shamba

Sergei Shamba (Abkhazian: Сергеи Шамба, Georgian: სერგეი შამბა) is a senior politician from Abkhazia. He is currently a member of the People's Assembly of Abkhazia and Chairman of United Abkhazia. He was Prime Minister of Abkhazia under President Sergei Bagapsh from 13 February 2010 until 27 September 2011. Between 1997 and 2010 he had been Minister for Foreign Affairs under both Bagapsh and his predecessor Vladislav Ardzinba, with only a half-year interruption in 2004. Shamba has twice unsuccessfully participated in Presidential elections, in 2004 and 2011. He has been a staunch proponent for dialogue between Abkhazia and Georgia.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    Geita: Mwanafunzi wa Kidato cha 2 auawa baada ya kutuhumiwa kuiba kuni kwenye Shamba la Miti

    Jesshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia Said Shabani (39) kwa kosa la kumuua Naomi James (17) mwanafunzi wa kidato cha pili, Shule ya Sekondari Kivukoni, mkazi wa Mtaa wa Nyatorotoro B, Kata ya Nyankumbu wilayani Geita Mkoani Geita kwa kumutuhumu kuiba kuni. Akizungumza tukio hilo leo...
  2. Mwita Mtu Mrefu

    Plot4Sale Shamba ekari 60 linauzwa Morogoro

    Shamba linauzwa Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Turiani, kijiji cha Dihinda. Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe. Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde na miinuko, maji yapo karibu ukichimba kisima. Shamba liko umbali wa KM 5 Toka Barabara ya Turiani...
  3. Magari ya Biashara

    Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  4. hp4510

    Natafuta shamba boy

    Jamani ni shamba langu liko Chanika, ndani yake kuna mazao kama migomba, mihogo na papai Sasa natafuta kijana ambae atakaa shamban na kuangalia mazao yangu na kumwagilia migomba Hapo shamban nimejenga chumba na sebule ambavyo anaweza kukaa Huduma za kijamii zipo za kutosha Kwa yoyote ambaye...
  5. A

    Plot4Sale Shamba linauzwa

    Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali mahindi,matikiti,nanasi,mihogo,alizeti,ufuta,mitikiti,Nazi,migomba,embe ,michugwa n.k. Mawasiliano :0629075172
  6. T

    Msaada: Kanguru wanafukua mahindi shamba lote

    Jamani dunia inamajaribu kila ukijaribu kujikwamua kinaibuka kikwazo ufeli, Kunguru wanafukua mahindi yanayoanza kuota, wamekula shamba zima. Mwaka Jana panya walikagua kula mstari na kula mahindi yote niliopanda.Msaaada wa kuwadhibiti hawa viumbe. Panya nilijaribu kumwaga mahindi ya sumu...
  7. Snipper

    Shamba eka 4 Kimbiji Kigamboni linauzwa

    Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 7 kwa kila eka. Umeme upo karibu sana na shamba. Tuwasiliane kwa anayehitaji.
  8. Mduma Farms

    Nauza vitunguu Maji, Shamba lipo Arusha 17km kutoka Arusha Mjini, Cash customer anicheki Kwa namba 0717329393

    Mjini, Cash customer anicheki Kwa namba 0717329393
  9. Dith

    Plot4Rent Nauza shamba maeneo ya Mkuranga

    Shamba hili lipo maeneo ya Mkuranga kikungo sehemu panaitwa Kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya kiparang'anda). Lina heka 4 zinapelea kidogo. Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k. Shamba...
  10. K

    Kwa heshima na taadhima, sisi wananchi tunaomba kujua hatma ya shamba la mifugo la Utegi

    Serikali iliwapa Wananchi wa vijiji sita vinavyozunguka shamba la Mifugo la Utegi baada ya Serikali kuwaeleza kuwa hawatalipwa chochote badala yake watapewa shamba kufidia malipo ambayo wangelipwa baada ya kuhamishwa na Serikali. Hata hivyo Serikali iliwaomba walipe kiasi kidogo (token figure)...
  11. TAJIRI MSOMI

