story

  1. Its Pancho

    Chizika na JF members story

    Hapa nitakuwa naandika series wahusika wakiwa ni member wa hapa jf ni kastory ka uongo na kweli .. Na wala member ypyote atakayetajwa basi hakuna ukweli wowote na uhusika wake hapa. Pita hapa kwa story zaidi .. Ni asubuhi na mapema ,nimetulia bwenini na mawazo mengi shule moja jina kapuni...
  2. Masokotz

    Wanawake niliokutana nao. Based on a True Story

    Itakujia hivi punde
  3. Mkogoti

    Hivi zile story tulizokuwa tunasoma shuleni bibi unamsaidia mzigo wa kuni kufika kwake anakupa zawadi hazipo?

    Kwema wakuu habari zenu? Nimejaribu kuwaza tu Tulipokuwa tunasoma au kuhadithiwa shuleni, hizo story kwenye maisha ya kawaida haya tunayoishi huwa havitokei kabisa Nimeona kuuliza maana mpaka kuandika huu uzi ni mambo mengi nafikilia natamani niwe natembea njiani nikutane na Bibi Mzee akiwa...
  4. Abdallahking

    STORY: Sitaki Tena

    STORY: SITAKI TENA MTUNZI: ANDREW CARLOS IMELETWA KWENU NA: BURE SERIES SEASON 1 SEHEMU YA 1 Nakumbuka Levina mimi nilikuwa na miaka 12,wazazi wangu walikuwa wakinipenda sana na walipenda kuniacha huru hata pale ninapokuwa nacheza na rafiki zangu michezo mbalimbali, nilikuwa napenda sana...
  5. K

    Ushauri wenu: Kuna umuhimu kuridhisha wakwe wa siku hizi?

    Salam sana, naandika hapa nikiwa sina ujuzi wowote wa kiuandishi, kwenye makosa mtanisamehe. Ninachotaka kuelezea hapa na kuomba ushauri wenu ni experience yangu binafsi ambayo nadhani sijapata mtu sahihi bado wa kuongea nae vizuri akanielewa. Mimi ni kijana fulani wa makamo, katika miaka ya...
  6. Hashpower7113

    Love story: Tears of the soul (machozi ya rohoni)

    TEARS OF THE SOUL (MACHOZI YA ROHONI)- 1 Mtunzi: Aziz Hashim (Hash Power) NB: UNAWEZA KUIPATA SIMULIZI HII TAMU KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO KWA MFUMO WA e-Book (PDF) UTAKAYOISOMA KWENYE SIMU YAKO KWA SH. 5000/= TU NICHEKI WHATSAPP 0719401968! “Mke wangu!” “Abee mume wangu!” “Jiandae leo...
  7. The Boss

    Bernard Membe same old story

    Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa. Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine. Nashindwa kabisa kumtazama Bernard Membe kama 'mtu mwenye master plan' Ya kumtoa Magufuli au hata kuleta Tu...
  8. RAKI BIG

    Story ya Niwa na Mwl. John

    Weekend tulivu, Mwalimu John kapozi zake Huku akifuafua vijisarawili vyake viwili vitatu kuisindikiza. Akiwa bize kufua na kule simu inaita, kuitazama Namba ngeni. Anaipokea taratibu sauti inaongea kwa mbaaali, haisikiii vizuri. MWANAFUNZI: Hallow Sir MWALIMU : Habari hujambo? MWANAFUNZI ...
  9. Abubakari M N

    Simulizi: Kinu cha Mama

    KINU CHA MAMA Mussa N. Abubakari UTANGULIZI. Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu. ZINDUKO; Moja ni jibu, Ngono hutibu. 1. Romantic Star Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu...
  10. H

    Naomba movie ya action yenye story nzuri

    Nipe list ya movie za action zenye story nzuri za kuvutia. Nafikiri mmenielewa maana Kuna wengine wana vichwa vigumu ya kuelewa mada.
  11. T

    Story ya mwenyekiti wa kijiji aliekuwa hasamehi watu wake wala hakuamini neno bahati mbaya

    Hii story nilisimuliwa na mkuu mmoja wa chuo na leo nimeikumbuka sana nikasema sio mbaya ni shear nanyi kama elimu kwetu. Palikuwa na mwenyekiti mmoja wakijiji fulani hapo zamani alikuwa akiongoza kijiji chake kwa kufuwata sheria na taratibu zilizo wekwa na kijiji. Mwenyekiti huyu alikuwa hana...
  12. W

    Story nyepesi nyepesi tunapoanza weekend na Corona hii

    Habari zenu wakuu Tunaanza weekend sio mbaya nikija story nyepesi nyepesi mimi ninatokea kanda maalumu kwa asili ila nimezaliwa DSM na niko hapa maisha yangu yote sasa tokea tuko wadogo tulikuwa tunaenda likizo baba alikuwa anatupeleka hiyo tabia ninayo mpaka leo nikiwaga likizo naendaga kwetu...
  13. Kapepo

    Naomba kujua story ya Chedi

    Kuna kauzi kinamzungumzia bwana chedi ambaye kwa sasa ni marehemu alioa single mother, nilikuwa naomba kujua story ya huyu jamaa ili wengine tupate kujifunza
  14. E

    Nafasi ya kuwa mtunzi wa kwanza kuandika story kwenye http://www.equatorstory.com/

    Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu! Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni http://www.equatorstory.com/ Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa? Hili ndo suluhisho lako. Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia...
  15. Sky Eclat

    The richest man In history is an African King Mansa Musa from Mali. He was worth over $400Billion

    Musa Keita I came into power in 1312. When he was crowned, he was given the name Mansa, meaning king. It is said that Mansa Musa had conquered 24 cities, each with surrounding districts containing villages and estates, during his reign. Mansa Musa was in charge of a lot of land. To put it into...
  16. mayowela

    Stamina ft Atan-ASIWAZE "Not true story changa la macho in business wise"

    Kwenye sanaa kuna mambo mengi ikiwa na uandishi na uchezaji wa maneno, lakini kuna hili limeongezeka wanaita muziki biashara, Kwenye wimbo mpya wa Stamina amecheza karata turufu, tetesi zilizokuwa zikiendelea mtandaoni kuhusu ndoa yake kazitumia kama fursa ya kibiashara kwenye muziki Siku...
  17. G

    Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

    Tanzania imeweka rekodi ya aina yake baada ya vivutio yake vyote vitatu vilivyoingia katika shindano la kutafuta Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika kushinda na kuingia katika orodha ya Maajabu Saba ya Asili Barani Afrika. Aidha hifadhi ya Taifa ya Serengeti kimetajwa kuwa ni kivutio pekee...
  18. N

    kamishna mabosasa ni tofauti kabisa na wa story ya bishop hilluka

    yaani kama umesoma kwenye jukwaa la entertainment story ya mwandishi nguli bwana Bishop hilluka iitwayo tax utagundua ka twist majina fulani kwa mfano kwenye story yake ambayo ime base kwenye maeneo ya ukweli ya jiji la dsm kuna Rais aitwaye Yohana funguo, IGP aitwaye solomon zirro halafu kuna...
  19. Mbase1970

    Heaven and Hell Story

    Walking down the street, a Member of Parliament is hit by a lorry and dies. His soul arrives in Heaven and is met by St. Peter. He says, " 'Welcome to heaven. Before you settle in, it seems there's a problem. We seldom see anyone in such a high office around here, so we're not sure what to do...
  20. N

    Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

    Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake. Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife...
Back
Top Bottom