Sadaka
Je, ni sawa kuwa wanufaika wa jasho na sadaka za wengi waliokuwepo kabla yetu ikiwa hatuko tayari kuwa wa manufaa kwa watakaokuwepo baada yetu? Asilimia kubwa ya tulio hai leo hii, hatukuhusika katika jitihada za kujishindia uhuru dhidi ya ukoloni, bali ni wanufaika wa jitihada hizo. Japo...