    Plot4Sale Shamba la miti eka 67 milingoti linauzwa kila eka 3m

    Wakuu Habari, Ninashamba langu Naliuza Ekari 67 na kila eka ni Tsh.3m ,miti aina ya milingoti ina miaka mitano, ambayo baada ya miaka miwili utauza, Nimepatwa na shida inayohitaji fedha nyingi.Shamba lipo wilaya ya Mfindi , kijiji cha Uhafiwa, na Lipo barabarani,.... Endapo utahitaji na ardhi...
  12. JFK wabongo

    Yanga SC tununue hili shamba Kiluvia Makurunge tujenge uwanja tuuite Jakaya Kikwete

    Kichwa cha habari kinajieleza. Kwa nini kiwanja pande hizi? Jibu: Ni rahisi kufikika na mashabaki hata wa mikoani. Jiji la Dar linakua kuelekea Kibaha na Bagamoyo. Hivyo kujenga uwanja pande hizo kutaongeza ari ya mashabiki kuhudhuria uwanjani. Kwanini tuuite Jakaya Kikwete? Jibu: Ni rais...
  13. T

    Plot4Sale Shamba linauzwa

    Shamba linauzwa Kilolo Iringa. Lina ukubwa wa ekari 100 na limeoteshwa miti ya pine. Kama unahitaji wasiliana kwa namba 0758 256 297
  14. OKW BOBAN SUNZU

    Uchaguzi 2020 Ubunge Morogoro Mjini: Abood apitishwa kuwa Mgombea pekee. Wenzake wakosa vigezo

    Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa...
  15. T

    Nahitaji shamba ekari 2, maeneo ya Bagamoyo au Mlandizi

    Wadau habari, nahitaji shamba eneo la mlandizi au bagamoyo. Eneo liwe linafikika kwa barabara ya gari na liwe flat. Ukubwa ni isipungue ekari 2.
  16. J

    Msajili mkemee Meya Jacob anayedai CHADEMA wanapendeza ila CCM wakiwa mkutanoni wanakuwa kama shamba la migomba

    Nimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba. Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera. CCM na...
  17. Sky Eclat

    CCM ni mfano halisi wa shamba la bibi, Mali za chama ni ulaji wa makada

    Wilayani kwetu tangu nikiwa mdogo, kuna kiwanja kilichotengwa kwa ujenzi wa Ofis za Chama Wilaya, kiwanja hiki kilikuwa kwenye prime area kinatazama barabara kuu. Wakubwa walifika bei na kumuuzia Mwarabu ambae amejenga Hotel. Mpaka sasa ofisi ya CCM ni ile ile iliyokuwa ya TANU. Kuna pesa za...
  18. I

    Lile shamba nililokuwa nauza hatimaye nimefikia hapa

    Habari wapendwa, Poleni na majukumu kunakipindi nilikutana na changamoto flani nikataman niuze baadhi ya vitu kimoja wapo lilikuwa ni shamba langu lile la Kilosa. Nashukuru Mungu sikupata mteja maana bei nilio kuwa nauza na ninacho kiona sasa nilikuwa nauza bei sawa na bure. 1. Zao la ufuta...
  19. REDEEMER.

    Kilimo cha mboga mboga Tanzania/ horticulture: Jinsi ya kuandaa shamba, palizi na kuvuna

    Ama kwa hakika hayawi hayawi sasa yamekua, asiye na mwana aelekee jiwe ndio funzo la wahenga kwa yeyote atae shupaza shingo lake basi mvunjiko ndio halali yake. Ni Tanzania ndio ni Tanzania tena kama sio Tanganyika mbabe na muasisi wa uchumi dynamic na usio na ulemavu katika sector moja...
Back
Top Bottom