story

  1. THE SPIRIT THINKER

    Hadithi: Time Travel

    Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda. Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti? Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel. Ipo ama haipo utapata majibu. Hebu anza na hii Mtunzi: Jonas Rututuka Mwandishi: Nelson Ntimba. Time travel...
  2. Mia saba

    Tusimulie love story yako kwa kifupi tujifunze

    Nilimwona nikadhani malaika wazam Yuko duniani Nikamtamani kwa uzuri uliopitiliza Nikatongoza - ikagoma Nikatongoza - nikapewa shit Nikatongoza - nikapewa namba Uhusiano - miez 1 na nusu Omba mzigo - kachomoa Omba mzigo - ntakuja kukutembelea. Nikateleza😋 Akakagua simu - akapata presha Nikaomba...
  3. sky soldier

    Kuna ukweli wowote katika aina hii ya utapeli?

    Huu utapeli hakufanyika kwa Tamaa kama ilivyozoeleka na ndipo napopata mashaka. Ni ndugu yangu wa karibu naemwamini sana, nilimtumia pesa laki 6 anunue laptop kwajili ya chuoni. sasa nikawa nafatilia hio laptop naona ananipiga sana chenga, nikafikisha hii kero kwa mama yake ambae ni mamdogo...
  4. Mshamba wa kusini

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Habari, Nini kilikusaidia kufaulu usaili wa ana kwa ana (oral) au ulikosea wapi? Naomba tushare expirience wakuu.
  5. Katabaro_EJ

    Story ya kijana mmoja mwenye ndoto kubwa

    Kijana mmoja jina () alihitimu elimu ya chuo kikuu katika chuo kikuu kimoja mkoani Morogoro. Baada ya kuhitimu alikuwa na viji-savings vyake akavitumia kununua kiwanja na shamba hapo hapo mkoani Morogoro. Badae akakodi meza katika soko la Manzese (lililokuwa soko kuu la muda kupisha ujenzi wa...
  6. Kasomi

    Story kutoka kwa watu, Maisha yana changamoto kweli

    Maisha yana changamoto nyingi sana. Nakumbuka mwaka 2019 Nilihamia kwenye nyumba moja huko kilakala. Hiyo siku nafika tu pale, nikamkuta mpangaji mwenzangu na akaniambia hapa ni jau yeye mwenyewe ana mipango ya kuhama sababu mzee mwenye nyumba ni chuma ulete. Nikapuuzia. Nikaendelea kuishi pia...
  7. Kasomi

    Story kutoka kwa WATU: Maisha yanachangamoto kweli

    "Maisha yana changamoto nyingi sana. Nakumbuka mwaka 2019 Nilihamia kwenye nyumba moja huko kilakala. Hiyo siku nafika tu pale, nikamkuta mpangaji mwenzangu na akaniambia hapa ni jau yeye mwenyewe ana mipango ya kuhama sababu mzee mwenye nyumba ni chuma ulete. Nikapuuzia. Nikaendelea kuishi...
  8. Teko Modise

    Nyimbo za Bongo Fleva zenye stori za kweli

    1. Sitaki Demu - Juma Nature Nature alitoa kibao hiki mara baada ya kugombana na mpenzi wake Sinta 2. Inaniuma Sana - Juma Nature Chanzo cha wimbo huu ni kama ilivyokuwa hapo juu, Nature aliachana na Sinta msichana aliyempenda sana kabla ya kuzinguana. 3. Msela - Bushoke Huu wimbo Bushoke...
  9. mdukuzi

    Haji manara na Bumbuli walitumwa na GSM kufanya press ili kuzima story za kuvunja mkataba

    Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli, Walipeni timu 15 pesa zao...
  10. mbuyake

    Hii ni stori ya maisha yangu. Nini ushauri wako kwangu?

