rwanda

  1. Huihui2

    Wajue M23, historia na uhusiano wao na Rwanda

    M23 ni kikundi cha waasi wa Kikongo kinachotegemezwa na Rwanda na kinachofanya kazi katika Mashariki mwa Kongo. M23 inasimama kwa "Movement of 23rd of March" (Harakati ya 23 Machi), jina lililotokana na makubaliano ya amani waliyofanya na serikali ya Kongo mwaka wa 2009. M23 ilitokana na CNDP...
  2. Carlos The Jackal

    Tanzania haitakuwa Salama, Endapo DRC itaangukia mikononi mwa RWANDA, M23 wapigwe na JWTZ Kwa makubaliano ya Taifa Kunufaika na Kukaa mashariki ya DRC

    Hamna wakati mwingine ambao Tanzania inahitaji DRC iliyotulia kama ilivyo Sasa !! RWANDA ni ka Nchi kadogo sana, Ambako kana maeneo machache ya kimkakati linapokuja suala la uchumi , wako limited katika Resources . Ndio Sababu Kagame Palipo na Migogoro anajitahidi kujiingiza na kusaini...
  3. Father of All

    Kenya, Tanzania, na Uganda zitwaeni Burundi, DRC, na Rwanda ili kuleta amani na maendeleo

    Tokana na chokochoko, migongano, migogoro, vita, na wizi nchini DRC, nashauri mataifa tajwa hapo juu yatie buti kwenye nchi hizo na kuzitwaa ili kuunda taifa moja kubwa na tajiri haraka. Tukizitwaa, DRC itasaidia kutoa ardhi kwa viinchi visivyo na ardhi ya kutosha kama Burundi, Rwanda, na...
  4. K

    Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!

    Jinsi Kagame anavyojibizana na Ramaphosa naona kama anajisahau sana Sidhani kama Rwanda itaiweza South Africa. Hii ni kutoka X (Twitter) I held two conversations this week with President Ramaphosa on the situation in Eastern DRC, including earlier today. What has been said about these...
  5. Alvin_255

    Occupational of Pan of the Congolese Territory in Kivu by Rwanda: Will Congo make it??

    The problematic aggression of which Congo is a victim of Rwanda is just an executive acting as a centuries-old arm of real aggressors: western powers (USA and Europe). We are at war against the Western Empire. This should be clearly said by the leaders to the Congolese people. *How did we get...
  6. Teknocrat

    Goma: Jeshi la Mamluki kutoka Romania wajisalimisha Rwanda

    Jeshi la kukodiwa la kutoka Romania, wameona moto uliukuwa unatembezwa na M23 na RDF, na kuamua kujisalimisha kwa UN, ambapo, waliombewa kuingiwa Rwanda kwa mipango ya kusafirishwa na kurudi kwa Romania...
  7. Mr Chromium

    Kama Rwanda iko interested na mipaka inabidi ijue kuwa Rwanda na Burundi sehemu ya Tanzania

    Angalia hii ramani
  8. Marie Antoinette

    Mercenaries kutoka Romania waomba njia Rwanda kurudi kwao

    Kundi la wazungu 288, waliokuwa wakioigana vita na M23 upande wa DRC, leo wametolewa kwenye kambi ya MONUSCO huko Goma, kuelekea mpakani mwa Rwanda na DRC. Wakisindikizwa na jeshi la M23, kundi hilo limekabidhiwa serikali ya Rwanda, ambayo itawasafirisha mpaka uwanja wa ndege Kigali, na...
  9. Marie Antoinette

    Abacancuro barwaniriraga DRC basabye u Rwanda inzira ibacyura

    Abacancuro mo mu gihugu cya Romania bafashaga FARDC urugamba rwo kurwanya M23, nyuma yo gutsindwa no guhungira mu kigo cy’ingabo za MONUSCO, basabye u Rwanda inzira ibageza i Kanombe ku buryo babona uko bataha iwabo. Bakigera ku mupaka, baherekejwe na M23, bashyikirijwe leta y’u Rwanda, na yo...
  10. W

    PDF la vita inayoendelea DRC, wakongo wa Mashariki wanaonewa na serikali yao, wakombozi wao ni M23 na Rwanda

    Kabla ya kuilaumu Rwanda kuhusu suala la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), nataka nikupatie historia fupi kuhusu kinachoendelea katika sehemu ya mashariki ya Congo. Hii ilianza vipi? Unachosikia kila mara ni kwamba Rwanda inaunga mkono waasi wa M23, na serikali ya DRC...
  11. W

    Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

    Bombe zinazotupwa na DRC kuelekea Rwanda, kwenye Gisenyi, karibu na mpaka wa Congo, Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome, kuharibu mabomu hayo angani kabla hayajafika ardhini na kugonga lengo." ================================== The bombs being thrown by DRC towards...
  12. W

