Boss mkubwaaaa yuko wapii huyuuu
Nakumbuka alivyokuwa akiwaotea wazee wakazi wa mwendokasi na wale wanaosimama vituo visivyo na maana
Kwakweli aliwashonaaaaa aliwanyoooshaaaa kwelii wengineoooo
Mpeni salam ubungo imetuliasan sema apunguze kidogo kufunga funga madreva wengine wanahitaji...
Habari za wakati huu kwenu wote!
UCHORAJI ni sanaa ya kuweka alama kwa kutumia vifaa mbalimbali vya kuchorea, kama vile kalamu ya wino au ya risasi , burashi ,
penseli za rangi ya wax, crayoni, makaa, choko, pastels, aina mbalimbali za erasers, markers, styluses, metali mbalimbali (kama...
Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama!
Nyimbo hio ilifungiwa mapema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.