Kwa mara nyingine serikali ya CCM imechanwa laivu. Haina aibu, huruma wala utu. Ajabu na kweli yenyewe inaona sawa tu.
Inamwakilisha nani kwenye minajili hii? Labda walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo?
Yamejiri laivu kwenye mkutano wa wafanya biashara Kariakoo na Waziri Majaliwa...