Habar wadau,
Kuna wakati ukifika mtu unang'oa jino una miaka lets say 32. Je, upi ni uamuzi sahihi?
Nimefuatilia nimesikia kuwa jino pekee lunaloweza kuota tena ni deduced teeth na sio permanent teeth deduced tooth yale meno ya watoto stem cell inakuwa ipo juu ya fizi so likitoka linaota...