shamba

Sergei Shamba (Abkhazian: Сергеи Шамба, Georgian: სერგეი შამბა) is a senior politician from Abkhazia. He is currently a member of the People's Assembly of Abkhazia and Chairman of United Abkhazia. He was Prime Minister of Abkhazia under President Sergei Bagapsh from 13 February 2010 until 27 September 2011. Between 1997 and 2010 he had been Minister for Foreign Affairs under both Bagapsh and his predecessor Vladislav Ardzinba, with only a half-year interruption in 2004. Shamba has twice unsuccessfully participated in Presidential elections, in 2004 and 2011. He has been a staunch proponent for dialogue between Abkhazia and Georgia.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    Matajiri Wamekodi Mbuzi wale Shamba la Mbigili na kulimaliza. Wamekeleka!

    Salaam Wakuu, Baada ya Kuvumilia kwa muda mrefu, sasa wameamua kuoneshana Makali. Mwenye pesa zake kakodi mbuzi washambulie shamba la Mbigili. Wanashindwa kujua Mbuzi anakula Majani, Mizizi ya Mbigili imejichimbia chini. Baada ya Mwenye shamba kuoneaha jeuri ya yasiyowezekana 2021,Sasa...
  2. waziri2020

    Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa “kutafuna “mil 140 ,wadaiwa kuigeuza halmashuri shamba la Bibi.

    Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa kuchota milioni 140 fedha za makusanyo ya ndani. *Wadaiwa kuigeuza halmashauri “shamba la bibi “ *Yumo mwanasheria,mhasibu,mkaguzi wa fedha za ndani pamoja na mtaalamu wa mfumo wa mashine za kukusanya mapato . Na,Mwandishi Maalumu SIRI mbalimbali za...
  3. Idugunde

    Huyu kiongozi wa ACT-Wazalendo ni mkweli? Anadai Magufuli alituma watu wachome nyumba yake na shamba lake la mikorosho

  4. mdukuzi

    Natafuta shamba la kukodi DSM au mkoa wa pwani

    Nahitaji ekari moja au mbili shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo kwa maeneo tajwa hapo juu,kuwe na maji ya kumwagilia,
  5. K

    Rais tunakuomba uturudishie shamba letu la Utegi wilayani Rorya

    Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee. Mhe. Rais uongozi wako umeturidhisha sisi Wananchi japo ni kwa muda mfupi. Mhe. Rais historia ya shamba hili ni ndefu lakini kwa kifupi naomba nitoe historia yake. Mhe Rais katika miaka ya 1970 Serikali kwa nia nzuri...
  6. J

    Kwanini uandae shamba kabla ya kupanda mazao?

    Habari yako Naamini unaendelea vizuri na kama haupo vizuri basi MUNGU afanye wepesi kwaajili yako. Karibu tujifunze pamoja Kwenye kilimo kuna mambo mengi sana ambayo huchangia sana katika mavuno baadae ikiwamo kuandaa shamba kuchagua mbegu,kutunza shamba na kulinda shamba . Miongoni mwa mambo...
  7. CASSIUS

    Poultry farm Manager (Msimamizi wa Shamba la Mradi wa ufugaji wa Kuku wa Nyama)

    Anahitajika mtaalamu wa kilimo na mifugo mwenye elimu ya kuanzia ngazi ya stashahada mwenye ujuzi na uzoefu kwenye tasnia ya ufugaji wa kuku wa nyama wa kisasa. Eneo la Mradi: Kazimzumbwi - Kisarawe (Pwani) Anatafutwa mtu mwenye sifa:- Mwenye ujuzi na uzoefu wa kusimamia na mradi wa ugugaji wa...
  8. Magari Nusubei

    Plot4Sale Nina shida: Nauza shamba langu heka 15 Bagamoyo bei ya kutupa

    Shamba lipo fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo Fukayosi Bagamoyo - km 10 kutoka Bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote. Bei ni milioni 15 (15,000,000/=) tu Nauza lote...
  9. Analogia Malenga

    Teksi zageuka kuwa shamba la mboga Thailand

    Katika maegesho ya gari nchini Thailand katika mji mkuu wa Bangkok, utaona mbogamboga zikiwa zimeota katika paa ya magari ya kukodi ambayo yana rangi mbalimbali za kung'aa. Vizuizi vikali vilivyowekwa nchini Thailand dhidi ya Covid-19 vimesababisha mji huo ambao ulikuwa na hekaheka nyingi kuwa...
  10. Ramon Abbas

    Plot4Sale Shamba kubwa linauzwa, miono chalinze mkoa wa pwani.

