saratani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Kasi ya ongezeko la Saratani za Kirusi cha HPV nchini yashtua

    Kirusi cha HPV (Human Papilloma Virus) kimetajwa kuwa hatari kwa kusababisha saratani za aina mbili zinazokua kwa kasi ikiwemo inayoathiri koo na shingo ya kizazi aina inayoongoza kwa asilimia 36 kati ya saratani zote zinazoshambuliwa nchini. Wataalamu wamesema asilimia 80 ya wagonjwa wa...
  2. JanguKamaJangu

    Utafiti: Wanaume wanakufa kwa Saratani kimyakimya

    Imebainika asilimia mbili tu ya Wanaume ndiyo wana uelewa kuhusu Saratani Mkoani Mwanza, hivyo kuwafanya baadhi yao kupoteza maisha kwa ugonjwa huo bila kujitambua. Utafiti uliokusanya taarifa katika vituo vya Afya 50 mkoani hapo kuhusisha watu 1,120 ni Wanaume 11 pekee kati ya 560 waliohojiwa...
  3. Sildenafil Citrate

    Wizara ya Afya kuzindua Chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi Nov 26, 2022

    Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema Novemba 26, 2022 watazindua upya utoaji wa chanjo ya Saratani ya Mlango wa kizazi nchini kwa wasichana ili kuwakinga dhidi ya aina hii ya saratani. “Tulianzisha sisi chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana (HPV vaccine), ikaanza...
  4. BARD AI

    UTAFITI: Kuna ongezeko kubwa la wenye chini ya miaka 50 kuugua Saratani

    Je, ni uchaguzi wa mtindo wa maisha au teknolojia bora ya uchunguzi? Kulingana na utafiti mpya, vijana wengi zaidi duniani kote walio chini ya umri wa miaka 50 wanagunduliwa kila mwaka na Saratani inayoanza mapema. Dk. Suneel Kamath, kutoka Kliniki ya Cleveland alisema, "Hivi ndivyo ninavyoona...
  5. Sildenafil Citrate

    Visa vya Saratani ya Ini Kuongezeka kwa asilimia 55 ifikapo mwaka 2040

    Idadi ya watu wanaougua au kufariki kwa ugonjwa wa saratani ya Ini wataongezeka kwa hadi zaidi ya asilimia 55 ya kiwango cha sasa ifikapo mwaka 2040 iwapo jitihada za haraka hazitafanyika kuikabili changamoto hii. Watu 905,700 walibainika kuwa na ugonjwa huu mwaka 2020 pekee huku wengine...
  6. Roving Journalist

    Saratani ya Uvimbe Tumbo kwa watoto

    Mjadala unaendelea muda huu kwenye Twitter Spaces ya JamiiForums Septemba 29,2022. Unaweza kusikiliza kupitia kiunganishi hiki hapa >>> JF SPACES Dr. Shakilu Jumanne Tunachoongelea hapa ni uvimbe unaotokea tumboni. Ni magroup ya magonjwa kadhaa yanayo sababisha saratani tumboni. Dr...
  7. BARD AI

    Serikali yakiri kuwepo uhaba wa vifaa tiba vya Saratani na Kisukari

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema watu 25,000 walifariki kwa ugonjwa wa Saratani ndani ya mwaka 2020 pekee na kuufanya ugonjwa huo kuwa tishio zaidi ya Uviko-19 ilioua watu chini ya 1,000 hadi sasa. Waziri Ummy pia amekiri kuwepo kwa uhaba wa vifaa tiba na dawa kwa wagonjwa wa Saratani na...
  8. Sildenafil Citrate

    Dawa za kuongeza makalio zinaua figo, maini na kusababisha saratani

    Wakati baadhi ya wanawake wakizichangamkia dawa za asili za kuongeza ukubwa wa makalio, watalaamu wamesema mpaka sasa hakuna dawa iliyothibitishwa na Mamalaka ya Dawa na Vifaatiba (TMDA) hivyo wajiepushe nazo. Tahadhari hiyo inatolewa huku matangazo ya dawa hizo pamoja na za kuongeza matiti na...
  9. JanguKamaJangu

    Takribani watoto 800 hugundulika kuwa na saratani kila mwaka

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, leo Septemba 23, 2022 ameweka wazi kuwa, kila mwaka takriban watoto 800 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani nchini Tanzania hivyo kuchangia ongezeko la vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Waziri Ummy amesema hayo katika kikao na Taasisi ya Global HOPE iliyoko...
  10. Sildenafil Citrate

    Utafiti: Pombe inaweza kusababisha Saratani

    Wahudumu wa afya nchini Scotland wamepewa mwongozo mpya unaoangazia uhusiano kati ya pombe na saratani. Mwongozo huo uliochapishwa na Scottish Health Action on Alcohol Problems (SHAAP), unabainisha kuwa unywaji pombe ni sababu ya hatari kwa saratani kadhaa. Inapendekeza wataalamu wanaweza...
  11. BARD AI

