story

  1. nchonga aliyebaki

    JF imejaliwa vipaji, kuna watu ni watunzi wa stori unaweza ukaamini, tuwekee orodha yako

    Hatari kuna watu wanaweza wakatunga habari wakakuaminisha GuDume GENTAMYCINE britanicca Yericko Nyerere Hawa vijana hatari nawanyoshea mikono asee Kuna mwingine kasahaulika?
  2. bahati93

    Hembu tupitie kisa cha Mungu jua (helios) na mwanae (phaethon)

    Hichi ni kisa cha kale kinachopatikana katika hekaya za zamani za waigiriki na miungu yao, iliyokuwa ikiabudiwa kipindi hicho kabla ya KRISTO. Tofauti kubwa kati ya miungu yao na MUNGU anayeabudiwa na wakristo ni kwamba miungu yao nayo ilikuwa na hulka mbalimbali za kibinadamu tofauti ni...
Back
Top Bottom