Habari zenu wakuu,
Naamini sisi wote humu tumepitia hatua ya kwenda shule kukuza ufahamu na maarifa yetu kwenye maisha.
Kwa upande wangu, mimi binafsi nilikuwa nalipenda somo la Hesabu, na nilikuwa silipendi somo la Kiswahili.
Vipi wewe Mkuu wangu, ulikuwa unalipenda somo gani na...