Hivi sasa polisi wanalaumiwa Kila sehemu,
Hivi sasa polisi wanadharaulika kika sehemu,
Wanaonekana kwamba kumbe hata wao huwa hawafuati Sheria kwenye ukamataji,lakini wao humtaka raia atii Sheria Bila shuruti.
Imebainika kwamba hawafuati PGO kwenye ukamataji.
Imebadilika kwamba kumbe hawana...