social media

  1. Jamii Opportunities

    Graphic Designer & Social Media Marketer at Dark Earth Carbon March 2025

    Dark Earth Carbon on behalf of Masika Venture, is seeking a Graphic Designer & Social Media Marketer Job Location: Dar es Salaaam Short Brief of the Company: Masika Ventures is an umbrella organization that encompasses the business services functions of our companies including Upendo Honey...
  2. COLTAN

    Natumia Iphone 7 plus ila haifungui Social Media Mpaka Na Data

    Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
  3. B

    Digital marketing and social media manager nipo hapa

    Mambo vp wadau Leo nmekuja km digital market. Ni sekta muhimu sana wa wafanya biashara na watoa huduma. Km unakampuni au biashara yoyote ile lazma utahitaji kuwafikia wateja wengi. Na njia rahisi ya kufikia watu ni kwa njia ya mtandao( website au social media) Basi ukisha hitaji soko la...
  4. kali linux

    Anahitajika social media and content manager wa kike

    =========UPDATE======== NAFASI ZIMEKWISHA JAA, NA HILI TANGAZO LIMEFUNGWA, ASANTE. ================ Hello bosses and roses... Anahitajika binti wa kufanya majukumu yafuatayo kwenye kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa software. Ataanza majukumu hayo remotely (kufanyia kazi popote alipo)...
  5. RMK Freelance services

    JE, UNAHITAJI CONTENT KWA AJILI YA BLOG, WEBSITE, AU SOCIAL MEDIA POSTS? TUKO HAPA KUKUSAIDIA!

    Unahitaji content(maudhui) inayovutia, yenye uhalisia, na inayobadilisha wasomaji kuwa wateja? Iwe kwa ajili ya blog/ website yako, product descriptions, email marketing, business documents, video scripts, au social media posts! Tuna uzoefu wa kuandika makala, blog posts, SEO content, na hata...
  6. youngkato

    Jinsi ya Kupata Pesa Online kwa Kutumia Social Media kama Instagram, X, na Facebook

    Katika dunia ya sasa, social media imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, na kwa wale wanaojua kuitumia vizuri, ni chanzo kizuri cha kipato. Hapa nitakuelezea njia rahisi na za uhakika za kupata pesa online kupitia majukwaa kama Instagram, X (zamani Twitter), na Facebook. 1. Kuanzisha...
  7. M

    Team Lissu inanadiwa na social media

    Kwa wenzetu nchi za Uarabuni hii imetumika sana na imeleta mabadiko makubwa ktk kisiasa, sababu kubwa mwamko wa elimu kwa vijana upo juu Tanzania bado kabisa, wengi wanaona kama sehemu ya burudani, matusi, propaganda na sio sehemu sahihi za mabadiliko. Hili team Lissu mumedanganyika. Lema, Heche...
  8. F

    Mtaani na kwenye social media CCM imesahaulika kabisa wiki hii kwenye tasnia ya siasa wakati habari za CHADEMA zikitawala.

    Kwa kweli ukiangalia Jamii Furums, WhattsApp, Instagram, n.k. kati ya post 10 za siasa, 9 ni kuhusu CHADEMA. Ni kama vile CCM imeondoka kabisa kwenye ulingo wa siasa wa Tanzania, na hili jambo linasemwa kuwa linonesha hali halisi ya nguvu za vyama hivi vya siasa hasa CHADEMA ambayo habari zake...
  9. B

    Kwanini social media accounts za kampuni/biashara yako aziwafikii watu kama ulivyotarajia?

    Skuizi imekuwa kama fashion tu kuona wafanya biashara wadogo kwa wakubwa, makampuni Hadi taasisi mbalimbali kuwa na account za mitandao ya kijamii(Facebook, Instagram na YouTube).. Na wengi wao wakiwa motivated kuwa na iyo mitandao ya kijamii kwa ajili ya biashara zao kwa kuiga au kwa kuskia tu...
  10. Mwl.RCT

    YouTube Niche Analysis: Make Money Online, Finance, and Social Media Tips

    YouTube Niche Analysis: Make Money Online, Finance, and Social Media Tips Here's a breakdown of profitable YouTube sub-niches within Make Money Online, Finance, and Social Media Tips, incorporating current trends and monetization strategies: I. Make Money Online ($13.85/1000) Main Niche...
  11. 90sgeneration

    ANAHITAJIKA MTU WA MARKETING IN SOCIAL MEDIA HARAKA.

