Hello good morning peoples.
Are you in social media platforms, Showcasing your business?
How loud are shouting there? Or you are there just to keep up with the utandawazi thing?
You have to shout, Lauder my freind to achieve more. So that you see it's impact to your business.
Siri ya...
Your guide to every major social media company's misinformation policies on vital topics from COVID-19 to voting
An outrageous conspiracy theory vilifying a political candidate. A meme encouraging shots of bleach to fend off COVID-19. An official-looking post falsely announcing that your...
Yani lolote litakalofanyika kuzuia hivi vyombo vya habari vya kienyeji kama vile magazeti, TV, radio katika kipind hiki cha uchaguzi ni sawasawa na bure kwani kutokana na mageuzi ya sayansi na tekinolojia zinajulikana kama traditional media haitasaidia.
Social media zina nguvu kuliko hizi...
Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.
Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa...
Kama inaingia Youtube au Instagram kwa kujiibaiba kama unaoga nje bado huwezi kujiita upo huru kwenye Social Media
Tanzania tunaongoza katika matumizi ya jumla ya mitandaoni.
Ipo haja ya kuanzisha Jimbo la Social Media. Kura zihesabiwe kwa idadi likes, followers etc. Humo kina Steve Nyerere, Pilipili, Kapiga, E.mbasha, Mpoki, Dr. Cheni na Zama ndo wachukue fomu, sio haya Majimbo halisi maana hawawezi.
Wanugu hawataki kabisa kushughulisha akili zao hata kwenye mambo simple kabisa.
Celebrity mnugu kaweka caption yake ambayo inahusu masuala nyeti yanayo gusa maisha ya wanugu nchini Marekani. .
Comments za wanugu:
1. ,😍😍😍🤗😘😅
2. 😁😁😁😁😁😁
3.😗😗😗😗😗😗
4.🤗🤗🤗🤗🤗
5.🤩🤩🤩🤩
6.😉😉😉😉😉
7. 😉🤩🤗😗😅😘😙😍😍
Kuna mtu...
Wakuu habari za jumapili
Niende moja kwa moja kwenye mada husika
Kuna hawa watu ambao wanaweza wakawa labda ni ndugu au rafiki,yaani unakuta mtu yupo addicted kupost maisha yake yote kwenye hii mitandao ya kijamii
Yaani mpaka unajikuta maisha yake unayajua kwa asilimia kadhaa kwa sababu ya...
Great Thinkers,
Kama kawaida, tulio na bundle za mitandao tunajikuta tuna information nyingi zaidi za COVID19, na zinatisha. Ila wasiokuwa na access na social media wala hawana habari wanaendelea na maisha kama vile ni ugonjwa wa kawaida.
Kuanzia kesho siingii tena social media kwa siku 21...
Ukipitia Vyombo vya Habari kama Clouds tv na Mwananchi bila kusahau na vinginevyo vichache utaona wameandika kuwa akina Mbowe na Wenzake wameshindwa Kulipa Faini leo Mahakamani katika muda uliopangwa na wameenda Segerea wakimaanisha Kuanza Vifungo vyao . (Mainstream Media)
Lakini hapo hapo tena...
Kwa sisi tunaotumia majina yetu na CV zetu halisi tumeweka wazi, humu ndiyo connections zinapoanzia unakuta linked link, kuna anaekuhitaji akiona CV anakuunganisha mara umepata mchongo.
sasa kuna wale anakuona jina lako anakumbuka mlisoma wote Wailes, ana request friendship, unamuona ni Queen...
Wana JF,
Hadi kufikia leo hii mimi binafsi nimeelimika sana tangu nilipojiunga na JamiiForums miaka kadhaa iliyopita.
Ni jukwaa ambalo wanachama wake ni kutoka kila fani nchini Tanzania. Kwa masuala yoyote ya Siasa, Jamii, Uchumi na Michezo; vyote vipo JF.
Ni media ambayo hufichua maovu...
Nina imani kubwa sana na uongozi wa Jamii forum na ninadhani imani yangu inaweza ikawa kubwa kuliko ilivyo sasa.
Sijawahi kujuta kuwa mwanachama wa jamii hii pana yenye muono wa aina yake katika kuibua mwamko kwa jamii kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Nimejifunza mengi...
Ni ukweli usiopingika kwamba maendeleo ya sayansi na teknolojia, yamefanya matumizi ya intaneti kuongezeka sana. Matumizi ya intaneti nayo yamekuja na mambo mapya, katika ulimwengu wa sasa, mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii, kama Facebook, Instagram, Whats App na kwingineko ni kitu cha...
Rise and Popularity of Online Forums across Africa:
The rise and popularity of online forums across Africa speaks volumes on peoples preference of freedom and how main stream social media has failed at this.
I have personally learnt so much from these unfiltered sources of information and would...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.