Kama kichwa cha post kinavyosema, nataka ujue ni jinsi gani ya kuweza kuflash simu yako ya Android kwa kutumia Proglam mbalimbali kulingana na tatizo binafsi.
Hapa kwanza nitaelezea simu mbalimbali kulingana na aina ya chipset zake
= => Tecno
= => Infinix
= => Gionee
= => Innjoo
= => Itel...
Bongo Live is a cloud communications service provider based in Dar es Salaam with a presence across 18+ African markets (www.bongolive.co.tz). Our unique service provides enterprises the ability to reach and transact with customers across Africa via sms, ussd, airtime and mobile payments...
Hope mko poa!
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Moja kwa moja kwenye mada.
Iko hivi leo wakati nawaza kuhusu kusumbua kwa internet ya Vodacom Tanzania kuna wazo lilinijia. Ila sijui kama tayari liko implemented.
Hivi kuna simu ambazo hazitumii mobile service provider chip kwa ajili ya...
Hello,
I am wondering what is the average monthly salary for developer/software engineer in Tanzania? Junior/Senior levels?
Je mshahara wa programa wa kompyuta ni kiasi gani kwa mwezi? wastani.
asanteni
Salaam Wakuu!
Poleni na majukumu. Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30. Ninaishi Dar es salaam. Nimeajiriwa kama Software Developer sehemu fulani. Natafuta sehemu ya kufanya part time nje ya muda wa kazi. Lengo ni kuongeza kipato na pia kupata uzoefu nje ya mazingira ya kazi.
Nimesoma degree ya...
Hivi nini tofauti ya Software Engineering na Computer Science. Je ni fields tofauti au ni the same? Pia kama ni tofauti ipi ni bora zaid kusoma kozi yake?
Karibu, Tunatoa huduma zifuatazo kwa bei nafuu:
1. Graphics design
a. Logo Design
b. Brochure Design
c. Banner Design
d. Flyer Design
e. Products Brand Design
f. Software Layout Design
2. Software Development
a. Website Design and Development
b. Blog Design...
Heshima kwema wakuu...
Leo, tunawaletea mfumo wa mauzo uliojaribiwa na kufanya vizuri sana kwa wateja wetu. Mfumo huu ni desktop application (Language iliyotumika ni c# na database ni SQLServer 2014).
Mfumo ni mwepesi sana kutumia na unatoa ripoti zote za muhimu.
Pia tunaongeza vitu...
A Robust Hospital Management System for Hospitals, Clinics, Pharmacies and Laboratories.
So what we are, real?
An integrated Information System for managing all ways of a hospital’s operations such as medical, financial and administrative tasks
It is a web based Application that works with all...
Wadau naamini nimefikisha issue yangu mahali husika, ingawa nilipata tabu kidogo niipost katika jukwaa lipi kati ya hili, sayansi na teknolojia au jf store.
Nina mradi wangu wa duka la bidhaa mbali mbali nahitaji kuistall simple software itakayo nirahisishia mahesabu yangu na kufanya stock...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.