Habari wana jf,
Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada.
Naomba mwenye mawasiliano ya shule tajwa hapo juu ya St Teresa of avila girls Secondary iliyopo MWANGA, KILIMANJARO.
Nimejaribu kutafuta address zao kwenye website nimepata namba ambazo hazitumiki kwa Sasa.
Naomba...
Elimusoft inakuletea OFA ya kufungia mwaka
Tunatoa huduma ya SCHOOL & COLLEGE MANAGEMENT SYSTEM free kwa mwaka 2022 shule na vyuo katika ngazi zote
Mfumo una features zaidi ya 40, baadhi yake ni kama
Kutoa GPA ya motokeo ya mtihani ya kila mwanafunzi
Kutoa DIVISION ya matokeo ya mihani ya...
Head of Marketing
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Do you love creating engaging and successful content for a good cause? Are you passionate about fundraising? Do you have experience leading a team? Does it sound like we’re talking about you… Keep reading...
Wakuu Poleni na Majukumu ya kutwa Nzima!
Leo nimekumbuka Life la school lilivyokua na hasa Inshu ya Mapenzi, nilivyokua natesa watoto wa watu because nilikua kichwa class halafu Handsome, then mtu flani mkimya Pisi ikija naila kiwepesi halafu sitangazi hata kwa wahuni wenzangu.
Nikawaza sana...
Planet Open School ni taasisi inayochojihusisha na utoaji wa elimu kwa wale wanaojiendeleza kielimu.
Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry mwenye uwezo wa kufundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita.
Mwalimu atakuwa na vipindi vitatu kila week kwa kila somo. Baada ya...
Mugini Secondary School is seeking professional, hard-working Physics & Mathematics Teacher with at least four years of experience. The Institution demands independence, integrity, objectivity, competence and due care from all of its personnel in the conduct of its engagements. Our Company is...
Wandugu,
Kijana amechagliwa kwenda Lugalo kwenye clinical medicine. Kuna taarifa kuwa chuo kimefunguliwa tarehe 3/10/2021. Lakini joining instructions zinasema kufungua ni tarehe 11/11/2021.
Nifanyeje kupata uhakika. Ukipiga simu hawapokea.
Assist please to get the correct information.
We are looking for an education expert with experience school leadership and teaching to help lead the secondary school we co-manage so it can become and remain a model institution.
As our Secondary School Education Director, you will be a member of our senior staff and act as the...
Habari wakuu!
Mimi ni MWALIMU wa shule za msingi na awali,
Natafuta kazi kwenye shule hizo:-
1.nina DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION
2.nina CERTIFICATE IN INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY.
3.NI MWALIMU WA MZURI :-
*GEOGRAPHY
*KISWAHILI
*ENGLISH
*SCIENCE...
Kagame always a step ahead,
Dozens of Afghan schoolgirls, faculty and staff of the war-torn country's only boarding school for girls will be evacuated to Rwanda, the institution's founder said Tuesday, following a Taliban takeover earlier this month.
The militants have repeatedly promised a...
Hello,
Do you have experience in the production and supply of school uniforms to charity schools? Have you worked with not-forprofit
organisations?
What you need
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “Production and supply of school uniforms to The...
The School of St Jude is looking for a Higher Education Scholarship Officer.
What you’ll do
Identify international scholarship opportunities that provide access to higher education to high-achieving, low-income students.
Identify and build key relationships with international higher...
Kwa wenye kumbukumbu hizi shule kulikuwa na mchaka mchaka hatari tambaza hizo hizo kuna mtu anaitwa puza mchafu marehemu alikuwa mth na nusu yaani stand faya pale ilikuwa uwanja vita kila siku daaah mpk tambaza ikabadlshwa kuwa high school ikatulia kidogo
ABOUT GEITA GOLD INTERNATIONAL SCHOOL (GGIS)
Geita Gold International School (GGIS) is owned and maintained by Geita Gold Mining Ltd, located at Geita Region within the mine license area. The school is accredited by the Council of International Schools (CIS) and affiliated to Association of...
About School
Uru Community Pre and Primary Academy is a school under Neema International located in the village in Moshi, Kilimanjaro. The school provides free primary level education to vulnerable children from the Uru village and affordable high quality education to the community.
The Vacancy...
EXPRESSION OF INTEREST TO CONDUCT SCHOOL FEEDING SUSTAINABILITY STUDY
Overview
Project Concern International, a Global Communities Partner (PCI)’s integrated school feeding program, called Food for Education (FFE III), is funded by the United States Department of Agriculture (USDA)...
Wadau Habari za mida hii,
Joining instructions ya Shule ya Sekondari MLANGARINI haipatikani kwa utaratibu uliotolewa na TAMISEMI.
Kama kuna mdau anayo, basi naomba anitumie. Pia kama kuna mdau mwenye namba za mwalimu yoyote wa shule hiyo au shule jirani na hiyo, basi naomba anisaidie namba...
Wasalaam wakuu
Hivi ni kwanini watoto wetu wasifundishwe masomo kwa kiingereza toka wanapoanza nursery?
Huu mfumo wa kuwafundisha kwa kiswahili mpaka la saba halafu waanze tena kufundishwa kwa kiingereza kuanzia form one ni mgumu mno
Mtoto akifundishwa kwa kiingereza tokea nursery school...
Achievers Montessori School is the new Preschool and Daycare Center located at Mbezi Beach, Dar es Salaam. We are dealing with all kinds of children, ages 2-6.
We are looking for a one female Nursery school teacher
Requirements:
1. Having a diploma in childhood education with knowledge of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.