sudan

Sudan (; Arabic: السودان‎ as-Sūdān), officially the Republic of the Sudan (Arabic: جمهورية السودان‎ Jumhūriyyat as-Sūdān), is a country in northeastern Africa. It is bordered by Egypt to the north, Libya to the northwest, Chad to the west, the Central African Republic to the southwest, South Sudan to the south, Ethiopia to the southeast, Eritrea to the east, and the Red Sea to the northeast. Sudan has a population of 43 million people (2018 estimate) and occupies a total area of 1,886,068 square kilometres (728,215 square miles), making it the third-largest country in Africa and also the third-largest in the Arab world. Before the secession of South Sudan from Sudan on 9 July 2011, the united Sudan was the largest country in Africa and the Arab world by area. Sudan's predominant religion is Islam, and its official languages are Arabic and English. The capital is Khartoum, located at the confluence of the Blue and White Nile. Since June 2011, Sudan is the scene of an ongoing military conflict in its southern states.
Sudan's history goes back to the Pharaonic period, witnessing the kingdom of Kerma (c. 2500 BC–1500 BC), the subsequent rule of the Egyptian New Kingdom (c. 1500 BC–1070 BC) and the rise of the kingdom of Kush (c. 785 BC–350 AD), which would in turn control Egypt itself for nearly a century. After the fall of Kush, the Nubians formed the three Christian kingdoms of Nobatia, Makuria and Alodia, with the latter two lasting until around 1500. Between the 14th and 15th centuries much of Sudan was settled by Arab nomads. From the 16th–19th centuries, central and eastern Sudan were dominated by the Funj sultanate, while Darfur ruled the west and the Ottomans the far north. This period saw extensive Islamisation and Arabisation.
From 1820 to 1874 the entirety of Sudan was conquered by the Muhammad Ali dynasty. Between 1881 and 1885, the harsh Egyptian reign was eventually met with a successful revolt led by the self-proclaimed Mahdi Muhammad Ahmad, resulting in the establishment of the Caliphate of Omdurman. This state was eventually destroyed in 1898 by the British, who would then govern Sudan together with Egypt.
The 20th century saw the growth of Sudanese nationalism and in 1953 Britain granted Sudan self-government. Independence was proclaimed on 1 January 1956. Since independence, Sudan has been ruled by a series of unstable parliamentary governments and military regimes. Under Gaafar Nimeiry, Sudan instituted Islamic law in 1983. This exacerbated the rift between the Islamic north, the seat of the government and the Animists and Christians in the south. Differences in language, religion, and political power erupted in a civil war between government forces, strongly influenced by the National Islamic Front (NIF), and the southern rebels, whose most influential faction was the Sudan People's Liberation Army (SPLA), eventually concluding in the independence of South Sudan in 2011. Between 1989 and 2019, Sudan experienced a 30-year-long military dictatorship led by Omar al-Bashir. Due to his actions, a War in Darfur Region broke out in 2003. Bashir was accused of ethnic genocide. Overall, the regime left 300,000–400,000 dead. Protests erupted in late 2018, demanding Bashir's resignation, which resulted in a successful coup d'état on April 11, 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    Jaribio la kupindua Serikali lagonga mwamba Sudan

    Serikali Nchini humo imesema kumekuwepo jaribio la kufanya mapinduzi ambalo limeshindikana, na hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo. Shirika la Habari la AFP limenukuu chanzo kilichosema kulikuwepo jaribio la kuvamia jengo ambalo linatumika na Vyombo vya Habari vya Serikali. Mahojiano na...
  2. beth

    Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Sudan Kusini

    Mjumbe Maalum wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini, Balozi Albino Ayurl Aboug amesema Taifa hilo linaomba kutumia Bandari ya Dar kusafirisha mizigo yake‬ ‪ ‪Ameeleza hayo leo Ikulu Dar baada ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kuongeza kuwa Sudan Kusini bado inahitaji Walimu wa kufundisha...
  3. beth

