Hapa nitakuwa naandika series wahusika wakiwa ni member wa hapa jf ni kastory ka uongo na kweli ..
Na wala member ypyote atakayetajwa basi hakuna ukweli wowote na uhusika wake hapa.
Pita hapa kwa story zaidi ..
Ni asubuhi na mapema ,nimetulia bwenini na mawazo mengi shule moja jina kapuni...
Kwema wakuu habari zenu?
Nimejaribu kuwaza tu Tulipokuwa tunasoma au kuhadithiwa shuleni, hizo story kwenye maisha ya kawaida haya tunayoishi huwa havitokei kabisa
Nimeona kuuliza maana mpaka kuandika huu uzi ni mambo mengi nafikilia natamani niwe natembea njiani nikutane na Bibi Mzee akiwa...
STORY: SITAKI TENA
MTUNZI: ANDREW CARLOS
IMELETWA KWENU NA: BURE SERIES
SEASON 1
SEHEMU YA 1
Nakumbuka Levina mimi nilikuwa na miaka 12,wazazi wangu walikuwa wakinipenda sana na walipenda kuniacha huru hata pale ninapokuwa nacheza na rafiki zangu michezo mbalimbali, nilikuwa napenda sana...
Salam sana, naandika hapa nikiwa sina ujuzi wowote wa kiuandishi, kwenye makosa mtanisamehe. Ninachotaka kuelezea hapa na kuomba ushauri wenu ni experience yangu binafsi ambayo nadhani sijapata mtu sahihi bado wa kuongea nae vizuri akanielewa.
Mimi ni kijana fulani wa makamo, katika miaka ya...
TEARS OF THE SOUL (MACHOZI YA ROHONI)- 1
Mtunzi: Aziz Hashim (Hash Power)
NB: UNAWEZA KUIPATA SIMULIZI HII TAMU KUANZIA MWANZO
MPAKA MWISHO KWA MFUMO WA e-Book (PDF)
UTAKAYOISOMA KWENYE SIMU YAKO KWA SH. 5000/= TU
NICHEKI WHATSAPP 0719401968!
“Mke wangu!”
“Abee mume wangu!”
“Jiandae leo...
Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine.
Nashindwa kabisa kumtazama Bernard Membe kama 'mtu mwenye master plan'
Ya kumtoa Magufuli au hata kuleta Tu...
Weekend tulivu, Mwalimu John kapozi zake Huku akifuafua vijisarawili vyake viwili vitatu kuisindikiza. Akiwa bize kufua na kule simu inaita, kuitazama Namba ngeni. Anaipokea taratibu sauti inaongea kwa mbaaali, haisikiii vizuri.
MWANAFUNZI: Hallow Sir
MWALIMU : Habari hujambo?
MWANAFUNZI ...
KINU CHA MAMA
Mussa N. Abubakari
UTANGULIZI.
Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu.
ZINDUKO;
Moja ni jibu,
Ngono hutibu.
1. Romantic Star
Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
Hii story nilisimuliwa na mkuu mmoja wa chuo na leo nimeikumbuka sana nikasema sio mbaya ni shear nanyi kama elimu kwetu.
Palikuwa na mwenyekiti mmoja wakijiji fulani hapo zamani alikuwa akiongoza kijiji chake kwa kufuwata sheria na taratibu zilizo wekwa na kijiji. Mwenyekiti huyu alikuwa hana...
Habari zenu wakuu
Tunaanza weekend sio mbaya nikija story nyepesi nyepesi mimi ninatokea kanda maalumu kwa asili ila nimezaliwa DSM na niko hapa maisha yangu yote sasa tokea tuko wadogo tulikuwa tunaenda likizo baba alikuwa anatupeleka hiyo tabia ninayo mpaka leo nikiwaga likizo naendaga kwetu...
Kuna kauzi kinamzungumzia bwana chedi ambaye kwa sasa ni marehemu alioa single mother, nilikuwa naomba kujua story ya huyu jamaa ili wengine tupate kujifunza
Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu!
Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni http://www.equatorstory.com/
Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa?
Hili ndo suluhisho lako.
Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia...
Musa Keita I came into power in 1312. When he was crowned, he was given the name Mansa, meaning king. It is said that Mansa Musa had conquered 24 cities, each with surrounding districts containing villages and estates, during his reign.
Mansa Musa was in charge of a lot of land. To put it into...
Kwenye sanaa kuna mambo mengi ikiwa na uandishi na uchezaji wa maneno, lakini kuna hili limeongezeka wanaita muziki biashara,
Kwenye wimbo mpya wa Stamina amecheza karata turufu, tetesi zilizokuwa zikiendelea mtandaoni kuhusu ndoa yake kazitumia kama fursa ya kibiashara kwenye muziki
Siku...
Tanzania imeweka rekodi ya aina yake baada ya vivutio yake vyote vitatu vilivyoingia katika shindano la kutafuta Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika kushinda na kuingia katika orodha ya Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika.
Aidha hifadhi ya Taifa ya Serengeti kimetajwa kuwa ni kivutio pekee...
yaani kama umesoma kwenye jukwaa la entertainment story ya mwandishi nguli bwana Bishop hilluka iitwayo tax utagundua ka twist majina fulani kwa mfano kwenye story yake ambayo ime base kwenye maeneo ya ukweli ya jiji la dsm kuna Rais aitwaye Yohana funguo, IGP aitwaye solomon zirro halafu kuna...
Walking down the street, a Member of Parliament is hit by a lorry and dies. His soul arrives in Heaven and is met by St. Peter. He says, "
'Welcome to heaven. Before you settle in, it seems there's a problem. We seldom see anyone in such a high office around here, so we're not sure what to do...
Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake.
Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.