    Wanajamvi naomba nipate ushauri wenu kwa hili. Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate...
  11. Underthesea

    Story time: Amfuata mwanamke Sweden kutoka India kwa baiskeli

    Pradyumna Kumar "PK" Mahanandias alizaliwa mwaka 1949 katika kijiji kimoja huko India kwenye moja ya matabaka ya kihindi ya chini kabisa (untouchables) kwahiyo hakuwa na tumaini la kutoka kwenye maisha ya ubaguzi na umaskini. Ni kawaida Kwa wahindi kuita wanajimu watoto wanapozaliwa. Mnajimu...
  12. Ferruccio Lamborghini

    Notorious BIG kwenye wimbo wa "I Got A Story To Tell" alikuwa anamzungumzia nani?

    Hivi huyu The Notorious BIG kwenye wimbo wa I got a story tell alikuwa anamzungumzia nani? Nimejaribu kuelewa anachozungumzia lakini wapi but kuna watu wanasema ni True Story. Wataalam wa Hiphop mnisaidie
  13. LIKUD

    Story za mtaani kuhusu umafia wa madalali

    Mtaani hakunaga watu wanaheshimika Na kuogopeka kama madalali. Madalali wengi wa mjini Daslamu inasemekana wanakuwaga wanashirikiana Na mtandao wa majambazi katika Ku enforce maagano/ mapatano wanayo ingia Na watu wanao wasaidia kuuza property zao. Kanuni Moja ya mtaani kuhusu madalali ambayo...
  14. Mung Chris

    TBC na aliye watuma kuleta story ya siku nyingi ya mstaafu kutapeliwa sio hekima

    Jana TBC wameleta story ya Mwalimu mstaafu kutapeliwa, hii story ya mafao ya huyu mama Kulipwa sio ya leo, kwanini msilete sotry ya hivi karibuni, yote haya mnayaleta kuhadaa watu kwamba wastaafu wanalipwa mafao yao na wanatapeliwa hili ameshalizungumzia Msemaji wa serikali mwezi jana tukamkosoa...
  15. I wish i have

    Siasa za STORY: Story za Hali ya Hewa?

    Mungu ONGEZA ukali wa JUA (SUN) maana kihakika SIWEZI fikiri pekeyangu... Hee Mungu baba saidia hao watu wafikirie zaidi hali ya hewa kuliko wanavyomfikia mtu.. Usisahau hata mvua iwe nyingi SAFARI hii maana kweli UNASTAHILI Tufanye tufikiri kwa kitu kidogo ulichokiweka hapa duniani.. 1. MAANA...
  16. Cvez

    A crazy story na mpenzi wangu wa Chuo

    Wiki mbili zilizopita ilikuwa niwe na date with my ex, mpenzi wa Chuo. To give you a back story, ni binti ambaye nilidate nae wakati tupo chuo kwa muda kama miezi 4 au 6 hivi. Nilimpenda sana ila unfortunately ndio only mpenzi nilidate nae kwa muda mchache. Ni mrembo haswa na ana self...
  17. Dumile

    The story of how a Kenyan lady built 200 houses

  18. Mung Chris

    Je, uwezekano wa kukutana na bodyguard wa Rais Samia mtu apige naye story tu za kawaida au utaratibu ukoje

    Huyu mdada ambaye ni bodyguard wa Rais Samia ni mlimbwende yuko vizuri kabisa ila nauliza kama kuna uwezekano wa kukutana naye mtu apige naye story tu za kawaida walau tu kwa dka 20 ili mtu afaidi aone anavyo cheka tabasamu na kufurahia tu story za hapa na pale kuhusu mambo ya kawaida sana...
  19. Rebeca 83

    Wale tuliopata PM za ushindi wa shindano la story of changes na baadae tukaangukia pua njooni tujifariji humu

    Hello JF, Inauma kuwa close to the finishing line halafu usipate 😊😥 Hongereni washindi, sisi wengine tusubiri shindano lijalo, very sad.
  20. Sky Eclat

    The story of Salim bin Khalfan, Liwali of Mombasa (1884 - 1912)

    The story of Salim bin Khalfan, Liwali of Mombasa (1884 - 1912) In the picture, he is seated at the centre. it's important to note that the Omanis ruled Mombasa from 1698 and had their administrative headquarters in Stone Town, Zanzibar. Mombasa was a prominent town under the Zanzibar...
Back
Top Bottom