Wengi wanajutia au hata kufurahia uamuzi wao wa kujikuta wanachungulia ujumbe na mawasiliano ya wenzao katika simu zao za mkononi lakini matokeo yake ni jambo ambalo hawakulipangia.
Ni kifaa kidogo cha mkononi ambacho kilifaa kurahisisha mawasiliano miongoni mwa watu.
Lakini sasa hivi kama...
Wamekutana na kujadili namna ya kushughulkia hilo tatizo ili kuboresha soko ukanda wote huu, ikikumbukwa walivyopiga makelele wakati walipoambiwa warekebishe, wenyewe wanafahamu hilo tatizo kimya kimya halafu walitaka kulazimisha kwa kupiga ukunga.
Wamelalamika kwamba TBS ndio huwakwamisha kwa...
Mtu mmoja ambaye amebainika kuwa ni mganga wa jadi, Robert Masumbuko, amefariki dunia mkoani Tabora wakati akijaribu kuwaaminisha wateja wake kwamba ana uwezo wa kuwapatia kinga dhidi ya sumu yoyote ambayo mtu anaweza kuinywa pasipo kudhurika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo...
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.
Hili kwangu...
Nakuona ITV sasa umetoa sentensi hiyo kuwa wzungu wanaleta vitu vya sumu huku afrika deliberately ambayo nina uhakika you can not substantiate. Usitake "kuropoka" kama Jiwe.
Humu ndani hatuna uwezo wa kuhakiki composition ya chanjo maana hata technology iliyotumika kuitengeneza sijui kama tuna...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro amesema watu wawili wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 40-42 yaliyotokea katika mtaa wa Kanyerere kata ya Mkuyuni mkoani humo.
"Kando ya mwili wa marehemu kulikutwa ujumbe uliosomeka...
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umeomba radhi iwapo kuna mahali walitofautiana kimtazamo na makundi mengine na kutaka vijana wengi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika majukumu yake ya kuiongoza nchi.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jumapili Machi 28, 2021 na mwenyekiti wa...
Duniani kuna zaidi ya aina 3,000 zilizogundulika hadi sasa. Katika aina hizo ni 600 tu ndio wenye sumu.
Katika nyoka wenye sumu, ni aina 200 sawa na 7% ndio wana sumu ya kuweza kumuua binadamu.
Nyoka wengi huonekana nchi kavu, lakini 70% katika aina za nyoka waliopo wanapatikana kwenye maji...
Hivi karibuni kuibuka mjadala baada ya Kenya kuzuia mahindi kutoka Tanzania kwa sababu yana sumu kuvu inayopelekea vifo vya wakenya
Katika maktaba tumegundua suala la sumu kuvu ambayo huiotea mazao mengi ya nafaka imekuwepo tangu 2016 ambapo katika wilaya za Chemba na Kondoa Wilaya ya Dodoma...
SUMUKUVU, VICHOCHEZI,
MADHARA YAKE NA UDHIBITI
________________________________
______
19 AUG, 2020
USUNGILO HOTEL
(Yusto Wallace)
Utangulizi
Shirika la Viwango Tanzania (TBS)
Ni shirika la umma chini ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, lililoundwa chini ya Sheria ya Viwango, Nambari 3...
Kwa mujibu wa Shirika la Afya pamoja na Shirika la chakula na Kilimo Duniani (2018) wanaitafsiri sumu kuvu kuwa ni aina ya ukungu unaojitokeza kwenye nafaka kutokana na kuvu (fungi) jamii ya Aspergillus, Fusarium na Penicillium.
Sumu kuvu "mycotoxins" huweza kuzaliwa kwenye nafaka, matunda...
Waziri wa Kilimo Prof Mkenda amesema kesho zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige litaendelea baada ya rubani aliyetelekeza ndege pale Kilimanjaro kurejea.
Mkenda amesema kuna kundi la nzige wadogo wameelekea Monduli hivyo wanawafuatilia ili wawatekeze.
Pia Simanjiro zoezi halikukamilika kutokana...
Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya.
Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho...
MV PROBO KOALA hii ilikuwa ni meli ya kubeba mafuta iliyokuwa imekodiwa na kampuni ya Traffigura yenye makao makuu nchini Singapore. Meli hii ilikuwa na usajili wa nchi ya Panama na kumilikiwa na kampuni ya wagiriki Prime Marine Management Inc.
Meli hii ilikuwa imebeba petrol yenye ubora wa...
Nina kiduka changu maeneo ya Mbingu huku Morogoro Vijijini
Kuna jamaa jana kaja kakopa sumu ya panya nikampa akiahhidi kuwa angelipa asubuhi, kumbe kaenda kujiua, sasa nawaza ndugu zake wanilipe kwa kuwa ndio faida yenyewe aisee
Kwa huku Nilipo mara nyingi mzigo naufuata Ifakara sasa nawaza...
MKAZI wa Kijiji cha Mwenge, Kata ya Mtina wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, Neema Athumani (24), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake kwa kumwekea sumu ya panya kwenye soda.
Taarifa za tukio hilo zinadai kuwa mwanamke huyo alitekeleza mauaji hayo Desemba 24, mwaka huu, baada...
Mama mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Regina Daniel (24) mkazi wa Louxmanda Kijiji cha Bashnet Wilaya ya Babati mkoa wa Manyara, anatuhumiwa kuwauwa watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodaiwa ni ya Panya .
Tukio hilo la kusikitisha limetokea Desemba 5 mwaka huu ambapo...
Unakuta Ndugu au Rafiki yako kabisa labda amepatwa na Msiba wa Mzazi wake lakini Wewe ambaye pengine kwa sasa anakuona huna Kipato (Pesa) hakutaarifu au unakuja Kusikia kutoka kwa Watu wengine. Na kama haitoshi hapo hapo tena unakuta Ndugu yako kabisa labda anauguza Mzazi wake lakini hakutaarifu...
Kwanza: Wao sera yao ni ya majimbo .hivyo miradi mikubwa ya kitaifa kwao haina maana maana miradi mikubwa ya kitaifa ni kwa ajiri ya taifa na siyo jimbo.Hivyo mtu kutoka majimbo ya sera ya chadema anaona wivu mkubwa kwa sababu anahisi kodi yake ingebaki jimboni Kwake ili inufaishe watu wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.