Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.
Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya...
Mameneja watatu wa shamba huko Baringo wafikishwa mahakamani wakikabiliwa na shitaka la kuweka sumu kwenye chakula na kusababisha vifo vya watu wanne na wengine kuathirika.
Watatu hao, ambao ni wasimamizi wa shamba walitambulika kwa majina ya Paul Kinyua na Evans Oyugi, na Nelson Letite...
Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia nchini Tanzania, baada ya kula mihogo inayodaiwa kuwa ilikuwa na sumu.
DW imezungumza na Dr. Sadick Sizya kuhusu madhara ya kiafya yanayoweza kusababishwa na mihogo mibichi ama michanga.
Frederick Sumaye ameita waandishi wa habari leo Jumatano Desemba 4, 2019.
Sumaye ameitisha mkutano huo siku chache baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani.
Licha ya kuwa mgombea pekee, alipigiwa kura 48 za hapana kati ya kura 76.
Kulingana na taratibu za chama hicho...
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.
Ghafla maswali machache yanaibuka:
Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama...
Nawaulizeni tu makada kindakindaki mliopo hapo Lumumba na wale Wakereketwa wa mashinani huko visiwandui Unguja, Je nyie sumu mnaonja kwa kulamba?
Hili ni swali la kiuchaguzi kwa sababu nimelipata katikati ya mihemuko ya uchaguzi huko Ufipa.
Watu wenye ulinzi wa kutosha wa kitaifa wameogopa...
Rais Magufuli akiwa kwenye uzinduzi wa Kitabu cha Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mzee Benjamin Mkapa amefunguka mambo makubwa mno hajawahi kuyasema popote, mambo aliyoyasema ni pamoja na utendaji kazi wake uliomkosha Mzee Mkapa, Kuchukiwa na mawaziri na viongozi wengine wakubwa mpaka kunyweshwa...
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema serikali imeshaanza mazungumzo ya namna ya kupata ndege ya mizigo kwaajili ya kubeba mazao ya mbogamboja kuyepaleka nje ili kuwasaidia wakula.
Ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumatano Novemba 13, alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
Mjomba wa Mtoto Aliyenyweshwa Sumu, Kizimbani. Ashitakiwa Kwa Jaribio la Kuua, RCO Aomba Asidhaminiwe.
Christopher Charles (23) ambaye alikuwa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) cha Mkoa wa Dodoma, jana Oktoba 24, 2019 amefikishwa mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Mkoa huo, Lucas Jang’andu...
Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
-----------------------------------------------------------------------------------------
MREJESHO:
nawashukuru kwa msaada. Paka Yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.