simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. holoholo

    Kibu Denis Kuikosa Kariakoo Derby Jumamosi hii

    Wakuu, Taarifa za kuaminika ndani ya uongozi wa klabu ya Simba SC zinaeleza,Kibu Denis amepata majeraha ya kifundo cha mguu,yatakayomuweka nje kwa takribani wiki 6,hivyo atakosekana uwanjani siku ya jumamosi, Ikumbukwe Kibu D ni mchezaji chaguo la kwanza la kocha Fadlu Davis katika karibia...
  2. Mkalukungone mwamba

    Matokeo ya mechi ya Watani wa Jadi Yanga SC vs Simba SC Mwezi Machi

    Homa ya pambano la watani wa jadi inazidi kupanda ni Jumamsoi hii, Machi 08, 2025. Yanga SC watakuwa dimba la Benjamin Mkapa wakiwakaribisha Simba SC. Leo tutazame head to head katika mechi zao katika mwezi March. Katika michezo 9 Yanga SC ameshida mechi 3, Simba SC ameshinda mechi 1, sare...
  3. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC niwaambieni mara ngapi kuwa mkiwa mnajiandaa na Mechi na Yanga SC ficheni Kambi yenu na msiwe huko Bunju / Mbweni kimazoezi?

    Yaani kuna muda huwa mnanikera sana na natamani hata nibebe tu Grenade nije niwarushie mpukutike kabisa duniani.
  4. Sheikh23

    Angalizo kwa Simba SC kuelekea derby tar 8 March 2025

    Wakuu Assalam Alleikhum. Binafsi nipende kutoa angalizo juu ya upangaji wa kikosi kwa Coach Fadlu na benchi lake la ufundi kuelekea derby jumamosi. Kama kocha Fadlu anataka matokeo,wachezaji wafuatao wasianze kikosi cha kwanza: 1. Ngoma 2. Chamou 3. Mukwala 4.Mpanzu 5.Kapombe Kwa Ubora wa...
  5. Beira Boy

    Toka Dunia iumbwe kwanini Simba hajawahi mfunga Yanga kila wanapokutana tarehe 8?

    Amani iwe nanyi watumishi Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad...
  6. M

    Salamu za Pili leo kwa Kocha Fahdu Davis na Benchi lake la Ufundi Kuelekea Derby ya Tarehe 08 Machi 2025

    Ndugu Fahdu Davis, Kocha wa Simba Awali ya yote nakupongeza sana kwa kazi nzuri unayoendelea kuifanya ndani ya klabu ya Simba Sports Club. Ama hakika hadi sasa kupitia wewe na benchi lako la ufundi sisi wanachama na mashabiki wa Simba tumeridhika na performance ya timu yetu hadi sasa. Timu...
  7. pesakilakitu

    Nimehuzunishwa kama si kusikitishwa na Kauli za Mwigulu Nchemba kuelekea mechi ya Derby

    Katika kampeni iliyoanzishwa na Benki ya NBC ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu, mimi kama mdau wa mpira nimeshangazwa kama si kuchekeshwa na kusikitishwa na Kauli za Mwigulu, kwanza ametoa tuhuma kuwa uwanja tena eti wenye jina maalum kwamba pametolewa penati tatu, yeye anaujua mpira ama...
  8. SAYVILLE

    Kwanini iitwe Kariakoo Derby wakati ni timu ya Simba SC pekee iliyo Kariakoo?

    Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua. Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi...
  9. SAYVILLE

    Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

    Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji. Tajiri, nina neno moja kwako. Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa. Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa...
  10. Rocco sifredi

    Niliyoyaona Simba vs Coastal, leo Machi 1, 2025

    1. Ally Salim kajitahidi leo pamoja na kukaa mbao ndefu muda mrefu bravo kwake beki zetu za kati marking mbovu back passes aaah kwa timu inayoshambulia kwa kasi kama yanga kazi itakuwepo 2. Mavambo kajitahidi sikuona sababu ya sub ya ngoma backbass zikawa nyingi kama alitaka kufanya mabadiliko...
  11. Tembosa

    Coastal Union FC Vs Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Stadium | 01-03-2025

    MECHI KALI
  12. Tajiri Tanzanite

    Kitakachoifanya Simba ikose ubingwa sio ubora wa timu bali ni udhaifu wa uongozi wa club ya Simba