    Sudan: Watu zaidi ya 80 wafariki dunia kutokana na mafuriko

    Watu 84 wamefariki dunia na wengine 67 kujeruhiwa tangu kuanza kwa msimu wa mvua mwezi Julai. Mvua hizo zimeathiri Majimbo 14 kati ya 18 huku nyumba 30,000 zikiharibiwa. Umoja wa Mataifa (UN) unakadiria takriban watu 102,000 wameathiriwa na mvua kubwa Nchini humo. Mwaka 2020, Sudan ilitangaza...
  4. Ileje

    Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

    Watanzania ni watu wa ajabu sana sijui ni sababu ya upole na unyenyekevu au uoga! La sivyo wako katika lindi la ujinga! Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliiondoa serikali ya Rais Omary al Bashir kwa kuongeza bei ya mkate kwa kufanya maandamano nchi nzima. Walifanikiwa na sasa Bashir anatumikia...
  5. MK254

    Officials from Uganda and Kenya met to thrash out operational details on targeting DRC and South Sudan markets through railway

    With an eye on the Democratic Republic of Congo and South Sudan markets, there is renewed vibrancy on the Northern Corridor, as Uganda and Kenya join forces to push the rehabilitation and seamless connection of the old metre gauge railway line, over which the two countries’ officials met this...
  6. Sam Gidori

    Sudan Kusini: Rais Salva Kiir avunja Bunge

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amelivunja bunge katika hatua iliyosubiriwa kwa muda mrefu, akipanga kuwateua wabunge wapya kutoka pande mbili zilizokuwa na mzozo nchini humo. Msemaji wa Kiir amewaeleza waandishi wa habari siku ya Jumapili kuwa bunge jipya litaunda muda si mrefu, ikiwa ni...
  7. Infantry Soldier

    Ni nani alikuwa nyuma ya kuvunjika kwa Taifa la Sudan? Je, ilikuwa ni vita ya mabeberu dhidi ya uchumi (mafuta) wa Omar al-Bashir?

    Habari za wakati huu waungwana wa jamiiforums. Ni nani alikuwa nyuma ya kuvunjika kwa taifa la Sudan? Je, ilikuwa ni vita ya mabeberu dhidi ya uchumi (mafuta) wa Omar al-Bashir? Ni kweli kwamba wazungu walijua kiburi cha Al Bashir kilitokana na hazina kubwa ya mafuta hivyo wakaamua kuchochea...
  8. SteveMollel

    Mkasa wa wakimbizi wa Sudan na Apeth (na mikasa mingine)

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Karibuni tena. Kwa tahadhima, ninaomba nijibu mahitaji ya watu juu ya mfululizo huu wa 'nyuzi' za visa vya filamu kwa kutuma uzi huu wa tisa sasa kwa mfululizo. Nakiri ni muda sasa lakini natumai hakuna kilichoharibika. Kwa 'weekend' hii...
  9. Pununkila

    Wachezaji nane wa Al Merrikh wakutwa na Corona. Wenyewe wadai kuhujumiwa

    Muda mfupi kabla ya mpira kuanza, ripoti ya Corona imeonesha wachezaji nane wa Al MERRIKH ya Sudan wana maambukizi ya virusi vya Corona. Kupitia ukurasa rasmi wa Istagram wa Al Merrikh umeripoti kuwa wanaamini ni mpango wa kuwadhoofisha ambao umechezwa jambo ambalo limewafanya wapeleke file...
  10. Shadida Salum

    Klabu bingwa Afrika: Simba ugenini kuchuana na Al Merrekh

    Al Merrekh watawakaribisha wababe wa Msimbazi katika Dimba la Al Hilal huko Khartoum saa kumi jioni, katika mchezo huo Wasudan watatafuta kupata ushindi wao wa kwanza katika hatua ya makundi ya mashindano hayo Al Merrikh watawakaribisha Simba SC ambao wameshinda michezo yote miwili ya...
  11. comte

