royal tour

A state visit is a formal visit by a head of state to a foreign country, at the invitation of the head of state of that foreign country, with the latter also acting as the official host for the duration of the state visit. Speaking for the host, it is generally called a state reception. State visits are considered to be the highest expression of friendly bilateral relations between two sovereign states, and are in general characterised by an emphasis on official public ceremonies.
Less formal visits than a state visit to another country with a lesser emphasis on ceremonial events, by either a head of state or a head of government, can be classified (in descending order of magnitude) as either an official visit, an official working visit, a working visit, a guest-of-government visit, or a private visit.In parliamentary democracies, while heads of state in such systems of government may formally issue and accept invitations, they do so on the advice of their heads of government, who usually decides on when the invitation is to be issued or accepted in advance.
Queen Elizabeth II is "the most travelled head of state in the world," having made 261 official overseas visits and 96 state visits to 116 countries by the time of her Diamond Jubilee in 2012. Although she is sovereign of each of the Commonwealth realms, in practice, she usually performs full state visits as Queen of the United Kingdom, while the relevant governor-general undertakes state visits for his or her respective country on the sovereign's behalf. However, the Queen has occasionally made some state and official visits representing one of her other Commonwealth realms.

View More On Wikipedia.org
  1. JF Member

    Royal Tour na Vita vya Kiuchumi

    Kwanza naomba nitoe declaration. Mimi ni mtanzania haswa ninaependa kuona maendeleo ya hii nchi. Nirudi kwenye mada, hii royal tour ni deal sana hasa kwa namna inavyotarajiwa na watanzania wengi. Sote tunaamini Tanzania itafunguka na tutapata pesa kwa ajili ya mradi. Lakini pia Mimi...
  2. B

    Tulitegemea uzinduzi wa Royal Tour uwe mubashara kwenye TV kubwa kubwa

    Wizara husika ongezeni ubunifu; tumezoea kuona screen kubwa mtaani zikionyesha matangazo mbalimbali ya biashara. Kwa kuongeza uelewa wa Watanzania na ownership ya agenda ya royal tour Kila Mkoa ungefunga screen kadhaa maeneo yenye watu wengi watu wawe sehemu ya mashuhuda wa tukio la uzinduzi...
  3. Monica Mgeni

    The Royal Tour, nini Faida zake?

  4. 42774277

    Yes, Tunazindua Filamu ya Royal Tour. Lakini kwa mambo ya aibu kama haya hatufiki popote.

    Nmeamka asubuhi asubuhi hii Tanzania is trending on twitter. Baada ya kuingia nimekuta huyo dada mnaijeria anaitwa Zainab amesimulia kisa chake cha kutaka kubakwa pamoja na kuibiwa pesa zake. Unaweza kusoma kisa chake hapa 👇🏾👇🏾 Hiki kisa kimetokea mwaka mmoja uliopita lakini amekisimulia...
  5. Pascal Mayalla

    Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

    Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...
  6. JanguKamaJangu

    Gerson Msigwa: Filamu ya Royal Tour hazikutumika fedha za Watanzania

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amefanya mahojiano na Wasafi TV na hii ni sehemu ya nukuu zake kuhusu filamu ya Royal Tour ambayo inatarajiwa kuzinduliwa Aprili 18, 2022 Nchini Marekani: Sababu za Wamarekani kupewa tenda "Ile filamu uzinduzi wake ni Tarehe Aprili 18 na utafanyika mara...
  7. Stroke

    Filamu ya Royal Tour Ingezinduliwa Tanzania Badala ya Marekani kuepuka gharama

    Tunaambiwa kwamba filamu ya Royal Tour yenye kupromote Utalii imegharimu Shilingi za Kitanzania Bilioni tisa. (9). Leo tunaambiwa Rais ana safari ya kikazi yeye na delegation yake marekani na moja wapo ya mambo atayoyafanya ni kuzindua filamu ya Roya Tour. Kwakua hizo kazi nyingine atazofanya...
  8. J

    Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

    Check filamu kali ya Tanzania Royal Tour inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 22|04|2022 nchini Marekani, Starling wa filamu hii kali ni Mhe Rais Samia Suluhu Hassan. Filamu hii inatarajia kutuletea watalii wasiopungua mil 5 na mapato yatokanayo na Utalii yanatarajiwa kufikia $5BL kwa mwaka hapo...
  9. K

    Ni kweli kwamba ubora wa Royal Tour utaikosesha waangaliaji?

    Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na...
  10. Wildlifer

    Video: Tanzania Royal Tour

    Her Excellency! Impressive video!
  11. Relief Mirzska

    Rais Samia Suluhu atunukiwa tuzo ya Utalii Barani Afrika

    Mama, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wewe ni alama ya uongozi kwa vitendo ndani ya Taifa letu, wengi sana watakubaliana nami katika hili akiwemo ndugu yangu Jumbe Brown . Umekuwa ni chachu ya fikra mbadala kwa sisi tulio katika nafasi za uongozi sehemu mbali mbali...
  12. Pascal Mayalla

    Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York

    Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...
  13. MBWARI

    Waziri Ndumbaro: Royal Tour ya Rais Samia yaanza kuzaa matunda kwa kuleta wawekezaji

    SHUGHULI za Royal Tour zilizokuwa zikifanywa kwa mara ya kwanza nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan za kutangaza vivutio vya Utalii, Biashara na Uwekezaji nchini zimeanza kuzaa matunda kwa wawekezaji kuanza kujitokeza kuwekeza hoteli za kisasa ndani ya hifadhi...
  14. Lord denning

    Mafanikio ya Royal Tour yaanza kuonekana kwa kasi ya kutisha, Hongera Rais Samia

    Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa...
  15. CM 1774858

    Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

    Nawasalimu kwa jina la JMT, |Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika| |Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine...
  16. B

    Gerson Msigwa ndani ya DW akieleza sababu za Rais Samia kurekodi makala ya Royal Tour

    Katika kipindi cha Kinagaubaga cha Idhaa ya Kiswahili ya DW cha nchini Ujerumani, Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa ameeleza kiundani sababu za Rais Samia kurekodi Makala Maalum itakayoonyeshwa katika kipindi cha Royal Tour ambayo itatangaza Utalii, fursa za uwekezaji zilizopo nchini...
  17. CM 1774858

    Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

    Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata || ||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu, === Niseme kidogo kuhusu Rais Samia...
  18. BAK

    The Royal Tour ya Rais Samia ni wazo zuri lakini…

    ROYAL TOUR NI WAZO ZURI LAKINI... Nimetafakari sana kabla sijaandika maneno haya. Nina wazo gumu na mkono wangu hauna uwezo wa kuandika wazo langu kwa usahihi. Huu ni ulemavu wa wengi. Unachokitaka unakijua lakini kukiandika kwa usahihi huwezi. Huku vijijini ukipata mgeni wa kulala...
  19. B

    Royal Tour: Lini Tujifunze Ukiritimba ni Counter Productive?

    Kama nchi yaweza kuwa kukwama kwetu ni matokeo ya kuendekeza ukiritimba. Ukiritimba kila mahali. Si kwenye siasa, haki za kukusanyika, haki za kuzungumza, haki za kujumuika, kushirikishwa, kuona nk. Ni ukiritimba kwa kwenda mbele. Beberu yuko huku: Sisi hata ya royal tour...
  20. Nyankurungu2020

    PICHA: Rais Samia na Peter S Greenberg wakiandaa Royal tour lakini hakuna 'social distancing'

    Walinzi wa Rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
Back
Top Bottom