soma

  1. Jaji Mfawidhi

    Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

    a Askofu Bagonza AKILI na IMANI Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea? Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa...
  2. feisar wa moro

    Shikamoo wewe kipofu uliyeniibia pikipiki na ukaiendesha

    SHIKAMONI/MARAHABAA STORY YAHUSU: NILIVYOIBIWA BOBABODA MAGOMENI JIJINI DSM Nipo zangu kijiweni nikisubiri abiria mara paap wanakuja wanaume wawili mmja mtu wa makamo miaka 40/55 amevaa miwani meusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwingine ambae ni kijana Kati ya miaka...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Dkt. Kigwangalla kushauri "Herd Immunity" dhidi ya Corona, ndio msimamo wa Serikali?

    Hamis Kigwangala ambaye ni daktari wa afya ameandika meengi katika mtandao wake wa instagram. Kwa tafsiri rahisi ni kwamba anashauri herd immunity. Kutokana na mwenendo wa serikali katika mapambano dhidi ya corona Je,huu ndio msimamo wa serikali? Mbona maambukizi mapya hayatangazwi,mbona vifo...
  4. S

    Zitto ataka wabunge wote walioko Dodoma wawekwe kwenye karantini

    Ujumbe wake huu hapa chini kupitia twitter: Wabunge wote mliopo Dodoma muwekwe karantini, mpimwe na mfuatiliwe ( contact tracing ). Minister Mwalimu there shall be no two set of laws - for MPs and for the people. Wabunge watengwe, wapimwe na wafuatiliwe. Tulishauri toka mwanzo kuwa Bunge...
  5. Prodigy Oligarchy

    Soma hapa kabla hujaagiza gari, huenda ikakufaa

    Salaam sana jf, Naomba kukuwekea hapa, Magari tofauti tofauti kutoka kampuni mbali mbali za uuzaji magari nje, pamoja na bei zake hadi gari kufika bandari ya hapa Dar es salaam (CIF). Tutaangalia kwa pamoja na kusaidiana ushauri, na kwa ambaye huwenda ameona gari anayohitaji ama kuipenda...
  6. Superbug

    Mwanamama Golda Meir na kisasi cha haki

    MWANAMAMA shupavu waziri mkuu wa Israel wa zamani alisimamia operation moja Kali Sana ya kijasusi iliyoanza mwaka 1972 na kuisha miaka ya tisini takriban miaka 20 . Operation hii iliongozwa na shirika la ujasusi la Israel mossad. Hii ilikuwa ni baada ya wanariadha wa Israel kuuwawa wakiwa...
  7. TODAYS

    Hebu soma halafu niambie ni sahihi au sio sahihi?

    Amani kwako. Huko kwa wakoloni ikiwepo Marekani huwezi kumtuma mwanamke akulete maji ya kunywa au kumwagiza mtu na wewe umekaa tena ume-relax, maana yake kila kitu anajihudumia mwenyewe hakuna utumwa wa kuamrishana. Wala Marekani huwezi kumkaripia mwanamke faini yake ni inafikia laki 600,000...
  8. Stuxnet

    Mambosasa soma alama za nyakati

    Tumeiona taarifa ya Secretary of State wa USA, Mike Pompeo akithibitisha kuwa Paul Christian Makonda amekuwa blacklisted kuingia USA. Anyway unaweza ukapuuza kuwa mbona haendagi mara kwa mara na akiwa na shida atakwenda Ulaya au China. Nina ushauri kwa RPC wa Kanda Maalum Lazaro Mambosasa. Kwa...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    MAMA NA MAISHAHISTORIA YA UKWELI KABISA SOMA UPATE ELIMU

    Mama ni Maisha. Picha ya kweli baada ya operation iliyodumu kwa masaa 7. Mtoto aliyezaliwa yupo mikononi mwa Mama yake, na upande wakulia ni daktari akiwa analia kwa uchungu sana.! Uyo Mama alikuwa anasumbuliwa na maradhi kwa zaidi ya miaka 11, ikafika wakat akakata tamaa kabisa yakuja kupata...
  10. CONTROLA

    Zifahamu athari za kunywa maji kupita kiasi

    Wataalam wanashauri unywaji maji mengi, lakini ukweli ni kwamba yaweza kuwa hatari kubwa. - Yadaiwa maji huongeza uwezo wa kufikiri na kupunguza maumivu ya kichwa - Wataalamu wanahoji athari za kunywa maji kupindukia - Wanashauri unywaji wa lita moja mpaka mbili ni hatari - Hivyo ni kwa...
  11. BradFord93

    Kwa wanaosema biashara ya duka haina faida, soma hapa tafadhali

    Kumekuwa na malumbano kuwa biashara ya duka hasa rejareja haina faida. Leo nitaleta baadhi ya bidhaa tu kupinga malumbano hayo (maana ndo ishu nnayoifanya) Just kabla sijaanza, ukitaka kuona mafanikio ya hii biashara wewe muuzaji uwe mtaji wa kwanza. Kichwa chako kiwe mtaji dukani pia mazoea...
Back
Top Bottom