senegal

Senegal ( (listen); French: Sénégal; Wolof: Senegaal), officially the Republic of Senegal (French: République du Sénégal; Wolof: Réewum Senegaal), is a country in West Africa. Senegal is bordered by Mauritania in the north, Mali to the east, Guinea to the southeast, and Guinea-Bissau to the southwest. Senegal nearly surrounds The Gambia, a country occupying a narrow sliver of land along the banks of the Gambia River, which separates Senegal's southern region of Casamance from the rest of the country. Senegal also shares a maritime border with Cape Verde. Senegal's economic and political capital is Dakar.It is a unitary presidential republic and is the western-most country in Afro-Eurasia. It owes its name to the Senegal River, which borders it to the east and north. Senegal covers a land area of almost 197,000 square kilometres (76,000 sq mi) and has a population of around 16 million. The state was formed as part of the independence of French West Africa from French colonial rule. Because of this history, the official language is French. Like other post-colonial African states, the country includes a wide mix of ethnic and linguistic communities, with the largest being the Wolof, Fula, and Serer people, and the Wolof and French languages acting as lingua francas.
Senegal is classified as a heavily indebted poor country, with a relatively low Human Development Index. Most of the population is on the coast and works in agriculture or other food industries. Other major industries include mining, tourism and services. The climate is typically Sahelian, though there is a rainy season.
Senegal is a member state of the African Union, the United Nations, the Economic Community of West African States (ECOWAS), and the Community of Sahel-Saharan States.

View More On Wikipedia.org
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Rais wa Nchi ya Senegal ampongeza Pape Sakho

    Tunaendelea kupokea pongezi kila kona ya dunia. Safari hii tumepokea pongezi toka ikulu ya Senegal kupitia kwa Rais Sall.
  2. beth

    Rais Samia Suluhu Hassan aondoka Nchini kuelekea Dakar, Senegal kuhudhuria Mkutano

    Taarifa katika Ukurasa Rasmi wa Twitter wa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango inasema, "Leo tarehe 06 Julai, 2022 nimeagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kabla ya Mhe...
  3. JanguKamaJangu

    Wahamiaji 14 waliokuwa wakizamia kwenda Ulaya wafariki baada ya boti kushika moto Senegal

    Wahamiaji 14 wamefariki Dunia baada ya boti waliyokuwa wakiitumia kushika moto katika Jimbo la Kasamance Nchini Senegal. Safari yao ilikuwa ni kuelekea Ulaya kupitia Visiwa vya Kanari vya Hispania. Meya wa Mji wa Kafountine jimboni hapo, David Diatta amesema wamefanikiwa kupata mili 14 baada...
  4. J

    Ule ujinga waliofanya Senegal kwa Egypt, Simba nao wamefanya

    Ni ujinga wa kumulika wachezaji wa timu pinzani na tochi usoni, sijui soka la Afrika linaelekea wapi.. Timu haziwezi kushinda bila figisu?
  5. Cannabis

    FIFA yaamuru Mechi kati ya Senegal na Egypt irudiwe

    Shirikisho la soka duniani Fifa limeamuru mechi ya marudiano ya mchujo ya Kombe la Dunia kati ya Misri na Senegal. Haya yanajiri baada ya Chama cha Soka cha Misri (EFA) kuwasilisha rufaa iliyofanikiwa dhidi ya Senegal kikisema timu yake ya taifa ilifanyiwa ubaguzi wa rangi na vitisho ilipokuwa...
  6. M

    Jana nimeangalia katuni za mechi ya Senegal na Misri

    Jana hali yangu ya afya haikuwa njema sana,ilibidi ninywe dawa ambazo kumbe zilinipa usingizi.Wakati huo huohuo nilikuwa nasubiri Kwa hamu wanaume wa Kiafrica. Senegal na Cameroon wapindue meza! Baada ya kuamka nilikimbilia kwenye simu yangu kuitafuta mechi live, baada ya kuserch kidogo...
  7. J

    FIFA inatakiwa kuwaondoa Senegal World Cup kwa mchezo mchafu dhidi ya Egypt

    Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti Hili limewaathiri sana wachezaji wa...
  8. 44mg44

    Mech ya Senegal Vs Misri inaanza saa ngap kwa majira ya Tanzania?

    Mwenye taarifa naomba ansaidie il nijiandae nkachek mech kubwa na tam
  9. Chaliifrancisco

    Maajabu ya Afrika: Picha zinapingana na Uhalisia (DR Congo U16 vs Senegal U16)

    Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (U16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal 3-1. Hivi ndiyo vikosi vya team zote mbili. Mabingwa DR Congo. Mshindi wa pili Senegal...
  10. Suley2019

    Wachezaji wa Senegal wazawadiwa pesa na viwanja

    Senegal imemzawadia kila mchezaji wa timu ya taifa ya kandanda zawadi ya pesa taslimu na mashamba kufuatia ushindi wao katika Kombe la Mataifa ya Afrika. Kila mchezaji wa timu alipokea zaidi ya $87,000 (zaid ya TSH milioni 200) na kiwanja katika mji mkuu, Dakar, na katika mji jirani wa...
  11. John Haramba