    Huruma Katika Vita: Msaada wa Rwanda kwa Wanajeshi wa Kongo

    Wanajeshi wa Rwanda wanawahudumia wanajeshi wa Kongo wanaokimbilia Rwanda, ambao ni majeruhi wa vita. Jana, walipewa chakula, maji, na juisi. Licha ya yote, hawaonyeshi hasira wala kinyongo kwa kile ambacho serikali yao imewaambia. Rwandan soldiers are treating Congolese soldiers fleeing to...
  13. kaputula

    Tanzania tuchukue tahadhari kuzuia wakimbizi toka Rwanda

    Kuna kila dalili kuzuka vita kati ya DR Congo na Rwanda. Nchi kubwa ya Congo inaweza kuamua kupigana vita na Rwanda ambayo ni ndogo kabisa kulinganisha na DRC. Mwanzo wa vita pamoja na kiburi na kujiamini kwa watutsi wenye kutawala Rwanda DRC inaweza kuwavuruga vibaya. Pamoja na uzembe ufisadi...
  14. Beira Boy

    Hivi wanajeshi wa Congo wanajielewa kweli? Yaani wameiacha nchi yao wamekimbilia Rwanda kujificha?

    Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU Nimechoka kabisa jeshi la nchi limeikimbia nchi na kuwaachia wananchi msala Wanajeshi wa kongo wamekimbilia Rwanda na kupokelewa kama wakimbizi hii ni hatari sana aisee SAYUNI BOY
  15. Marie Antoinette

    Abasirikare ba FARDC bishyikirije u Rwanda

    Bamwe mu basirikare ba Congo n’abo mu mutwe wa Wazalendo wafatanyaga na leta ya Congo, bemeye kurambika intwaro bahunga M23, aho bageze mu Rwanda, bakirwa n’ingabo za RDF na Polisi. Bakigera mu Rwanda, batanze imbunda n’ibindi bikoresho bya gisirikare bari bafite, nyuma bajyanwa aho bagomba...
  16. Marie Antoinette

    Abakozi ba MONUSCO bahungishirijwe mu Rwanda.

    Nyuma y’intambara ikomeye ihanganishije ingabo za leta ya Congo, FARDC n’umutwe witwaje intwaro wa M23 ugenzura umujyi wa Goma, ari wo cyicaro gikuru cy’intara ya Kivu ya ruguru, abakozi ba Monusco n’imiryango yabo basabiwe inzira mu Rwanda, nyuma y’uko ikibuga cy’indege cya Goma n’ikiyaga...
  17. T

    MONUSCO yaanza kukimbilia Rwanda

    Baada ya kuzuia matumizi ya anga kwa ndege za kijeshi za DRC, badae M23 ilisema hata UN hairuhusiwi kutumia uwanja huo wa Goma. Taarifa ziliwafikia viongozi wa Umoja wa mataifa kwenye kikao cha dharula huko New York, na kutangaza kwamba wamezingilwa na uwanja hautumiki. Uwanja huo uliopo...
  18. Marie Antoinette

    MONUSCO yasabye u Rwanda kuyakira

    Nyuma y’aho ikibuga cy’indege cya Goma cyari cyemerewe gukoresha indege za UN gusa, mu masaha y’ikigoroba byarangiye ihinduye uwo mwanzuro na zo zibuzwa kuhagwa. Ni nyuma y’uko ingabo za SAMIDRC zirashe kuri M23 zirengagije amasaha zari zahawe yo kuba zashyize intwaro hasi. Imirongo y’imodoka za...
  19. Richard

    Congo DRC yavunja uhusiano na Rwanda kufuatia mzunguko wa Goma unofanywa na waasi wa M23

    Leo hii serikali ya Congo DRC imetangaza kuvunja mahusiano na Rwanda huku wanajeshi wapatao 13 wa kutoka vikosi vya kulinda amani na wanajeshi wengine wa kigeni kuuawa. Wizara ya mambo ya nje ya Congo DRC imetangaza leo kuwa inawaondoa watumishi wote walioko katika ofisi ya ubalozi wa Congo DRC...
  20. Daby

    Kama Rwanda ndiyo inaisaidia M23......

    1. Kwanini Jeshi la DRC lisiweke kambi kuzunguka mipaka yote ya Rwanda? Kama ni kweli Rwanda ndiyo inawafadhili waasi supply yote itaisha ndani ya mwezi mmoja. Yaani kama tunapigana na waasi wanaosaidiwa na kenya tunahakikisha kuanzia mwanza hadi kilimanjaro mipaka ina jeshi litakao tapakaa...
Back
Top Bottom