Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google waja na YouTube story.
Youtube story ni kipengele cha kumruhusu mtumiaji wa YouTube mwenye account yaani youtuber kuweka hadithi kama ilivyo mitandao mbalimbali ya kijamii mfano Facebook na Instagram wao pia wanatumia Facebook story au instagram story...
AFRICA AND AGRICULTURE.
Agriculture as a science is defined as growing of crops and animal husbandry. It’s definition may vary since it sometimes include the aspects of nature conservation and it’s sustainability. Agriculture is by far the single most important economic activity in Africa...
A French footballer who was born in Senegal and played for major clubs in France as well as the French national squad has been in a coma for almost 38 years due to a mistake his doctor made while putting him to sleep for surgery to repair a torn ligament.
He was 34 when he went into a coma...
.
*********
“Where’s your dad?” My friend Maria asked me with curiosity. It was a visiting day at our school
“Well, I don’t have a dad” I turned and answered her without pressure, I was already used to such questions
“Oh..! My dad and mom are already here, they’ve brought a lot of things...
WATU maeneo mbalimbali duniani wamekuwa wanasumbuka kupata 'kiwakilishi' sahihi na bora kwenye kubadilishana bidhaa toka dunia kuumbwa.
Baada ya uwepo wa DOLA ya Kimarekani na EURO ya Ulaya watu wakadhani mapambano hayo yamefikia tamati. La hasha, bado yanaendelea !
Baada ya majaribio ya kadi...
TUSIJIDANGANYE kutaka Kiswahili kuenea fumba na kufumbua duniani. Tutosheke na kukiona Kiswahili kinatawala Afrika hatua kwa hatua.
KOKOTE Afrika viongozi, wanasiasa, wasomi na jamii kwa ujumla watu wanazungumzia juu ya fursa za ajira na 'baibai kwa umasikini' kwa vijana. Ila hakuna...
Igweeeeeeeee!!!
RIP WARUMI! (Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! )
Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So...
TANZANIA THE STORY OF JULIUS NYERERE
From the pages of Drum
Picha ya kushoto ni mswada alionipa Jim Bailey mmiliki wa jarida la Drum kuhariri na kutafuta mchapaji yaani "publisher. "
Tulifanikiwa na kitabu kikachapwa na ndiyo hiyo picha ya pili.
Ni katika kazi hii ndipo nilipopata picha...
Anthony Muthungu, a youthful engineering graduate, has had his inspiring story go viral after it emerged that he had established a manufacturing company that locally manufactures mobile charging and data transfer USB cables.
The 28-year-old who hails from Kirinyaga County started TOTOSCI Ltd in...
Habarini za leo wanaJF
Niliombwa na baadhi yana JF kutoa ushuhuda wangu kidogo jinsi nilivyopambana kutafuta mali za mjerumani mkoani Morogoro. Hii ni baada ya kuona nikichangia baadhi ya thread kuhusiana na matukio hayo. Ni matukio ya kweli
Ndugu wana JF kwa wale wanaopenda kufuatilia habari...
Jerusalem Post Health & Science
Coronavirus in Israel: What do we know about the 143 hospitalized people?
By MAAYAN JAFFE-HOFFMAN JULY 21, 2021 18:07
Of the 143 hospitalized patients, 58% were vaccinated, 39% were not at all, and 3% were partially vaccinated.
Some 143 Israelis were...
Kuna Mzungu alikuja Tanzania kwa shughuli za kikazi. Katika mihangaiko yake alisikia njaa na muda wa lunch uliwadia. Alifikiria pa kupata chakula, aliamua kutafuta sehemu inayouza chakula apate rizki.
Alikuta kijiwe cha chips na wasela kibao wanapata msomi. Alikaribia ile sehemu, kulikua na...
Watu wengi wanajua wanachopaswa kufanya hapa duniani ili kubadilisha maisha yao na kugusa maisha ya watu wengine katika jamii,lakini changamoto kubwa wanashindwa kuanza kufanya chochote kwa hofu ambayo kimsingi haina mantiki yowote.
Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la...
🛣️ CHANGA MOTO ZA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO
✍🏿 Kila mtu anaye ishi anahitaji kuwa na mafanikio kwa ghalama yoyote ile.
Wengi tumekuwa tukikosa kuyaendea malengo yetu ambayo n mafanikio kwa baadhi ya changamoto.
🙏🙏 Naomba ni bainishe baadhi ya changamoto ili uzijue na ukabiliane nazo.
1...
Suala kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa watoto limekuwa likijitokeza Mara kwa Mara hapa nchini. Suala hili linatakiwa kuangaliwa kwa umakini na kutafutiwa mwarobaini wake mapema.
Chanzo cha tatizo hili:-
(a) Malezi (maadili) mabovu kwa watoto. Nilikuwa nikifanya research kwenye...
Sia ni binti ambaye wakati Fulani tuliwahi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi,Japokuwa ndio kwanza tulikuwa tumetoka masomoni kwa kuhitimu kidato cha sita.Si jina lake halisi ,Lakini naamini litafanikisha kufikisha ujumbe niliokusudia.
Hatukudumu sana hasa baada ya matokeo kutoka na kila mmoja...
Tumekuwa tukilalama kuhusu changamoto ya ajira na kazi inayo wakabili vijana ambao ni kundi kubwa kuliko yote Tanzania. Imethibitishwa kuwa wastani wa umri wa Kijana kwa sasa Tanzania ni miaka 17.7.
Wengi wamekua wakihoji kama tumetanabaisha maana ya hizi takwimu na jinsi gani kama taifa...
Afya sambamba na uchumi
Changamoto kubwa sana inayotukabiri sisi wa Tanzania pamoja na mataifa mengine yanayoendelea ,ni kwamba tunashindwa kutambua ni jinsi gani afya za wananchi zinaathiri moja kwa moja Uchumi wa Taifa.
Iwapo wananchi watakuwa na afya njema basi hata kasi ya kupanda kwa...
Habari wakulungwa?
Nakuta tu huko fb kumepamba moto, mara Raptcha afukuzwe na mawe, mara aokolewe mara alaumiwe.
Please help me to understand what's going on?
Asanteni .
--------
Jibu:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.