riwaya

  1. Suley2019

    Fahamu zaidi maana, sifa, historia na aina za Riwaya ya Kiswahili

    Maana ya Riwaya kwa ujumla Riwaya ni masimulizi ya kubuni ya kinathari yenye msuko au mpangilio fulani wa matukio au ploti inayofungamana na wakati au kusawili wakati na yenye visa vingi vivavyotendeka katika wakati fulani na yenye mawanda mapana yenye mchangamano wa dhamira, visa na wahusika...
  2. GITWA

    Riwaya: Jina langu ni Pheady

    MTUNZI : SELOPHEADY H. MAGEMBE HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA Huruhusiwi kunakili au kutumia sehemu ya hadithi hii bila ruhusa ya mwandishi. Nilikua nimehitimu masomo ya shule ya upili na kuchaguliwa kwenda kusomea ualimu katika chuo cha ualimu.Hii ilikuwa ni miaka ya 1990 hivi, ualimu ni kazi ambayo...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Sikukukataa mwanangu; Umasikini ulifanya mama yako anikimbie

    SIKUKUKATAA MWANANGU; UMASIKINI ULIFANYA MAMA YAKO ANIKIMBIE. Kwa Mkono wa, ROBERT HERIEL. © maandishi ya Robert Heriel Kwa lugha ya Kiswahili. Taikon wa Fasihi Anawasilisha "Sasa nimebaki Peke yangu, hata waliowangu hawanitaki, sio wangu tena, ingawaje ni Mali yangu kiasili lakini dunia...
  4. U

    Riwaya: Kiu Ya Haki

    Wapenzi wa Riwaya Za Upelelezi kuanzia leo tutawaletea mfululilizo wa Riwaya ya Kiu ya Haki
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Riwaya ya kipelelezi: Wakala wa Siri

    RIWAYA: WAKALA WA SIRI Mtunzi; Robert Heriel 0693322300 Episode 01 MAABARA YA BORETI. Jokofu maalumu kwa ajili ya kuchunguzia maiti lilikuwa limezungukwa na Madaktari bingwa wa maswala ya uchunguzi, ndani yake ilikuwepo maiti iliyofungwa kwa karatasi jeupe la nailoni. Ilikuwa ni maabara ya...
  6. Ferruccio Lamborghini

    Riwaya ya beka mfaume: The godfather

    TRENI ya abiria kutoka bara iliwasili kwenye Stesheni ya Dar es Salaam majira ya saa tano asubuhi. Kuwasili huko kuliwafanya baadhi ya watu waliokuwa wakisubiri, kuanza kuangalia kwenye madirisha ya mabehewa ili kuwaona wageni wao. Treni hiyo iliposimama kukaligeuza eneo hilo kuingia kwenye...
  7. Logikos

    Riwaya: Machinga mimi Masikini

    Utangulizi Maisha matamu sana, haya ni maneno ambayo nisingeweza kuyatamka miaka ishirini iliyopita, sikujua cha maisha wala uzuri…, na si mimi tu wengi tulikuwa kwenye dhahama hizo… Nasogea kwenye bustani na kuketi napigwa na upepo mzuri naona wanafamilia wakitembea kutoka makwao kuelekea...
  8. Chachasteven

    Riwaya: Maamuzi Magumu

    JINA: MAAMUZI MAGUMU MTUNZI: CHIAMARO MOKIRI HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA. NI MARUFUKU KUNAKILI AU KUSAMBAZA KAZI HII BILA RUHUSA YA MAANDISHI KUTOKA KWA MWANDISHI. HATUA ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA KWA YEYOTE ATAKAYETHUBUTU. SEHEMU YA KWANZA JACK REACHER ALIAGIZA kahawa vikombe viwili vya take...
  9. S

    Riwaya ya kichawi- Mama Usinifundishe Uchawi

    MAMA USINIFUNDISHE UCHAWI. SEHEMU YA KWANZA “Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Kibaoni, na kijiji cha Maharaka. Anga yote ilikuwa imetanda kuashiria mvua saa yoyote inanyesha. Hali ya hewa si shwari baridi lilikuwa kali kupita maelezo. Ardhi baada ya muda ukali wa jua...
  10. Six Man

    Riwaya ya Kijasusi; Mtoto wa Rais

    Matairi meusi ya ndege ya shirika la ndege la kimataifa la Kenya (Kenya airways) yaligusa taratibu katika ardhi ya uwanja wa kimataifa wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es salaam. Abiria wengi walianza kushuka katika ndege hiyo kwa kutumia ngazi ndefu nyeupe iliyotokea baada ya...
  11. THE SPIRIT THINKER

    Tuzo za waandishi wa riwaya, tungo na mashairi

    TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2021 Utaratibu wa Kushiriki Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika yanayoingia mwaka wake wa sita. Tuzo hii, iliyoanzishwa mwaka wa 2014 na Dkt. Lizzy...
  12. Chachasteven

    Weka wazo au kisa ambacho ungependa kiandikwe kama Riwaya au hadithi fupi?