    Hapo vip!! Nimefanya uchunguzi wangu wa muda mrefu dhidi ya timu ya Simba na Yanga,kwa namna wanavyopata ubingwa ila nikagundua haya. Kwa soka la Tanzania,club ikiwa na uongozi imara alafu timu ikawa ya kawaida inauwezo mkubwa wa kuchukua ubingwa mara nyingi sana. Lakini pia ukiwa na timu...
  13. C

    Nina wasiwasi na aliyekuwa mwenyekiti wa Simba anaitaka tena nafasi yake ili aifunge Yanga

    Nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano ya huyu muha akizungumzia kufungwa kwa Simba na Yanga kila mara. Ninaanza kuwa na mtizamo tofauti juu ya azma yake kwa Simba. Huyu mtu anahitaji kuwa mwenyekiti na hivyo hata mkifanyaje, ataendelea kushirikiana na adui Simba ifungwe ili mumtimue mwenyekiti...
  14. M

    Viongozi wangu wa Simba ongezeni sana jitihada kwenye kamati za ufundi kama wanavyofanya Yanga, leo Azam ametoka sare wakati sisi katukomalia

    Mechi ambazo tunatoka sare unaona kabisa tumezidiwa mambo ya nje ya uwanja na nina wasiwasi sana kuelekea tarehe 8, tulikomaliwa na Fountain Gate kwa mambo ya nje ya uwanja, Azam naye akatuwekea ngumu kwa kusaidiwa na utopolo, huwa mara nyingi sana Azam wanaombaga msaada utopolo wakitaka...
  15. GENTAMYCINE

    Na hapa ndipo Uongozi wa Simba SC mnaponikera na Kuamua kuwaacha mpotee, sasa huyu Striker Jonathan Sowah wa nini Simba SC Kwetu?

    Hivi angekuwa mzuri hivyo angekuja Tanzania ambapo tunajua Ligi Kuu yetu ni full Mix by Yass, Mpesa na Airtel Money?
  16. B

    Ningekuwa kwenye benchi la ufundi la Simba SC ningependekeza kikosi hiki hasa kwenye mechi dhidi ya Yanga

    Hello! Simba kama timu kubwa Africa ni lazima uchukuaji wake wa vikombe hasa vya ligi kuu viwe ni lazima angalau isipite miaka 3 bila kunyenyua ndoo. Lakini kwa trend hii ya kudondosha point kwenye mechi muhimu, suala la vikombe kwenda msimbazi linaweza kusubiliwa sana. Mechi kati ya Simba na...
  17. SAYVILLE

    Nini kimeikumba timu ya Simba baada ya mechi ya Dodoma Jiji kuahirishwa?

    Huu uzi nautoa kama tahadhari ili kama kuna sehemu ya kusafisha ifanyike haraka. Sitaenda kumnyooshea mtu kidole wala kumlaumu mtu bali ninachotegemea ni wahusika kuangalia mambo kwa jicho la tatu. Baada ya gemu ya Dodoma Jiji kuahirishwa, Simba ililazimika kukaa siku kadhaa zaidi ya timu...
  18. gonamwitu

    Azam wewe ni ndugu yetu wa damu, tunakutuma ukamfunge Yanga mtakapokutana

    Kumbuka Bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya Simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu. Tunakutuma utakapokutana na Yanga mpige chuma 3 bila, tena magoli yote yawe ni magoli ya tobo.
  19. GENTAMYCINE

    Leo namalizia rasmi Unujumu / utabiri wangu wa uhakika juu ya Simba SC na Ubingwa wa NBC Premier League

    Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa NUJUMU / TABIRI zangu kwa 95% huwa zinaenda vyema na kwa za hivi karibuni Mbili za Simba SC na Singida Fountain Gate FC na Simba SC na Azam FC zimeenda vile vile nikimaamisha kufanikiwa kwa 100% Hivyo basi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game...
  20. SAYVILLE

    Kinachoigharimu Simba ni kupoteza focus katika nyakati muhimu

    Simba imefanya usajili mzuri sana msimu huu na imepambana sana katika mashindano yote ambayo imeshiriki mpaka sasa. Mechi zote ambazo Simba imepoteza msimu huu au kutoka sare ni kwa sababu ya makosa ambayo chanzo chake kikuu ni kupoteza focus au umakini. Hii inaonyesha timu ni imara sana ila...
Back
Top Bottom