    Watoto wengi wanakutwa na Saratani iliyofikia hatua mbaya

    Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani na Damu kwa Watoto kutoka Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Dkt. Heronima Kashaigil amesema kuwa watoto 5 hadi 7 wanahudhuria Kliniki ya matibabu ya Saratani kila siku, sawa na watoto 250 kwa mwezi. Utafiti uliofanywa na Shirika la ICCARE Tanzania ulibaini...
  12. nicholaussixtus

    SoC02 Saratani ya Shingo ya Kizazi

    MAANA Saratani ya shingo ya kizazi ni ile inayoanzia sehemu ya mwisho ya nyumba ya kizazi , pale sehemu hiyo inapoungana na sehemu ya juu ya uke. JE, NINI CHANZO CHA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI? Virusi vya papiloma ndio chanzo cha saratani ya shigo ya kizazi Picha 01. Sehemu ya shingo ya...
  13. JanguKamaJangu

    Taasisi ya Saratani ya Ocean Road yakabiliwa na uhaba wa matiti bandia

    Taasisi ya Saratani ya Ocean Road iliyopo jijini Dar es Salaam inakabiliwa na uhitaji wa matiti bandia kwa ajili ya kusaidia akina mama wenye saratani ya matiti ambao wengi wao wamekuwa wakikatwa titi na hivyo kuhitaji titi bandia ili wawe na mwonekano mzuri. Hayo yameelezwa leo jijini Dar es...
  14. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Chanzo cha Saratani Kanda ya Ziwa ni majitaka yenye Zebaki (Mercury)kutoka migodini siyo maji ya maiti!

    Binafsi napinga kauli ya makamu wa Rais kuhusu chanzo cha saratani kanda ya ziwa kuwa maji ya maiti yenye chloroform. Ni heavy metals pekee kama mercury, lead, zinc na nyinginezo ambazo zinaweza kukaa kwa muda mrefu kwenye maji na ardhini hadi kuyeyuka kwenye maji na kudhuru watumiaji wa maji...
  15. gimmy's

    DOKEZO Maji ya kuoshea maiti yanayo lalamikiwa kutumika kuhifadhia samaki yanauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, Serikali imulike huko

    Salaam, Tafiti zinaonesha kwamba wagonjwa wengi wa Saratani wamekuwa wakitokea Kanda ya Ziwa jambo ambalo linapelekea Serikali kuhangaika kutafuta sababu kwanini Kanda ya Ziwa? Jana nimeona Mh Makamu wa Rais akiwa hospitali ya Bugando ameeleza moja ya sababu inayopelekea takwimu za saratani...
  16. John Haramba

    Wagonjwa 600 wa Saratani ya kinywa kwa mwaka

    Mratibu wa Afya ya Kinywa na Meno Taifa kutoka Wizara ya Afya, Dk. Baraka Nzobo amesema kwa mwaka 2021, takriban wagonjwa 600 waligundulika kuwa na saratani za kinywa na meno. Dk. Nzobo alibainisha hali hiyo Septemba 7, 2022, Mkoani Dar es Salaam katika mahojiano na Nipashe wakati wa Kongamano...
  17. J

    SoC02 Zungumza nami juu ya Saratani ya Mitoki- Hodgkin's Lymphoma

    Daima saratani hutishia inapokuja kugonga, lakini hivyo hasa wakati mlango ambao unagongwa hodi ni wa nyumba yako. Huzuni kubwa, ingawa tiba-mionzi ni bora sana katika kuharibu kansa seli yoyote zinazo wezekana kubakia, pia hutokea kuua seli za afya katika makundi pia ·Kama jambo la kweli, watu...
  18. phina98

    Gharama za operation ya saratani ya matiti Hospitali ya Ocean Road

    Habari za leo wapendwa, naomba msaada kwa anqejua garama za operation ya saratan ya matiti kwa pale ocean road nina ndugu yangu anaumwa hilo tatizo. Natanguliza shukrani 🙏🏻
  19. Miss Zomboko

    Vifo vya saratani vinasababishwa na tabia za kimaisha

    Utafiti mpya umehitimisha kwamba maradhi ya saratani yanaweza kuzuilika kwa kudhibiti visababishi vya maradhi hayo kama matumizi ya tumbaku na pombe pamoja na uzito mkubwa wa mwili. Utafiti huu ni kulingana na jarida la tiba la nchini Uingereza la Lancet. Utafiti huo umeongeza kuwa asilimia...
  20. JanguKamaJangu

    Msanii maarufu wa Rwanda, Yvan Buravan afariki Dunia kwa saratani

    Mwanamuziki maarufu Nchini Rwanda, Yvan Buravan (27) amefariki Dunia baada ya kusumbuliwa na Saratani ya Kongosho. Msiba umetokea usiku wa kuamkia leo Agosti 17, 2022 akiwa India alipokuwa akipatiwa matibabu. Buravan alianza kupata umaarufu mwaka 2016 kupitia wimbo wake wa Malaika, baada ya...
Back
Top Bottom