    Wachezaji wa Simba wapimwa corona huko Sudan na majibu yanaonyesha hawana

    Kwa nyakati tofauti katika mashindano ya Kimataifa kama Ligi ya mabingwa Afrika na mengineyo kunakuwa na madai ya figisu inapofika kwenye vipimo vya covid 19. Kikosi cha Simba kilifanya vipimo hivyo jana Februari 4 asubuhi katika kambi yao hapa katika hoteli ya nyota tano ya Al Salam. Majibu...
  12. Analogia Malenga

    Sudan Kusini itabadili muda kwa saa 1 kwa kuhama ‘time zone’

    Sudan Kusini imepanga kubadili muda kuanzia Februari 1 ambapo itakuwa saa moja nyuma ya saa za Afrika Mashariki Wanarudi kwenye ukanda wa muda wa UTC +2 ambapo kwa sasa wapo UTC +3. Katibu wa Kazi Hillary Wani Pitia amesema kijiografia UTC +2 ndio sahihi kwa Sudan Kusini. Nchi inaweza kuseti...
  13. MK254

    Barabara ya kutokea Kenya kwenda Sudan Kusini full mtelezo kwa raha tu yaani

    Ukanda huu tunazidi kuufungua. Uzuri Sudan Kusini walishaacha kupigana pigana, ni mwendo wa biashara na amani sasa. ===== Northern Kenya is undergoing a transformation following the upgrade of a key link road between Kenya and South Sudan. The South Sudan Link road project is being undertaken...
  14. N

    Kocha wa El Merreikh ya Sudan kujiunga Simba

    Ni mfaransa, karibu sana simba kwanza tunataka utuhakikishie points atleast 4 toka kwa hao waajiri wako wa zamani. Kocha wa klabu ya Al Merreikh ya Sudan Didier Gomes da Rosa ameachana na klabu hiyo. Taarifa zinadai huenda akawa kocha wa mabingwa wa Tanzania Simba SC.
  15. U

    Show ya Diamond Platnumz yajaza watu 100,000 Sudan

    Hakika huyu kiumbe kashindikana. Hii ni zaidi ya ile ya kigoma
  16. Cvez

    South Sudan kwa kikosi chao wataipa changamoto timu ya Taifa Stars katika CECAFA U20

    Hawa jamaa ni hatari na wanawapa watangazaji wetu katika wakati mgumu kutangaza magoli. Hasa hao wafungaji wawili wa mwanzoni.
  17. C

    Wakenya wazuiwa kuingia Falme za Kiarabu (UAE)

    Wakuu nimekutana na hii kitu, majirani zenu na watani wa jadi wamezuiwa kuingia Dubai (UAE) Africa pia zimo Libya, Tunisia na Somalia. ===== The United Arab Emirates has stopped issuing new visas to citizens of 13 mostly Muslim-majority countries, including Iran, Syria and Somalia...
  18. Miss Zomboko

    Sudan yafunga mpaka wake na Ethiopia kutokana na mapigano yanayoendelea Tigray

    Sudan imeamua kufunga mpaka wake na Ethiopia baada ya mvutano kati ya serikali ya shirikisho na utawala wa mkoa wa Tigray. Kulingana na shirika rasmi la habari la Sudan, Fethurrahman al-Emin, gavana wa jimbo la Kesele kwenye mpaka wa Eritrea na Ethiopia, amesema kwamba baada ya mapigano huko...
  19. Geza Ulole

    Uganda Starts Construction Of Logistics Hub Near South Sudan Border

    Business between South Sudan and other east African countries downstream is expected to become much easier when Uganda completes construction of a modern logistics hub just closer to the border with its northern neighbour. Uganda’s President Yoweri Museveni is expected in Gulu district in...
  20. Webabu

    Baada ya Sudan kutangaza uhusiano na Israel, Wananchi wapinga

    Kwa majigambo makubwa juzi raisi Donald Trump wa Marekani alitangaza kutoka ikulu ya Marekani juu ya kurudishwa kwa uhusiano baina ya Israel na taifa la Sudan. Hata hivyo tangazo hilo limepingwa vikali na wananchi kupitia vyama vikuu vya kisiasa.Anayeongoza kupinga uhusiano huo ni Sadik El...
Back
Top Bottom