SHAMBA LA HELA
Imetungwa na Godlove Kabati.
WhatsApp 0763204351.
SEHEMU YA KWANZA;
FEROOUZ HAIR CUTS
Bukoba, Kagera
Jumamosi, saa kumi jioni.
KITENDO cha kukatika kwa umeme kiliuzika uchangamfu na kufufua hali ya kupooza kwenye genge la mtaa huu.
Hii sio hali ya kawaida kabisa,
Yaani...