Intro: Nviiri the Storyteller
(Ohh, mmh)
Ohh
What a waste
Oh, Lord
The Storyteller, ayy
Verse 1: Nviiri the Storyteller
What a waste
Baby tumejiseti, we on the highway
Tukafunga breki, tukaanza bishana
Asking, “Who is Diana? Vipi mnajuana?”
I swear tumeji-betray, baby tumejiseti
‘Cause love...
2003 simba sc ilitikisa afrika nzima kwa kuwatoa mabingwa watetezi zamaleki waliokuwa kama weeks mbili nyuma wametoka kutoa draw na real madrid ya kina zidane,gutti kwenye club bingwa ya dunia
Marahemu james siang'a mkenya aliyekuwa kocha wa simba anasema kuna mtanzania mwenye asili ya kiasia...
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu amedai baadhi ya wanaume wa Tanzania wanatumia nguvu kubwa kujadili habari za timu za Simba na Yanga zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, kuliko hata kujadili afya zao.
Hawa amesema kama nguvu hiyo ingetumika kujadili masuala ya afya ikiwemo kupima...
Hatimaye Ametiki(Based on true story)
Ilikua mwaka 2014 katika chuo cha elimu ya biashara(CBE) Tawi la Mbeya nilikuwa mwaka wangu wa pili nikichukua stashahada ya usimamizi wa biashara (diploma in Businesses administration). Nikiwa nimeketi kwa pembeni kipindi hicho ndo kuna wanafunzi wapya...
Naona wengi mnanichukia na kuniita majina yote mabaya.Fisadi, Tajiri Mjeuri, Handsome Boy, Billionea Chizi n.k
Ile story nlilazimika kuisitisha baada ya wahusika kunifuata na kutaka niisitishe na walitoa sababu zao. Mbaya zaidi mmoja ana connection kubwa sababu ya biznez zake za Madawa.
Nami...
2018 Siku moja nilikua bored home, nikajiunga BADOO nikakutana nae.
Tukawa friends then Fuc* mates.
Maisha yakasonga, nilichompenda yeye alikua hapendi hela na ni mrembo kweliii.
Kwenye hela na matumizi yake yaani unajiongeza wewe, unapiga show siku kadhaa unalipia siku kadhaa na outing na...
Wakati nyimbo za maombolezo zikiendelea kupigwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na mashada ya maua hata hayajanyauka katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Tz, JPM. Kuna mengi yameanza kuibuliwa ambayo ni mapungufu katika Uongozi wake. Hasara ya Shirika la Ndege, Ubadhilifu mkubwa katika...
MAGUFULI THE STORY OF AFRICA.
Leo 20:30hrs 18/03/2021
Our Father John Pombe Magufuli,You took us on the top of Mount Kilimanjaro and make us shine beyond our borders,You took us to the Center of the World where the white people could respect us,You brought hope in the street of Wanyonge na...
SIKU NITAKAPOKUFA ..01
AUTHOR: NEXT LEVEL.
Katika kila maisha ya binadamu kuna sehemu tunapitia na kukutana na majaribu ya kila aina mbalimbali, lakini kuna kuzaliwa kuishi na kufa, lakini Mimi siku nitakayokufa ...!siku nitakayokufa!..
Asubuhi na mapema jogoo anawika kuashiria kuwa watu...
Friendship is a relationship of mutual affection between people. It is a stronger form of interpersonal bond than an association, and has been studied in various academic fields such as communication, sociology, social psychology, anthropology, and philosophy.
It's important that why keeping...
Mambo vp jamiiforums.
Je, shemeji yako wa kiume anaweza kuwa swahiba?
Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni.
Just imagine, kwa akili...
KOT huwa tunapiga CNN sana wakileta ujinga. This time walikuwa wanadanganya kuwa Mzungu fulani ndiye alikuwa mtu wa kwanza kugundua kwamba hump-back wales (aina fulani ya nyangumi) wapo Kenya. KOT iliwaka moto hadi CNN wakaedit story yao.
Ikumbukwe kuwa CNN pia waliwahi kuita Kenya "A hotbed of...
Habarini,
Nikiwa napitia Instagram stories sometimes nakutana na tags na nikitaka ku-skip nashindwa hadi liishe, tafadhali nisaidieni nifanyeje
Nawasilisha,
Nawategemea.
Mara nyingi nimekuwa mtu wa mizaha hapa jamvini .
Ila basi baada ya kushuhudia kisa Fulani mtaani ,nikaona nishee kidogo nanyi kuhusu maisha yangu ya mahusiano kidogo huenda tukapata kitu hapa.
Well ,
Nikiwa na miaka 16 tu na nimemaliza kidato cha nne that time.mwaka Fulani.
Na kupata ufaulu...
Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga.
Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa.
Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea...
DISCLAIMER: Nianze kwa kusema hii story sio ya kwangu, ni ya member Mbwichichi ambae amesimulia hii story ndani ya story
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://www.jamiiforums.com/threads/tukio-la-kusisimua-nililolishuhudia-kwa-macho-yangu-katika-msitu-wa-nairoto.1808580/
Hivyo nimeona nisaidie kuweka hapa iwe...
Unazikumbuka hizi Learn Back, Make It Rain- Fat Joe, vipi kuhusu the iconic song kutoka westcost Still ya Dr Dre, Just A Lil Bit 50 Cent, Poppin Them Thangs - G unit, Gimme That-Run It za Chris Brown mzee list ni ndefu sanaaaaaaaaa kwa wakati wako google it.
Huyo si mwengine basi ni Scott Scotch...
Wakuu,
Limeibuka wimbi la baadhi ya viongozi wa kisiasa kukimbilia kwenye balozi zinazowakilisha nchi zao au mashirika ya ukimbizi kwa madai ya kuteswa (persecution). Kwa tafsiri ya jumla kwa kiingereza inaakisi yafuatayo: "...... is the act of harassing or oppressing a person or a group of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.