sua

  1. Kuhitajika namba za NIDA wakati wa application SUA

    Wadau, wakati nafanya application SUA. Nimekutana na kipengele kinachohitaji namba ya NIDA.. Sasa kama hauna inakuwaje hapa.!!, kuna mtu yeyote kakutananacho hiki kipengele..?
  2. T

    Account za SUA mbona hazina comment

    Ndugu, mbona kwenye account za SUA hawajaweka comment kama mwombaji amepata au la?
  3. Naomba kufahamu hii kozi kutoka SUA Biotechnology and laboratory sciences

    Kwa ambao wanasoma au wanaifahamu hii kozi kiundani inayotolewa pale SUA, inadili na nini hasa na upande wa matumizi yake.. Bachelor of science in Biotechnology and Laboratory sciences Nawakaribisha.
  4. Tetesi: SUA: Prof Mstaafu afariki kwa tatizo la kushindwa kupumua! Ni Prof wa tatu kufariki ndani ya miezi miwili kwa tatizo kama hilo

    Taarifa hizi nimezipata kwa rafiki wa karibu aliyeko SUA. Sijawa na uhakika wa kutosha kuhusu chanzo hiki cha habari . Imenitia Uchungu kwa vile hawa walikuwa watu maarufu kitaaluma na waliotoa mchango kwa maendeleo ya uchumi nchini. Iweje taarifa zao zisisikike au kutangazwa na vyombo vikuu...
  5. Mzumbe na SUA Morogoro wa miaka yà 90-2000 mnamkumbuka Shayo Bichwa?

    Kwa waliosoma Mzumbe na SUA miaka ya nyuma watakuwa wanamjua huyu jamaa chek-bob. Wajihi wake Mrefu Mweupe Bichwa kubwa Sana lenye kipara Miwani juu ya kichwa Jinsi muda wote Makalio makubwa Huyu jamaa alikuwa ànapatikana kwenye Bar za Morogoro Mjini 24/7. Alikuwa mishen town na mtoto wa...
  6. Postdoctoral Research Fellow in Bioinformatics (re-advertised) at SUA

    The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) wishes to invite suitably qualified individuals, who are able to work full time in a dynamic academic environment to apply for two (2) positionsat the SACIDS Africa Centre of Excellence for Infectious Diseases of Humans and Animals in...
  7. Chief Technologist (re-advertised) at The Sokoine University of Agriculture (SUA)

    The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) wishes to invite suitably qualified individuals, who are able to work full time in a dynamic academic environment to apply for two (2) positionsat the SACIDS Africa Centre of Excellence for Infectious Diseases of Humans and Animals in...
  8. Nafasi za kazi Sokoine University of Agriculture (SUA)

    Overview The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) wishes to invite suitable qualified individuals, who are able to work full time in a dynamic academic environment to apply for three (3) positions at the SACIDS Foundation for One Health. The Postdoctoral Research Fellow in...
  9. Mbona ujenzi barabara Makongo juu wasua sua sana! JASCO shida nini!

    Takribani miezi 4 sasa imeisha toka ujenzi wa barabara hii ya makongo juu kuzinguliwa (November 1) lakini ujenzi wake umezidi kusua sua kiasi kwamba unatia mashaka kama kweli mradi huu upo au ni danganya toto. Miezi 4 sasa hakuna maendeleo yoyote yaliyofanyika na hata hii kampuni ya JASCO...
  10. Z

    Waziri Ndalichako, bado wanafunzi tunaibiwa Vyuoni, SUA na UDSM wamo

    Bodi ya mikopo ya wanafunzi kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo vikuu ilikuwa ikiiba pesa za wanafunzi hewa, walioacha masomo na hata waliofariki. Bahati mbaya hakuna hatua ya maana iliyochukuliwa. Kuna mtindo mpya wa wizi. Vijana wetu wanapomaliza masomo na kufuatilia vyeti, huambiwa...
  11. Mfumo wa ulipaji ada pale Sokoine University (SUA)

    Wakuu ningependa kufahamu kama unatumia Control Number au Account Number ya chuo kukamilisha hili jambo.
  12. Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

    Wakuu naomba kuuliza juu ya kozi ya ""Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness """ iliyopo pale sua . Ipoje na fursa zake zipoje.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…