Sheikh ( SHAYKH, SHEEKH; Arabic: شيخ šayḫ [ʃajx], mostly pronounced [ʃeːx], plural شيوخ šuyūḫ [ʃuju:x])—also transliterated sheekh (Iraq), sheik, sheyikh, shaykh, shayk, sheikh, shekh, shaik and shaikh—is an honorific title in the Arabic language. It commonly designates a chief of a tribe or a royal family member. It is also commonly used to refer to a Muslim religious scholar. The term can be literally translated to "Elder".
Leo sheikh wa Dar es Salaam, Mussa Alhadi kabla hajaomba dua kwenye hafla iliyomjumuisha Rais Samia, alitoa salamu za kamati ya amani kumshukuru kwa kutimiza maombi yao ya kumuachilia huru Mbowe na wenzake kutoka kwenye kesi ya ugaidi.
Sheikh Alhadi: Napenda nitoe salam za kamati kukushkuru...
TAARIFA YA KIFO CHA SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE MAY 1999
Nimeweka hapa historia ya dua iliyofanywa Mnyanjani mwaka wa 1958 ka ajili ya kutaka msaada wa Allah katika tatizo kubwa lilikokuwa linaikabili TANU katika Uchaguzi wa Kura Tatu.
Kisa chote kile cha dua hii ya Mnyanjani kuanzia Mwalimu...
KUMBUKUMBU YA KESI YA SHEIKH PONDA MOROGORO 2015
''Allah ni Mjuzi Allah na ni Mbora wa kulipa.
Sheikh Ponda utayakuta malipo yako kwa Allah yakiwa makubwa kwa subra na ustahamilivu kwa ajili ya dini yake.
Hukuwa tayari kuuza uhuru wako kwa matakwa ya wenye kudhulumu.
Muda wote ulitutia moyo...
SIKU MOJA NA SHEIKH PONDA MAHAKAMANI MOROGORO
Miaka saba iliyopita siku kama ya leo.
Siku nyingi zilikuwa zimepita sijamuona Sheikh Ponda si kwa kuwa alikuwa kifungoni mahabusi bali nilikuwa nje ya Dar es Salaam kwa muda mrefu.
Nikaamua kwenda kumuona mahakamani Morogoro kesi yake ilipokuwa...
The ruler of Dubai and head of global racing giant Godolphin, 72, was hit with the half-a billion-pound settlement in a 73-page ruling published on Tuesday.
And as part of it, Princess Haya, 47, has been awarded £5m to ‘buy a few reasonable horses’ of her own and ‘run them for several years’...
Sheikh Ponda, mwanazuoni maarufu nchini asiyeupa nafasi unafiki amefunguka bayana:
Kwenu viongozi wengine wa madhehebu zingine:
"Ninyi dhuluma hizi kwa wengine haziwafikirishi kabisa?"
Kwa maoni yangu binafsi, Al Sheikh Saad Al Ghamidi ndio Sheikh ambae ame i recite Suratul Yaseen kwa kutumia melody nzuri pengine kuliko yoyote yule duniani. Nenda You Tube kisha type " Surah Yasin ( FULL) Beautiful. Ina views Milioni 51 na imekuwa uploaded 9 years ago...
SHEIKH
Ni jina la heshima katika lugha ya Kiarabu. Kwa kawaida humtaja chifu wa kabila au mwanafamilia wa kifalme katika nchi za Uarabuni, katika baadhi ya nchi pia hupewa wale wenye ujuzi mkubwa katika masuala ya kidini.
Cheo hiki kinabeba maana ya kiongozi, mzee, au mtukufu, hasa katika Rasi...
“Mhe. Rais Watuhumiwa wa Ugaidi tunanyimwa Haki. Ukonga, Segerea tupo 187. Tumewekwa jela toka 2013. Mhe. jela miaka 8 ni kuadhibiwa bila ya kuthibitika kosa. Wewe kama mkuu wa nchi tunaomba ushauri wako tufanye nini ili tutendewe Haki?” Ujumbe huu nimepewa leo Ukonga na Segerea.
"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
SHEIKH HUSSEIN JUMA VICE PRESIDENT WA UNITED TANGANYIKA PARTY (UTP)
Wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika mtu kuitwa kuwa ni UTP ni sawa la leo kuitwa gaidi.
Picha hiyo hapo chini ya kwanza inamuonyesha Mzungu Brian Willis aliyeletwa Tanganyika na Conservative Party.
Hapa anasimamia...
Hapa nazidi kuchanganyikiwa. Natizama, nasikiliza nasema hiiii. Wanatimiza matakwa ya kikatiba.
But wito wangu ni kuwa sawa ni matakwa ya kikatiba na Imani yao lakini nendeni mkachanjwe wadau. Nendeni please. Msije mkafa mkatuacha tumebaki wachache.
Sheikh Mselem Ali, mmoja kati ya Masheikh wa Uamsho ambao wametoka Gerezani amesema mihadhara yao ilikuwa na nia ya kuwaamsha watu kudai Katiba Mpya.
Amesema kwa kipindi kile walifanya hivyo kwa kuwa kulikuwa na fursa ya maoni kuhusu Katiba Mpya. Walifanya hayo kwa mujibu wa sheria kwa kuwa...
Nawashangaa sana wapinzani wenzangu na wakati mwingine huwa nawashangaa WanaCCM ambao wanatarajia matokeo tofauti na walivyotarajia.
Kwa hakika mabadiliko ndani ya chama kimoja yanaweza kutokea ila si kwa kiwango kikubwa.
Rais Samia Suluhu ni MwanaCCM anayetenda kazi chini ya miiko ya CCM kama...
Sheikh Mselem: Usalama wa Nchi ni jambo linalopewa kipaumbele na sisi tunapenda usalama, furaha ikizidi inaweza ikazalisha kitu halafu mara nyingi kutokana na uzoefu kuna vitu watu wa kati huchomeka.
Inawezekana tumefanya jambo halali, tumeliombea ruhusa serikalini, tukapewa ruhusa lakini kuna...
SHEIKH MSELEM BIN ALI ALITUNUKIWA NISHANI NA WAISLAM AKIWA KIFUNGONI 2014
Katika mkutano wa mwaka uliofanyika Pongwe, Tanga mwaka wa 2014, Jukwaa la Vijana wa Kiislam Tanzania walimtunuku Shekh Mselem bin Ali Nishani Maalum kwa mchango wake katika kuisomesha Qur'an Tukufu.
Kwa kuwa Sheikh...
Sheikh Farid: Tunamshukuru Mwenyezi Mungu, kiufupi tunashukuru sisi tumeachiwa lakini huu ni mwanzo mwema ya busara ya marais wetu, Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanzania, Amiri Jeshi mkuu, mama Samia Suluhu. Wamefanya busara kubwa sana kuondoa hii hali ya mtanziko ya muda mrefu sana wa hii Kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.