Kampuni ya mtandao wa kijamii ya Trump yapata dola bilioni 1 kutoka kwa wawekezaji
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mradi mpya wa Donald Trump wa mtandao wa kijamii umechangisha $1bn (£755m) kutoka kwa wawekezaji kabla ya kuorodheshwa katika soko la hisa.
Taasisi ya habari na teknolojia ya...
Huyu Admin amekuwa anapost kwenye ile page ya Simba SC kama vile ni page ya familia yake. Anaweza kupost kwa siku zaidi ya mara tano na mara nyigi anapost mipasho na kejeli zisizo na maana ikizingatia ile page ya Simba na timu kubwa nchini. Ukienda timu za wenzetu huwezi kuona huu upuuzi.
Juzi...
Mitandao ya kijamii inashiriki sana kuelimisha umma wa Watanzania kwa namna mbalimbali kuanzi hapa Jamiiforums, Twitter n.k
Nashauri serikali ianze mpango wakutoa Motisha kwa baadhi ya wanaoendesha hii mitandao wakiwemo kina Mexence Melo na wengine ili kuwatia moyo kwa kazi kubwa wanayofanya...
INTRODUCTION
In a world of 7.9 billion people, there are about 4.48 billion social media users around the world in July 2021, equating to almost 57 percent of the total global population. That equates to annualised growth of 13.1 percent, or an average 16½ new users every single second.
THE...
Foreign Affairs state minister, Mr Okello Oryem Wednesday said Turkey-based Ugandan blogger and government critic Fred Lumbuye was not above the law following reports that he had been arrested.
According to reports from the Ugandan Community in Istanbul- Turkey, Mr Lumbuye was arrested by...
Hii video ina-trend kwa kasi sana kwenye social media platforms mbalimbali WhatsApp, FB, Instagram, Telegram, Twitter nk nk.
Ukweli huu umewakera wengi sana hususani wanapohusianisha na kodi hizi hatari za tozo kwenye miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu walizopitisha juzi...
Kuna huu ujumbe ambao umekuwa ukizunguka kwenye social media. Please mwenye kutoa clarification
"Habari za jioni wapendwa! Hongereni kwa kazi.Nawasihi madaktari wenzangu tujikinge na hili gonjwa,dalili za wave hii zipo so vague.wagonjwa wengi waliokuwa wamekuja Leo clinic waliokuwa wanalalamika...
Kila zama na wakati wake.
Tukianza awamu ya Nne teuzi zake zilitegemea sana watu walio ndani ya chama na watu walio kuwa nje ya nchi (Wenye exposure zao).
Awamu ya Tano: Watu wenye PhD zao na Profs walilamba Teuzi.
Awamu ya Sita tunaona watu wanaoteuliwa ni watu wa social media. Mdau mmoja...
Hizi ishu baadaye huwa mtaji mkubwa sana. Wale followers wanakuja kuwa wateja wazuri. Hata ukiamua kuanzisha kakitu tayari unakuwa na wateja wa kutosha.
Ningekuwa nipo active huko toka zamani leo nisingekuwa nahngaika kujitangaza.
Tusidharau facebook, insta na Twitter. Fungua account na...
Hivi karibuni, mijadala juu ya siasa za mitandaoni zinavyoathiri siasa rasmi nchini na kuathiri maamuzi ya kitaifa imeshika kasi. Limejitokeza kundi linalofurahi kuwa maoni yao wanayoyatoa mitandaoni yanafanyiwa kazi huku kundi lingine likilalamika kuwa si sahihi kwa maoni ya watu wa mitandaoni...
Kwanza utaona ujinga wa baadhi yetu juu ya kupambanua mambo makubwa ya Taifa. Nimetumia ujinga kwa kuwa "UJINGA" siyo tusi bali ni ukosefu wa maarifa ya kitu fulani ambacho hukijui. Ukishafundishwa ujinga unapotea.
Pili nimeona upande wa pili ambao ninaweza kusema hoja zao ukizipima zinajengwa...
It is no doubt that SOCIAL MEDIA is fast becoming a part of our everyday day lives.
Currently, over 50% of the world's population use social media.
With the rapid increase of active social media users, you should figure out that social media is for your brand/business.
The big question is...
Habari za wakati huu wakuu, naomba tenda za kutengeneza matangazo madogo madogo kwa ajili ya kukuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii, pia napiga picha za kupromote biashara yoyote ile. Naomba kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kwa namba 0656 249 607.
Nina ujuzi na uzoefu katika kazi hii...
Kume kuwa na fununu kwamba president Trump anaweza kujiunga tena Myspace baada ya kupigwa kufuli na social media nyingine.
Vile vile mtoto wake wa kiume Trump Jr amedokeza wanaweza kuanzisha social media yao wenyewe.
Je, Myspace watafuata mkondo wa makampuni mengine kama Apple, Twitter...
Nadhani lipo tatizo lakukatika umeme mara kwa mara hasa Dar, hii ni kwa mujibu wa wananchi wanaotumia social media. Mliopo dar mnaweza kusaidia kama Kuna ukweli ndani ya hizi habari.
Lakini nichukue fursa hii kuwakumbusha Tanesco au Wizara kuchukua hatua. Kama kelele hizi zina ukweli watafute...
Asee nimekua rafiki sana wa mitandao ya kijamii tangu mwaka 2009 lakini naona hakuna kitu nimegain zaidi ya concentration yangu kuwa katika vitu visivyokuwa na maana. Kama niliweza kushinda jaribu la kupiga punyeto na kuangalia porn nadhani nitashinda.
Nilichogundua mambo mengi tuyaonayo...
Tangu tarehe 27/10/2020 Kilichokuwa kinaendelea ni kuminywa (kufungwa) kwa mitandao ya kijamii. Swala ambalo limehusishwa na uchaguzi kwa namna moja au nyingine.
Ila chaajabu ni kwamba hawajafungia Internet, maana yake ni kuwa waeza kutumia bando lako kwenye maswala mengine ila sio Social...
Najaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia Mtandao wa Tigo
PIA SOMA
= >...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums.
Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.
Ndugu zangu...
Hello waungwana, let me tell you bout social media, au vip?
Oky I won't wait for your answer 😅.
Social media imekuja kuondoa mtu wakatikati. Au ww unaonaje, kwasbabu Sasa hivi mteja na biashara wote wapo Insta, Facebook etc. Wote wanauwezo was kupost, kucoment kushare etc.
Kwahio ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.