riwaya

  1. Dam55

    Riwaya: Paspoti ya Gaidi

    Riwaya: Pasipoti ya Gaidi part 1 Mtunzi: Richard Mwambe Pasipoti ya Gaidi: Hujuma na Uzandiki Sura ya I Ikulu – Dar es Salaam Saa 10:30 Alfajiri Wakati giza likijiandaa kutoweka na kuipisha nuru ya asubuhi, miti yote ilikuwa imetulia kana kwamba kuna aliyeiambia ifanye hivyo. ni tausi mmoja...
  2. J

    Unaitafuta Riwaya yoyote ya Legendari wa Kiswahili? Usijali...

    Tunu zetu Library tumekuwa kwa muda mrefu tukizienzi na kuboresha kazi za wakongwe wa fasihi ya kiswahili kwa manufaa ya kizazi kijacho. Baaada ya kuona maktaba nyingi hazina vitabu hivi, Tumeingia chimbo kuvisaka, kuvipitia na kuviweka mfumo wa nakala rahisi (softcopy) unayoweza kuipata kwa...
  3. Abdallahking

    RIWAYA: Mume Gaidi

    Riwaya: MUME GAIDI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Ilikuwa ni kipindi cha mvua za masika, na siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha. Kijana Patrick alikuwa ndani na mama yake bi. Deborah, hoja ya Patrick ilikuwa ni moja tu kuhusu baba yake mzazi. PATRICK...
  4. Abdallahking

    RIWAYA: Sauti Yake Masikioni Mwangu

    Riwaya ya Kijasusi: SAUTI YAKE MASIKIONI MWANGU Mwandishi: KELVIN KAGAMBO Imeletwa Kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 “..... na sasa ni zamu yako. Sali sala za mwisho tufunge mkataba.” “Lakini braza Jisu haya yote yanatoka wapi? Kosa langu nini?” “Unaleta dharau sio? Hujui kosa lako au...
  5. Abdallahking

    Riwaya: Kasri ya Mwinyi Fuad

    RIWAYA: KASRI YA MWINYI FUAD MWANDISHI: ADAM SHAFI ADAM IMELETWA KWENU NA: BURE SERIES SEHEMU YA 1 KIJAKAZI alizaliwa kutokana na ukoo wa kitumwa. Baba yake na mama yake walikuwa ni miongoni mwa watumwa watiifu sana wa Bwana Malik na kama wao, Kijakazi alinuia kuwa mtumishi wake mtiifu kabisa...
  6. M

    Riwaya: Wahuni Wote Peponi

    Mtunzi: Muddyb Mwanaharakati Imetolewa: Mei, 2020 Mawasiliano: 0713538427 MOJA MIADI! Miadi ikisogea moyo huhakaika, kwa kasi na haraka huwa kama kidonda kinachopwita, pwi-pwi, pwi! Kufanya hivyo ni rai kwa mwili umsubiriao mwenza kwa hamu kuwa wasaa utawadia, huku matarajio ya mambo kuwa...
  7. Abubakari M N

    Simulizi: Kinu cha Mama

    KINU CHA MAMA Mussa N. Abubakari UTANGULIZI. Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu. ZINDUKO; Moja ni jibu, Ngono hutibu. 1. Romantic Star Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
  8. ngumbuke

    Riwaya Ya Pete

    Habari wanajamvi! Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa. Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa riwaya hii ilimuhusu kijana mmoja mcha Mungu hivi aliyeamua kuoa kinyume na matarajio yake. Naomba...
  9. kapingili

    Riwaya: Bondia

    IMEANDIKWA NA : HUSSEIN ISSA TUWA ********************************************************************************* Simulizi : Bondia Sehemu Ya Kwanza (1) Lango kuu la gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam lilifunguliwa na mtu mmoja mrefu alitoka nje ya lango lile kwa hatua za kujiamini na...
  10. Marilyn Monroe

    Riwaya: Wimbo wa Gaidi

  11. Marilyn Monroe

    Riwaya: Mtuhumiwa

    RIWAYA; MTUHUMIWA MTUNZI; HUSSEIN TUWA SEHEMU YA KWANZA. Daily News, Julai 12 (Imetafsiriwa): Jambazi hatari linalojishughulisha na biashara ya madawa ya kulevya huko Marekani ya Kusini limefanikiwa kwa mara nyingine tena kuwatoroka askari wa Kikosi Cha Kupambana na madawa ya kulevya cha...
  12. Marilyn Monroe

    Riwaya: Mkimbizi

    RIWAYA: MKIMBIZI MTUNZI: HUSSEIN ISSA TUWA SEHEMU YA KWANZA likuwa ni msafara wa watu watano, watatu kati yao, pamoja na mimi mwenyewe, tukiwa ni waajiriwa wa Idara ya Makumbusho ya taifa kitengo cha utafiti wa masalia ya kale. Wa nne alikuwa ni mpiga picha binafsi aliyeajiriwa kwa muda na...
  13. Bishop Hiluka

    Jumapili Februari 23, 2020 Waandishi wa Riwaya wenye Dira Tanzania (Uwaridi) watakutana na wasomaji wao katika Chuo cha Posta, Kijitonyama jijini Dar

    Imeandikwa na Hamisi Kibari wa gazeti la HabariLeo “HUYU ndiye Edi Ganzel uliyekuwa ukimuuliza sana,” aliniambia Mzee Barnabas Maro, akinitambulisha kwa mmoja wa watunzi mahiri wa riwaya kuwahi kutokea nchini. Wakati huo, mwaka 1998, Mzee Barnabas Maro, maarufu Kamba Ulaya, alikuwa mhariri wa...
  14. JOTO LA MOTO

    Riwaya fupi: Ripoti

    TITLE: RIPOTI YA MKAGUZI. SEHEMU YA KWANZA. NDANI-OFISI YA MZEE WOTA. Mzee Wota, Bwana wa miaka 60 hivi, ameketi akiwa makini akisoma kilichopo kwenye Lap top, huku akibofya keyboard ya Lap top ile. Mlango unagongwa, “ingia” anasema Mzee Wota huku bado akiwa amekazia macho kwenye Laptop...
Back
Top Bottom