Saudi Arabia ambayo huendeshwa kwa sheria za dini ya kiislamu, wanafanya maandalizi ya kupindisha sheria ili Ronaldo aruhusiwe kuishi na mpenzi wake ndani bila ndoa....
Ni nchi ambayo huwa hawakawii kukata watu vichwa ka sheria zao kali za kidini......
Saudi Arabia is likely to bend its laws...
Katika kile kinachoonekana anataka ‘kutikisa kiberiti’ japo haijajulikana kama alikuwa anamaanisha au anatania, Kocha huyo wa Al-Nassr, Rudi Garcia ametoa kauli hiyo mbele ya waandishi wa habari wakati alipoulizwa juu ya ujio wa Cristiano Ronaldo kikosini hapo.
Amesema “Nilitaka kumsajili...
Umri wake ni miaka 37 mwakani mwezi wa 2 tarehe 5 atakuwa na miaka 38.
Amesaini mkataba wa kufuru utakaomfanya kulipwa pesa nyingi kuliko mchezaji yoyote duniani!
Kauli za Wakongwe hao wa Soka zinakuja muda mfupi baada ya #CristianoRonaldo kujiunga na Klabu ya #AlNassr kwa mkataba wa miaka miwili na nusu wenye thamani ya Tsh. Bilioni 493.7 kwa mwaka, sawa na Tsh. Bilioni 41.1 kwa mwezi.
#GaryNeville ambaye amewahi kuchezea #ManUnited amesema "Nilihisi...
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu ya Al Nassr ya nchini Saudi Arabia.
Mkataba huo utamfanya kuwa mchezaji anyelipa zaidi na atasalia klabuni hapo hadi 2025.
Ronaldo mwenye umri wa Miaka 37 amekabidhiwa jezi namba 7.Al Nassr ni...
Patriot missile air defense za gharama kubwa, Saudi Arabia akazishobokea kazinunua za kutosha, akadhani yuko salama!! Kilichotokea visima vyake vililipuliwa na drones za bei chee huku Patriot zikiwa zimetulia na hazijui kinachoendelea!!
Alilalamika lakini kiendacho kwa mganga hakirudi...
Juzi mchezaji wa Morocco alisema ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya waarabu na nchi za kiislamu, naye mfalme wa Arabia ameshukuru Morocco kwa kuwaakilisha waarabu vyema....
Waafrika tuache makelele haya mambo hayatuhusu, hata maustadhi waarabu wa Bongo ambao hupenda kushobokea waarabu asili...
Klabu hiyo imesema iko tayari kumsaini nyota huyo kwa mkataba wa miaka 3 ukiwa na thamani ya Tsh. Bilioni 174.9 kwa mwaka.
Aidha AL Nassr kutoka Mashariki ya Kati imesema haina tatizo endapo Ronaldo atataka kuendelea kucheza hata baada ya kufikisha miaka 40.
CR7 ndiye mchezaji pekee...
Nani kakuambia waarabu hawapendi sana mpira? Mfalme wa Saudi Arabia (King Salman) ameitangaza kesho tarehe 23/11/20-11 kuwa siku ya mapumziko ili watu wapate nafasi ya kufurahia na kusherehekea ushindi wa kuifuinga Argentina yenye Messi kwenye mechi ya Kombe la Dunia!
Sipati picha kama...
“Today there is spare capacity that is extremely low,” Saudi Aramco CEO Amin Nasser says at a conference in London. “If China opens up, [the] economy starts improving or the aviation industry starts asking for more jet fuel, you will erode this spare capacity.”
Nasser warns that oil prices...
Kufuatia kadhia mbalimbali zinazoendelea kwa wakazi wa ukanda wa Afrika mashariki kutoka nchi za kiarabu.
Bunge la kenya linategenea kupitisha azimia ka kupiga marufuku raia wao kwenda nchi za kiarabu kufanya kazi za ndani.
Majuzi hapo kuna video ilitapakaa kwenye mitandao ya kijamii...
Marekani inajiamini kuwa inaweza kuitishia nchi yoyote kama itaona kuwa inataka kufanya jambo ambalo litaathiri maslahi ya Marekani, hata kama jambo hilo ni kwa manufaa ya nchi hiyo.
Hapa duniani ziko nchi ambazo zimedhihirisha uthubutu wa kuiambia marekani ikome kuingilia maamuzi yao na...
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir amesema zaidi ya Watanzania 900 mwaka huu wamepata fursa ya kwenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia kupitia utaratibu rasmi.
Haya ni matuna ya diplomasia iliyojengwa na Rais Samia Suluhu.
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Ali Jabir Mwadini, amesema hakuna utaratibu unaowatambua Watanzania waliokwenda kufanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia.
Balozi Mwadini alisema hayo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanywa kwa njia ya video moja kwa moja kutoka Riyadh, Saudi...
This day is observed as the Saudi National Day and is celebrated with folklore dances, songs, and traditional festivals throughout the kingdom.
On September 23, 1932, the two kingdoms of Nejd and Hejaz were unified and renamed the Kingdom of Saudi Arabia by a royal decree from King Abdul Aziz...
Familia moja katika kaunti ya Kisii imeitaka serikali kuwasaidia kurudisha mwili wa binti yao kwa mazishi baada ya kufariki Saudi Arabia.
Naomi Barongo alifariki miezi miwili iliyopita katika hali isiyoeleweka baada ya kwenda Saudi Arabia mwaka 2021 kutafuta kazi.
Jamaa zake wamekuwa...
Msemaji wa Wizara ya Michezo Mohammed Fawzi amethibitha kuwa nchi hizo tatu zimekubaliana kuungana ili kuomba kibali cha FIFA na mazungumzo hayo yanahusisha wasimamizi wa michezo wa nchi hizo.
Misri inataka kutumia uzoefu wake wa muda mrefu katika masuala ya michezo ikiwemo kuwa mwenyeji wa...
This Kenyan girl called Diana Chepkemoi, Meru University student who went to find work in Saudi Arabia. She went healthy, now she is ENSLAVED. See her transformation. Our embassy has her location and employer's phone but they are sitting pretty waiting for her to die. Sad!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.