Kuna uhusiano gani kati hizi international schools na tabia ya mtoto?
99% ya watoto ninaowajua they are bad mannered,at least by our local standards of good conduct.
Job type: Full-time
ESL & Typing Teacher
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you enthusiastic about teaching both English and essential technological skills? Do you have the commitment and flexibility to adapt to various educational needs? Does it sound...
Sote tu Mashuhuda wazuri wa baadhi ya habari zinazotangazwa katika Vyombo vya habari na Mitandao ya Kijamii kuhusu Kesi zinazoendelea, ambapo kuna baadhi ya kesi nyingi hushtakiwa nazo watu pasipo hata wao kutenda makosa hayo.
Lakini Baadhi ya Mawakili wanaojua Vizuri Sheria na waliopita...
Hii ni shule ya mtu binafsi ina matawi mawili Madale na Ubungo.
Mmiliki wa shule hizi anatumikisha vijana bila kuwalipa anawalisha tu chakula cha wanafunzi na kuwatunza kama wanafunzi ila hawapati posho zao kama wanavyoahidiwa mwanzo.
Mtu ameanza kazi miezi mitano bila kulipwa ukidai anakujibu...
VACANCIES FOR THE SCHOOL YEAR 2024/25
We need the following staff immediately:
SECONDARY SCHOOL BIOLOGY TEACHER (IGCSE & A-LEVEL) TEACHERS APPLYING FOR ENGLISH TEACHER POSITION should have
Bachelor’s degree or higher in Education or a related field.
Prior teaching experience of Cambridge...
Mchakato wa kukusanyika maoni ya dira ya taifa ya maendeleo 2050 ukiendelea umekutana na maoni ya mmoja wa raia akilalamika maadili ya Mtanzania yakizidi kupotea hasa kwa watoto, raia huyu amelalama watoto kuacha kuimba nyimbo za Sunday school na kaswida badala yake wanaimba "vibuno", "honey"...
Za sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either magereza,ffu,Traffic,Police etc
Anahitaji kujua kua akifanikiwa kupita mafunzo na kila kitu na...
We’re looking for qualified and passionate Heads of Sports!
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about providing students with opportunities to learn and develop through sport within a holistic educational program? Are you dedicated to making a...
In Tanzania, education is a cornerstone for sustainable development, serving as the foundation for a progressive society. Presently, parents with children in public schools are relieved of school fees from primary through secondary education. As opposed to parents who choose private schools for...
Invitation:
Interested and registered architectural firms are hereby invited to express their interest in carrying out the “Concepts for sports fields in the new land at The School of St Jude, Sisia campus, Moivaro ward, Arusha”.
For more details, see the attached document.
TEACHER VACANCIES ANNOUNCED
Genesis Schools, established in 2002 and renowned for its Cambridge International Schools at Oysterbay and Kisota Kigamboni campuses in Dar Es Salaam, Tanzania, is seeking qualified and dedicated educators for the upcoming academic year starting in August 2024. Our...
Tunatafuta Tutor wa kufundisha Kozi za ICT mwenye Uzoefu mkubwa sana kufundisha vyuo vya kati,Tunataka mtu ambaye anajua na practical katika kufundisha kozi hizo za ICT.
Pia tunaitaji Tutor wa kufundish kozi za Clearing and Forwarding, Nursery school teaching, Hotel Management mwenye utaalamu...
Job Information
Nursery teaching job at Grace Schools Dar es salaam-Tanzania.
Vacancy title: Nursery teacher
Jobs at: Grace schools
No of Jobs: 2(Two)
Publishing date: 28th May 2024.
Deadline of this Job: 2nd June 2024
Duty Station: Dar es Salaam-Tanzania
JOB DETAILS:
Grace Nursery...
Habari wanaJamiiForums!
Naomba nisiandike mengi, naomba kupata taarifa kuhusu shule Turkish School of Zanzibar. Natamani kujua mazingira ya shule, ada na mengine mengi
Tanzania boasts a young and vibrant population, with a large portion attending government schools. Yet, the daily commute to and from school remains a hurdle for many students, impacting punctuality, safety, and ultimately, their educational experience. This article argues that implementing a...
Braeburn International School Arusha
INVITES APPLICATIONS FOR
Head Of Services
Braeburn International School Arusha is a co-educational day and boarding school catering for both the international and Tanzanian community. Accredited by the Council of International Schools, we have earned a...
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “Production and Supply of school uniforms to the School of St. Jude, Moshono Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their tenders to provide the service required. The school prefer bidders to have...
Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kupitia ofisi ya Udhibiti wa uborq wa shule Manispaa ya Moshi ,imeagiza kusitishwa mara moja ujenzi wa bwalo la chakula kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kibo.
Hatua hii inakuja kufuatia malalamiko ya wazazi/walezi wa wanafunzi wa shule ya...
Position: Senior Supply Chain Officer
A successful Senior Supply Chain Officer will:
Promote, encourage, and model Water Mission’s mission, vision, and values to the technical team members and all other staff members.
Team Leadership: Provide leadership, guidance, and mentorship to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.