Arch-Bishop Renatus Nkwande, Mwanza Arch-Diocese
Abstract
Mourning seasons have historically been used by opinion formers and decision makers as grand opportunities for performing their prophetic roles of criticizing the oppressive historical culture associated with the dead, on one hand, and...
Habarini WanaJF,
Mimi ni mhitimu wa Diploma ya Ualimu shule za msingi mwaka 2019...nikiwa na GPA ya 4.0
Naombwa kufahamishwa kama inawezekana kwangu kuweza kusoma Bachelor of Education in Science au Bachelor of Science with Education, Ilhali sikusoma Diploma ya Ualimu wa sekondari.
Alama...
HATARI YA MTAWALA KUJIPA SIFA YA "mungu"
Kwa Mkono wa Robert Heriel.
Mwaka Juzi niliandika makala niliyoipa kichwa kisemacho "NJAMA ZA IKULU, HATA RAIS/MFALME ANAWEZA KUDANGANYWA"
Soma hapa 👉👉👉👉Hata Rais hudanganywa: Njama za Ikulu ndizo hizi
katika makala hiyo nilieleza kinaga ubaga namna...
Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.
Pole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu.
Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg.
Cement...
HAKUNA SABABU INAYOZUIA WATU WASIMSHEREKEE MWOKOZI WAO
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Imani zipo tofauti, kila mtu anaamini katika kila anachoona ni sahihi. Linapokuja suala la dini serikali lazima iwe makini hasa, sio serikali, mtu yeyote yule awe makini sana.
Mimi ni Msabato kwa asili...
Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la...
Habarini za uzima wakuu, poleni na majukumu yanayo wazonga, mungu atupiganie kwenye maradhi yeyote yale.
naombeni niwape story fupi kabisa ndeni mnipe ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu binafsi ambayo yatatokana na mawazo yenu bora kabisa.
Mimi nilitolewa kijijini na shangazi yangu kuletwa...
Nimeugua Covid 19, nikatibiwa na kupona (Jina la Bwana lihimidiwe). Kuugua kwangu kumenisaidia kujifunza mengi, na kubaini uongo mwingi wanaoambiwa watu wetu ili kuwapooza, badala ya kufanya jitihada ya dhati ya kuwalinda, na kuwaokoa na janga la COVID 19. Ni kwa sababu hii nimeona vema kuandika...
Humu kuna vitabu mbalimbali vya kiswahili. Tumebadili namna ya ulipaji. Sasa unaweza kusubscribe kwa Tsh 6000 na kusoma vitabu vyote mwaka mzima. Kila mwezi tunaongeza vitabu kadhaa.
https://play.google.com/store/apps/details?id=app.b.maktaba
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-
1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.
2. Speed ambayo engine...
Je, labda huwa nakosea?
Nikishasoma SMS nafuta, huwa sikai na SMS kwenye simu.
Sababu ilikuwa ni jinsi navyojikuta nimetumiwa text nyingi na mtu ambaye naweza kuwa namfahaamu na nime msave kwa jina.
Halafu wakati huo huo natumiwa text na huyo kwa namba ambayo sijaisave siku zinaenda kwa kasi...
Habari wana JF,
Moja kwa moja niende kwenye mada.
Kumekuwa na tabia ya ajabu sana na ya kusikitisha sana hasa kwenye kumbi mbalimbali za starehe yaani ukiingia kwenye kumbi nyingi za starehe hapa Mjini Musoma Kuna kuwa na vijana wengi sana wa kike na wakiume.
Lakini jambo linalo nisikitisha...
Pitia mitandao yote utagundua watu wanojenga hoja za kisera, kisheria, kikatiba, kiuchumi, kijamii na anga nyingine ni makundi haya
Wanaharakati
Wafuasi wa vyama vya siasa vya upinzani
Baadhi ya Wastaafu katika utumishi wa Umma hasa wale ambao hawana bodi Wala chombo Cha kuongoza
Baadhi ya...
Habari za Leo wakuu,
Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine.
Tofauti ni moja tu sisi hutufanyi practical za tunacho kisoma. Ila hesabu, na maelezo yote ni yaleyale. Principal ni zile zile.
Na...
Picha linaanza napokea simu kwa ndugu zangu upande wa mama watoto wangu wanasema, samahani tunakuja kwenye maombezi kwa Mwamposa wewe kama mwenyeji tunaomba utupokee ili utupeleke kwa Mwamposa tukaombewe.
Nikasema ok poa nitawapeleka nyie njooni. Ijumaa wakaingia ndani ya jiji la Dsm...
Hakuna atakayekuja chumbani au mezani kisha akakulazimisha kuelewa unayojifunza darasani kwa ngazi yeyote uliyopo.
Vema ukajitambua aina ya usomaji ulionao ,Kwa maana ni kwa njia ipi unaitumia ili kuelewa yale unayojisomea.
Kuna mtu uelewa kwa kusikiliza,mwingine kwa kupitia discussion au yupo...
Za pilika !
Nimekuwa nikifuatilia michakato ya Uchaguzi ya vyama vingi toka 1995. Mimi ni mdau wa "utulivu" yaani tuwe na jamii tulivu. Kwanini naongelea UTULIVU? . Utulivu ndo hasa kitu pekee halisi kinachoweza kuwepo katika kundi la binadamu wanao kaa/Ishi pamoja.
Kiasili hakuna usawa wa...
Sikuizi mapenzi ni kusomana sana tena kwa umakini wa hali ya juu, unaweza mpeleka mpenzi wenu kwenu akakuta mambo sivyo na
alivyo kuwa anategemea so tarajia atabadilika mana mategemeo yake ni tofauti na alicho kuta kwenu au kwa ndugu zako
SOMA MCHEZO
Unaweza ukamtambulisha mpenzi wako kwenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.