    Habari, wapendwa. Uandishi wa riwaya na simulizi ni kazi ngumu na nyepesi kwa wakati mmoja! Ngumu kama mwandishi anatazamwaa na rundo la karatasi nyeupe huku akiwa na kalamu bila uhakika anaanzia wapi. Uandishi pia ni mwepesi kama mwandishi ana 'sense' ya angalau pointi A, B na C kabla...
  13. Dam55

    Riwaya: KITISHO

    FILM: KITISHO MTUNZI: Richard MWAMBE 1 Mbowe club saa 1:23 usiku RADI kali ilipasua anga na kufanya mchoro wa kutisha, mwanga wake ulilipoteza giza kwa sekunde kadhaa, kila kilichojificha kilionekana wazi. Hakuna mtu hata mmoja aliyekuwa nje muda huo. Ni mvua kubwa na ngurumo za kutisha...
  14. Xav Emmanuel

    Riwaya: "Mkuki wa Mapenzi" (Love Spear)

    RIWAYA: LOVE SPEAR 01 MTUNZI; AUTHOR XAV NAMBA; 0672493994 Email: xavemmanuel12@gmail.com ---------------------------- UTANGULIZI; MAPENZI ni moja kati ya njia ambayo kila binadamu anapaswa apitie. Ni njia ambayo haina muonekano halisi ambao unajulikana. Kila mtu anaonja radha yake katika...
  15. Chachasteven

    Riwaya: Senyenge

    JINA: SENYENGE MWANDISHI: CHIAMARO MOKIRI MAWASILIANO: Chiamaro.llc@gmail.com / +255 (0)763 170 858 UTANGULIZI. Maisha ya Hook Hobie yalikuwa na siri nzito aliyoificha kwa zaidi ya miaka thelathini. Uhuru wake, Wadhifa wake, Mali zake na kila kitu alichokimiliki kilitegemea siri yake hiyo. Na...
  16. Dam55

    Riwaya: Janga

    RIWAYA: JANGA MTUNZI: richard MWAMBE SEEMU YA 1 I Saa 5: 7usiku… DAR ES SALAAM MVUA ILIYOAMBATANA NA RADI iliendelea kunyesha kwa hasira katika jiji la Dar es salaam, hakukuwa na nyota hata moja iliyong’aa siku hiyo wala mbalamwezi yenye nguvu ya kulishinda wingu zito lililofunga anga la...
  17. F

    Mwenye Riwaya ya Rosa Mistika - ( Euphrase Kezilahabi) anisaidie niisome tena

    Nikiwa darasa la Sita nilisoma riwaya hii, wakati huo dadangu alikuwa form one Msalato Girls school - nilipata nafasi ya kumhadithia yote, na nilimsisitiza mno pale Rosa alipoanza kulewa na kufukuzwa shule. Nilitumia riwaya hii kumfikishia dadangu ujumbe !! Ni miaka mingi imeshapita, nataka...
  18. Abubakari M N

    Kinukamito na Chanikiwiti

    ONYO Hairuhusiwi chini ya miaka 20 UTANGULIZI Kinukamito, ni mwanamke asiyedumu katika mahusiano au ndoa kutokana na sababu mbali mbali. Kusema ni mwanamke ambaye hudhaniwa ana mkosi kutokudumu kwenye mahusiano, waaidha, Mwanamke Chanikiwiti ni yule anayetumia uzuri wake kupata atakacho. Katika...
  19. Dr Lizzy

    Fursa kwa waandishi /watunzi wa riwaya

    NAFASI YA KAZI *Mwandishi wa Riwaya na Simulizi za mapenzi* Wasiliana nasi kupitia *0764 872249*
  20. Dam55

    Riwaya; Mauaji ya kasisi

    RIWAYA: MAUAJI YA KASISI MTUNZI: richard MWAMBE Simu: +255 766 974865 UTANGULIZI MAUAJI YA KASISI © Richard Richard Mwambe Ni kizaazaa katika jiji la Nairobi, Kasisi wa kanisa katoliki anauawa katika lango kuu la kuingilia kanisani hapo mapema alfajiri. Sajini Maria na wasaidizi wake...
Back
Top Bottom