    Mambo 7 kuhusu Sadio Mane wa Senegal, Liverpool ikiwemo alivyogoma kuitwa MFALME

    Sadio Mane ametimiza ndoto yake ya kihistoria ya kuisaidia timu yake ya taifa Senegal kushinda kwa mara ya kwanza taji la AFCON. Mane ambaye ni staa wa Liverpool ana utofauti na mastaa wengi matajiri hasa katika matumizi ya fedha zake. Ametokea familia ya kimasikini ambayo ilikabiliwa na...
  12. John Haramba

    Rais Senegal aagiza leo mapumziko ya taifa kusherekea ubingwa wa AFCON

    Rais wa Senegal Macky Sall, ametangaza leo Jumatatu Februari 7, 2022 kuwa ni siku ya mapumziko maalum nchini kwake kwa ajili ya kusherehekea ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON2021 waliochukua usiku wa kuamkia leo kwa kuifunga Misri kwa penati 4-2. Sall, alikuwa njiani kwenda katika...
  13. John Haramba

    Senegal wafalme wa Afrika, watwaa AFCON mbele ya Misri

    #TeamSenegal imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga #TeamMisri kwa penati 4-2 katika mchezo wa fainali ulichezwa kwenye Uwanja wa Olembe jijini Yaounde, Cameroon. Timu hizo zilimaliza dakika 120 za mchezo huo kwa suluhu ya 0-0, hivyo kwa matokeo hayo...
  14. H

    Timu za taifa za Cameroon na Senegal ziungane tupate timu moja yenye uzito wa tani moja

    Kwanza niipongeze timu ya taifa ya mpira wa miguu ya cameroon kwa kupindua meza jana 5.02.2022 dhidi ya timu ya taifa ya burkinafaso baada ya kutoka nyuma kwa mabao 3 kwa bila na ndani ya dakika 20 za mwisho wakasawazisha na hatimaye kupata ushindi wa penalt kwenye mashindano ya afcon kumtafuta...
  15. Sam Gidori

    Mossad yatajwa kutibua shambulio dhidi ya Waisraeli katika nchi za Tanzania, Ghana na Senegal

    Watu watano wanaripotiwa kutiwa mbaroni katika nchi za Tanzania, Ghana na Senegal wakihusishwa na jaribio lililotibuliwa la shambulio dhidi ya Watalii wa Israel, Kituo cha Televisheni cha Channel 12 cha Israel kimeripoti. Kituo hicho kimenukuu taarifa za kiintelijensia zikionesha kuwa watu hao...
  16. M

    Ujerumani: Mbunge mwenye asili ya Senegal ameshinda jimbo la uchaguzi

    Karamba Diaby alishinda jimbo la Halle (Saale) kwenye uchaguzi mkuu nchini Ujerumani tarehe 26 Septemba. Dk Karamba alizaliwa Senegal akafika Ujerumani akiwa mwanafunzi mnamo mwaka 1986. Baada ya kuhitimu shahada ya uzamivu ya kemia alianza kujihusisha na siasa akajiunga na Chama cha...
  17. beth

    Guinea: Jeshi kuanza kufungua Mipaka

    Jeshi Nchini Guinea limetangaza mchakato wa kufungua taratibu Mipaka na Nchi jirani ambayo baadhi ilifungwa baada ya Rais Alpha Conde kupinduliwa na mingine ilikuwa imefungwa miezi kabla Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Rais Conde aliamuru Mipaka ya Senegal, Sierra Leone na Guinea-Bissau...
  18. beth

    Senegal: Watu wapatao 48 hawajulikani walipo baada ya boti kupinduka

    Takriban watu 48 hawajulikani walipo baada ya boti iliyokuwa imebeba abiria wapatao 60 kupinduka Pwani ya Kaskazini mwa Nchi hiyo. Abiria 11 ambao 8 ni Raia wa Senegal na 3 ni Raia wa Gambia wamekolewa Kumekuwa na ongezeko kubwa la Wahamiaji wanaofanya safari hatarishi kutoka Barani Afrika...
  19. Shadow7

    Mwanaume huko Senegal avalia kama msichana kumfanyia mpenzi wake mtihani

    Mwanafunzi wa chuo kikuu huko Senegal yuko amejipata mashakani baada ya kuvalia kama mwanamke ili kumfanyia mpenzi wake mtihani wa somo la Kiingereza. Picha za Khadim Mboup akiwa amevalia nguo za wanawake zimesambazwakatika mitandao ya kijamii na katika vyombo vya habari nchiniSenegal...
  20. beth

    Ununuzi wa ndege mpya ya Rais wa Senegal wazua gumzo

    Ununuzi wa Ndege ya Rais umeibua mjadala Nchini humo ambapo Wanachama wa Asasi za Kiraia na Upinzani wametaka kuwepo uwajibikaji katika ununuzi wa Ndege hiyo aina ya Airbus A320 Neo itakayowasili Julai. Msemaji wa Serikali, Oumar Guèye amesema Ndege iliyopo imekuwa ya kizamani huku gharama za...
Back
Top Bottom