    Hili hapa shamba pori. Eka 50 liko miono chalinze pwani. source ya maji ipo 24hrs. Tsh 220,000 kwa ekari moja call 0683011003.
  11. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  12. Ramon Abbas

    Plot4Sale Shamba kubwa la kilimo Mvuha Morogoro

    shamba Liko mvuha morogoro ni eka 49 kila eka laki 5 na nusu ila maongezi yapo wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar nasaka 4, kushoto matombo mkuyuni morogoro masaa 2,kulia dutumi kisaki stiglas masaa 2 ni eka 49 lina hati yakimila limepimwa na GPS...
  13. Ramon Abbas

    Plot4Sale Wahi shamba la uwekezaji Morogoro: Ekari 49 zinauzwa kwa bei poa

    Shamba limelimwa mara mbili ni safi hati ipo ya kimila. kila eka ni laki 5 na nusu MAELEZO YA SHAMBA wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar Masaa ma4, kushoto matombo mkuyuni morogoro masaa 2,kulia dutumi kisaki stiglas masaa 2 lina hati ya kimila...
  14. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Mbwewe barabara ya Tanga kabla ya kufika mkata Mashamba kilomita Kilomita 1 Kutoka barabara kuu ya lami : 250,000 kwa heka Kilomita 3 Kutoka barabara kuu ya lami : 200,000 kwa heka Kilomita 10 Kutoka barabara kuu ya lami : 100,000 kwa heka MUHIMU : Unaweza kupata Kuanzia acre 10 Mpaka acre 500...
  15. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mkuu atembelea shamba na kiwanda cha parachichi Rungwe

    WAZIRI MKUU ATEMBELEA SHAMBA NA KIWANDA CHA PARACHICHI RUNGWE Awahamasisha wananchi waongeze mashamba, parachichi zina faida kubwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea shamba la parachichi na kiwanda cha kuchakata mazao ya parachichi na kuwasisitiza wananchi walime zao hilo kwa kuwa...
  16. M

    Natafuta shamba la kununua Kisaki heka 50 - 200

    Wadau wasalaam! Nataka kuanza kilimo kikubwa maeneo ya kisaki, morogoro. Natafuta shamba la kununua eka 50 mpaka 200. Naomba offer au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu wa eneo hili. Asanteni.
  17. Mawembasa1979

    Natafuta Bwana/Bi Shamba (Crop Production Specialist) wa kusimamia shamba kwa muda wa miezi 6 kuanzia Oktoba 2021

    Natafuta Crop Production Specialis wa kusimamia shamba langu lililopo Dodoma eneo la Zuzu nje kidogo ya Jiji la Dodoma. Shamba hilo ni jipya (halijawahi kulimwa) litaanza kulimwa kuanzia Oktoba 2021. Kazi ya kusimamia shamba hilo itaanza mwezi Oktoba 2021 na itaendelea kwa muda wa miezi 6...
  18. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Napatikana Arusha, shamba liko maeneo ya Nduruma. Shamba liko full drip kwa ajili ya irrigation nahitaji mtu tutakayeingia ubia tufanye kazi ya kilimo pamoja . Tunatumia diesel kujaza maji kwenye bwawa. Bwawa lina uwezo wa kuingia maji lita ml 1.2 maji yakatokea kwenye kisima mita 107. So...
  19. M

    Mashamba yanayofaa kwa kilimo cha matunda aina ya parachichi au miti ya mbao yanauzwa

    Lipo Kijiji cha mfriga Kata ya mfriga Tarafa ya lupembe Mkoa wa njombe Ukubwa ni eka 30 Bei ya kila eka ni tsh 100000 Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0784340024 Sent using Jamii Forums mobile app
  20. Ramon Abbas

    Plot4Sale Shamba la ekari 100 linauzwa kwa milioni 12

    Shamba la ekari 100 linauzwa, Tshs milioni 12 (laki 1.2 kwa eka 1) zao la korosho inakubali Sana hapo. SHAMBA lipo wilaya ya manyoni kijiji cha (....) mkoa wa singida. Shamba linakubali sana zao la KOROSHO mazao mengine yanayokubali hapa ni karanga, alizeti, ufuta, njugu, mihogo...
Back
Top Bottom