Shule ya Arusha primary ni moja kati ya shule kongwe sana nchini Tanzania zinazofundisha kwa lugha ya kiingereza. Ilianza rasmi mwaka 1932.
Shule hii ambayo kwa sasa ipo chini ya Jiji , miezi ya karibuni imekuwa na mabadiliko mazuri ya kitaaluma, na kiutendaji, chini ya mwalimu mkuu Ridhiwan...
Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂
Naunga mkono hoja ya ulimwengu.
Position: English Teachers (O-Level)
Subject and work station:
English Literature & Kiswahili (O – Level) - Smith Campus, Usa River, Arusha
English Literature (O – Level) - Sisia Campus, Moshono, Arusha (Short Term Contract)
Who are you?
A highly-motivated teacher with excellent attention to...
Position: Specialist Community Relations
Who you are
Enthusiastic and compassionate individual with a genuine interest in community development and education.
Detail-oriented and organized with a keen ability to manage projects, logistics and tasks efficiently and accurately.
Possesses...
Position: Part-Time Teaching Assistant
Due to expansion, we are looking for an additional part-time teaching assistant. (Working hours; Monday to Friday 7.45am -12.45pm).
You must have a Tanzanian teaching certificate or diploma and have a minimum of 2 years teaching experience with 2-5 year...
Position: PE Teacher
Location: Arusha
Job type: Full Time, Fixed Term
Start date: August 2024
For this position, the ability to teach A-Level would be desirable. Candidates who can offer a second subject will also have an advantage.
We Offer:
Competitive terms of employment and outstanding...
wakuu naomba msaada namna ya KUTENGENEZA AUTOMATIC templete ya matokeo ya shule ya msingi....yaani niwe naweka tu majina na matokeo, template yenyewe iwe inanitafutia jumla,wastani, daraja na nafasi.....automatic.....msaada wakuuuu
Habari wadau?
Najiuliza why board ya uhasibu ina best students kwenye mitihani yao ya kupata CPA
Why Law school haina mambo ya nani best student?
Why ERB haina mambo ya best student?
Short history;
Azania secondary school is among the oldest schools in the country, started to operate in the year 1933. This means it is now 88 years old (2021). Formally the school was owned by Tanzanians of Asian origin before taken by government in the year 1967. The school is situated in...
Law School ni chuo cha ajabu!! Mwanafunzi huwa hapewi continuous assessment, anafanya mtihani wa mwisho bila kujua ana alama ngapi kwenye continuous assessment!! Matokeo ya mwisho ndo unaambiwa continuous assessment ulikuwa na grade gani!!
Jamaa yangu amechungulia akaunti yake akakuta amekandwa...
Namshukuru Mungu wa rehema.Nawashukuru walimu wangu wa Shule ya Sekondari Makongoro High school wilayani Bunda kunipa maarifa niliyonayo hivi leo.
Hii shule ndiyo iliyonitengenezea nafasi niliyonayo katika Taifa langu ambayo si haba.Namuomba Mungu wa Mbinguni awalinde walimu wangu.Walimu wangu...
Wadau January ndiyo hiyo na interview za form 1 zimeanza. Naomba mwenye kujua school fees za:
1. BAOBAB
2. MARIAN
3. HAMES
Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa mwaka please tujuzane.
Au ushauri wowote kuhusu shule za Form 1
Hii barabara ni kero sana tena sana. Mbunge wetu anaishia kutupanga kila mara. Hii barabara isipotengenezwa mpaka 2025 tutaona hakuna tofauti kati ya mbunge huyu aliyepo na yule aliyekuwepo.
Haiwezekani barabara ikawa mbovu kiasi hiki wakati huo sisi tuna mwakilishi. Mzee Magufuli (RIP)...
Position: Assistant Team Lead
About Us
The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. Every year we give 1,800 students with free, quality education, 100’s of graduates with access to higher education and provide more than 20,000 government school students...
Position: Primary School Teacher
Location: Williamson Diamonds Limited, Mwadui, Shinyanga
Grade: C2
Report: Head Teacher
Role Description:
The role is responsible to educate and motivate pupils as per the National Curriculum framework and using creative resources to contribute to their...
Position: Administrative Assistant
Category: (cf Policy 5.101) Administrative Management and Technical Support
Reports to: Director of Teaching and Learning
Department: Teaching and Learning
Summary of the Role
Reporting to the Director of Teaching and Learning, the Administrative Assistant...
Wadau hii shule ya kilangalanga wameamua kufuga majambazi.
Juzi tu mwanafunzi mmoja ambae alipewa adhabu na viranja kutokana na tabia yake ya wizi eti ameamua kuwakimbiza watu mabwenini akiwa na panga na kuleta taharuki kubwa shuleni.
Hivi kweli mwalimu mkuu na walimu wengine mpo serious...
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “The supply of maize to The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their tenders for the supply of the said item.
For more details, see the attached document.
Nimepita viwanja vya Tanganyika packers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea nchini? Kweli CCM ni chama dola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.