Takwimu za penati katika Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025, ambapo hadi sasa timu zote zimecheza michezo 16.
Simba SC inaongoza kwa kufunga magoli mengi ya penati ikifuatiwa na Tabora United na Coastal Union.
Yanga SC na Namungo FC ndio vinara wa kukosa penati, kila timu ikiwa imekosa penati...