Rais Mohamed Abdullahi Mohamed amemuondolea Waziri Mkuu, Mohammed Hussein Roble, Madaraka ya kuajiri na kufukuza kazi Watumishi akidai Kiongozi huyo amekiuka Katiba.
Amesema kusitishwa kwa madaraka ya Waziri Mkuu kutaendelea hadi baada ya kumalizika Uchaguzi. Kitendo hicho kinaendelea...
Kenya: KDF Kill 11 Al-Shabaab Militia in Somalia
14 JULY 2021
Nairobi News (Nairobi)
By Amina Wako
The Kenya Defence Forces (KDF) under the African Union Mission in Somalia (AMISOM) on Wednesday, July 14, 2021, announced it had killed 11 Al Shabaab militia in Kuday, Kismayo.
Confirming the...
Wapiganaji wa Al-Shabaab walivamia kambi ya jeshi ya Galmudug mjini Wisil katikati ya Somalia ambapo walifanikiwa kuwaua watu 30
Shambulio hilo limetokea Juni 27, ambapo wa[piganaji walivamia na magari mawili yenye mabomu na kurushiana risasi na wanajeshi wa serikali kwa zaidi ya saa moja...
Wapiganaji 18 wa Al-Shabaab ambao walihukumiwa kifo, wameuawa Juni 27 katika Galkayo Jimbo la Puntland nchini Somalia.
Wapiganaji hao walihusika na mauaji ya watu muhimu wa nchi hiyo yakiwemo mlolongo wa matukio ya mauaji na ulipuaji katika maeneo ya Galkayo na Mudug.
Mwenyekiti wa Mahakama ya...
Kenya has lifted a ban on direct flights to and from Somalia barely a month after announcing a suspension of air travel between the two countries.
Kenya’s foreign affairs ministry says it hopes the move will lead to full normalisation of diplomatic ties.
However, the ministry said that all...
Baada ya kukwama kwa miezi kadhaa, Viongozi wa Siasa Nchini humo wamefikia makubaliano yanayotengeneza njia ya kufanyika Uchaguzi Mkuu ulio Huru na wa Haki.
Waziri wa Mambo ya Nje, Abdirizak Mohamed amesema mojawapo kati ya hoja zilizofikiwa suluhu ni kuundwa kwa Kamati ya Uchaguzi. Kutokuwepo...
Kenya on Monday suspended flights from Somalia in the latest show that relations between the two sides have not thawed as announced last week.
A Notice to Airmen (Notam) on Monday indicated that flights departing for or arriving from Somalia will not be allowed for three months from May 11 to...
Baada ya nchi ya Somalia kujiona msichana mrembo na kuturingia na hata kukata uhusiano kati ya nchi hizi mbili, wao wao wenyewe wamerudi mezani bila sisi kuwaita. Wamejua hawajui. Hii ni nchi ya hovyo sana. Sawia na msichana sura mbaya anayeringia wanaume ilhali wanaume hawana haja na yeye.
Kama kichwa cha Habari kisemavyo hapo Juu.
Kenya imejumuisha wanachi wenye asili tofauti tofauti wakiwemo wazungu, wa asia, na wabantu wenyewe wazawa wa kenya ambao jamii kubwa ndiyo ilikuwepo wakat Kenya ina kuwa huru, lakin miaka ya 1990's kuendelea taifa hiki limekumbwa na wimbi la watu...
Wabunge Nchini humo wamepiga kura kufuta nyongeza ya miaka miwili madarakani kwa Rais Mohamed Abdullahi Mohamed iliyoidhinishwa mwezi uliopita baada ya jambo hilo kuibua mvutano mkubwa.
Mgogoro wa kisiasa umeibua wasiwasi kuwa waasi wa Al Shabaab wanaweza kutumia nafasi hiyo kuhatarisha hali ya...
Rais Mohamed Abdullahi Farmajo ametoa rai ya kufanyika Uchaguzi baada ya kitendo cha Wabunge kumuongezea miaka miwili madarakani kusababisha sintofahamu Nchini humo.
Kumekuwa na shinikizo la Jumuiya za Kimataifa ambazo zilitishia vikwazo kufuatia uamuzi wa Rais kuongezewa muda. Wananchi...
Nchi hiyo inawatuhumu baadhi ya washirika wake kwa nje kwa wake kudhoofisha Uhuru wake baada ya Serikali kutishiwa na vikwazo kufuatia uamuzi wa kuongeza mamlaka ya Rais kwa miaka miwili.
Washirika muhimu wa kigeni wamekemea uamuzi huo wakisema kumuongezea muda Rais Mohamed Abdullahi unatishia...
Rais wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed amesaini Sheria Tata inayoongeza mamlaka yake kwa miaka miwili, huku hatua hiyo ikipingwa vikali na Wafadhili.
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Serikali na Waziri wa Habari, Osman A Dubbe Rais amesaini Sheria hiyo ambayo ilipitishwa na Bunge. Hata...
Viongozi wa upinzani nchini Somalia na majimbo ya mkoa wa Jubbaland na Puntland, pamoja na baraza la seneti la nchi hiyo, wamepinga uamuzi wa bunge la nchi hiyo kuongeza muda wa urais kwa miaka miwili.
Bunge la Somalia Jumatatu lilimwongezea muda Rais Mohamed Abdullahi Farmajo kuwa madarakani...
Shirika la kimataifa la misaada ya kibinaadamu limesema katika msimu huu mamilioni ya watu nchini Somalia hawatakuwa na chakula cha kutosha kufuatiwa na wimbi kubwa la nzige, hali mbaya ya hewa na kiwango cha chini cha mvua.
Shirika la Save the Children limesema, mimea na mazao ya mboga mboga...
Hili ni bandiko la WITO
Serikali za Jamhuri ya Kenya na Jamhuri ya Somalia zote ni huru kuendesha mambo yake ya ndani. Nchi moja kuingia nchi nyingine kwa kisingizio cha tishio la UGAIDI katika nchi vamizi ni uvunjifu wa haki za binadamu. Nchi ya Somalia haijawahi kuomba seriikali ya Kenya na...
SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border.
Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh.
Njooni tuwape...
SOMALIA YAOKOA UGANDA NA TANZANIA KUTOKA KWENYE VITA
KWA UFUPI
Kukomesha mvutano. Kufuatia mvutano kati ya Uganda na Tanzania 1972, katibu mkuu wa OAU aliwasiliana na Kenya kupatanisha. Hata hivyo serikali ya Jomo Kenyatta ilikataa. Huku Kenya ikikataa kupatanisha, wakuu wengine wa nchi...
Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia kati masuala yake ya ndani.
Nchi hiyo jirani wa Kenya, imetangaza kuwafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya na kuagiza wanadiplomasia wake wote walio Nairobi kurudi Mogadishu ndani ya siku...
Wiki iliyopita Somalia iliamua kufurusha Balozi wa Kenya nchini humo kwa madai kuwa Kenya ina interfere na siasa ya Somalia. Sasa kwa sababu Somalia ndio wamelianzisha basi sisi tunalipiza tu mapigo.
Sasa Kenya imealika President wa Somaliland kuja Kenya on a state visit. Hakuna nchi yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.