    Happy Sunday Binti wa sales and marketing (msichana) anahitajika kwenye kampuni. Hakuna vigezo vingi -awe anajua vizuri kutumia social media (instagram, facebook, x (twitter), ticktock nk. -Awe anajua vizuri kufanya sales na on time in social media. location : Darces salaam Salary kwa...
  12. W

    Think before linking your social media accounts to Service providers accounts

    Epuka kujiunga kwenye Akaunti moja ya huduma Mtandaoni kwa kukutumia taarifa za Akaunti zako nyingine. Mfano kujiunga sehemu kwa kutumia Akaunti za Facebook au Google Watoa huduma huruhusu kujiandikisha kwenye biashara zao kwa kutumia akaunti zako za mtandaoni kama vile Google Kwa kufanya hizi...
  13. jingalao

    UVCCM ni wakati wa kuingia kwenye Social Media na kueleza ukweli!

    Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa. Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa...
  14. Jamii Opportunities

    Social Media Moderator- Long-Term Consultancy (Individual Consultant) at Girl Effect September 2024

    Job type: Full-time Who We Are Girl Effect is an international non-profit that builds media that girls want, trust and need. From chatbots to chat shows, TV dramas to tech, our content helps adolescent girls in Africa and Asia make choices and changes in their lives. We create safe spaces...
  15. Kaunara

    Unatamani Serikali Iweke Sheria gani kwenye Mitandao ya Kijamii?

    Jamii yeyote ile yenye heshima na maendeleo lazima iwe na sheria. Hata ukiona watoto wa jirani yako wanaheshima na maendeleo jua kuna sheria zinawaongoza katika familia ile na sio maombi ya kanisani wala msikitini. KInachoendelea katika social media sio kigeni kwa kila mtanzania. Kuna mazuri...
  16. Phovix

    Mtaalamu wa matangazo, graphics, branding & social media management

    Bila Shaka Haujambo Na Unaendelea Vizuri! Kwa Majina Mi Ni Max Ernest Ni Mtaalamu Wa Graphics, Branding & Social Media Management. Nimebarikiwa Zaidi Katika Uandaaji Wa Matangazo! Hapa Namaanisha Matangazo Mazuri Ya Video Na Sauti! Kulingana Na Uzoefu Katika Industry Hii Sifa Nyingi Na Namna...
  17. Ghost MVP

    Namna Wadukuzi wanavyoweza Kudukua Account zako za Social Media

    Usifate maelekezo Kutoka kwa Watoa huduma 'FAKE' Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao mengine ya kijamii, wakikutaka Uthibitishe Taarifa zako ili 'Account' yako isifungiwe. Watakupatia...
  18. kavulata

    Online Media zinazoongoza Tanzania kwa kuaminika taarifa zake mitandaoni

    Online Media (tv na radio) ni nyingi sana humu mitandaoni. Watu wanapata taarifa mbalimbali kwa haraka kupitia vyombo hivi kuliko Redio na Television za kawaida. Instagram na YouTube ndio mitandao inayotumika kupata habari na taarifa nyingi za vyombo vingi vya habari. Lakini Kuna social media...
  19. BARD AI

    Is social media emerging as the primary platform for holding politicians accountable?

    In an event that brings to light the evolving role of social media in political communication, Kenya’s President William Ruto on Friday, July 5 apologized for police brutality during an online forum with anti-tax protesters on X formerly known as Twitter. The apology came in response to a...
  20. D

    Kila nikifungua mitandao ya kijamii ni habari mbaya tu za Serikali

    Nina miaka 4 sijawahi kuona habari njema ya maendeleo kwa wananchi, kila siku habari mbaya tu. Nipeni link ya habari nzuri ya maendeleo miaka 4 hii hata nifarijike. Na huzuni tu, nipeni 1 good news for the past 4 years nisome nifurahi kuwa nipo na Serikali yangu. Kura yangu inaniuma...
Back
Top Bottom