduni wa kusoma vitabu na ung'eng'e Taja jia la James Hadley Chase na wahenga wenzangu wengi watakuambia huyo alikuwa ni mmoja wa waandishi maarufu sana wa riwaya za kusisimua wa wakati huo, na...
Back
Top Bottom