sumu

  1. K

    Uchaguzi 2020 Kilochopelekea Tundu Lissu kwenda kwa haraka kumwaga sumu Zanzibar

    Ndugu watanzania wenzangu, Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo. Kwa kifupi sana, nadhani baada ya Tundu Lissukuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi...
  2. K

    Uchaguzi 2020 Wagombea wenye mentality kama hizi, ni hatari sana kwa musitakabali wa amani yetu

    Ndugu zangu, Kwa kifupi, Nilikuwa namsikiliza Mh. huyu katika maongozi yake, ila inaonekana kama amekaa kaa kishari kishari vile () Kama akishindwa itakuaje sasa? Maana sioni vyama vingine kama vinatoa vitisho tisho kama hivi, upande huu kuna nini? Asante, Nawasilisha Kejuu
  3. Kurzweil

    Kiongozi wa Upinzani Nchini Urusi, Alexei Navalny akimbizwa Hospitali baada ya kuwekewa sumu kwenye chai

    Alexei Navalny ambaye amekuwa mstari wa mbele wa kuipinga Serikali ya Urusi inayoongozwa na Vladimir Putin ameripotiwa kupewa sumu na kukimbizwa Hospitali akiwa hajitambui. Inaelezwa kuwa Alexei ambaye amejipambanua kama mwanaharakati wa kupinga rushwa amewekewa sumu hiyo kwenye chai yake...
  4. B

    Uchaguzi 2020 IGP Simon Sirro akutana na Wadau wa Uchaguzi 2020, aitaja JamiiForums na Mitandao mingine kama changamoto ya Uhalifu wa Kimtandao sababu ya Teknolojia

    Ikiwa imebaki miezi michache kufikia mwezi Oktoba, mwezi ambao uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 utafanyika nchini, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Inspekta Jenerali, Simon Sirro, leo Agosti 19, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa vyama vya siasa, pamoja na Tume ya Taifa ya...
  5. Titicomb

    Kitaalamu Nyongo ya Mamba [crocodile bile] siyo sumu, wachina hutumia kama vumbi la Congo kwenye ngono

    Kwa mujibu wa utafiti wa mwaka 1984 wa Prof. Norman Nyazema mbobezi wa Pharmacology wa huko Zimbabwe anasema nyongo ya mamba siyo sumu na taarifa zinaonesha ikikaushwa na kusagwa inauzwa nchi za Asia kama uchina kwa matumizi ya kuhamasisha tendo la ngono ( aphrodisiac ) kama lile vumbi la...
  6. GENTAMYCINE

    Serikali na BASATA upigeni marufuku upesi wimbo mpya wa Msaga Sumu kwani una Matusi matupu na si wa kimaadili pia

    Maneno yake ya Ubeti wa Kwanza kutoka Kwake Msaga Sumu. " Nina hamu ya Nyumba ya Kupanga " Kisha Mwanamke aliyemshirikisha anamjbu Msaga Sumu. " Nyumba yangu ina Vyumba viwili tu je, unataka vyote au nikupe Kimoja tu? " Msaga Sumu anaendelea. " Nataka Kimoja tu ila kama kina Vumbi...
  7. Analogia Malenga

    Kenya: Mwanamke atuhumiwa kuwaua wanaye kwa sumu

    Mama mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Beatrice(42) amewaua wanae wanne kwa sumu, Mjini Naivasha Kenya. Watoto hao ni wana umri kati ya miaka miwili hadi minane Imedaiwa ya kuwa mwanamke huyo alikuwa amesimamishwa kazi kwenye Taasisi isiyo ya kiserikali, NGO mjini humo miezi miwili iliyopita...
  8. Kawe Alumni

    Ikulu: Rais Magufuli awataka watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia viapo vyao. Awaasa kuridhika na nafasi walizo nazo, siyo kukimbilia Ubunge

    Tunasubiri tuone atasema nini Rais Mzalendo Magufuli ------ UPDATE---- Rais Magufuli leo amemwapisha Idd Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha anayechukua nafasi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Mrisho Gambo baada ya kutenguliwa Juni 19, 2020. HOTUBA YA RAIS MAGUFULI (KWA UFUPI) Nami niungane...
  9. M

    Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

    Tukio la Askofu Pius Ikongo kutekwa na watu wenye silaha aina ya bastola wakiwa na magari mawili na kufunikwa na kitambaa chenye sumu na kupata madhara makubwa mwilini linasikitisha sana. Kinachoumiza ni kutokamatwa wala kuhojiwa kwa watesi wake licha ya kuwatambua na kuwataja kwa majina...
  10. Mzukulu

    Ni kwanini Nyoka yoyote mwenye Sumu Kali akikutana na Mtoto Mchanga au Mdogo hawezi kumdhuru na atakuwa anacheza naye tu?

    Nasikia kuwa kuna Siri Moja kubwa sana ya Kimungu na Kimaajabu katika hili hivyo nataka Kulithibitisha hili kutoka kwenu Wajuzi hapa Jamvini JF.
  11. William Mshumbusi

    Huwa nafikiria sana haya, Hivi Nkurunzinza alikufa na Corona au ameuawa na sumu za kisasa. Ilikuwa sahihi sana Viongozi wetu kuwa sehemu salama

    Hii Corona ukiifikilia kwa undani ipo na Siri kubwa. Kwa wanaotafakari kwa undani lazma wajiulize hivi ilikuwaje. Mara Waziri wa afya Uingereza kaugua korona, kidogo Waziri mkuu oh Mara imeingia ikulu ya Marekani. Kwa wataalamu wa Mambo huwenda ilikuwa sio kwa bahati mbaya ili ionekane wazi kuwa...
  12. Mystery

    Tunaomba Polisi watujulishe kuhusu upelelezi wao juu ya wale waliomnywesha sumu Mzee Mangula

    Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula. Katika taarifa yake hiyo alitutueleza...
  13. B

    Taharuki!kiwanda cha A-Z chadaiwa kutiririsha maji yenye sumu ,watu na mifugo wako hatarini

    Taharuki!kiwanda cha A -Z chadaiwa kutiririsha maji machafu yanayosababisha athari kwa watu na mifugo. Katika hali isiyo ya kawaida baadhi ya wananchi wa kata ya Ormoti jijini Arusha wamekilalamikia kiwanda cha A -Z kwa kutiririsha maji machafu yanayoleta athari kwa wananchi na mifugo...
  14. Erythrocyte

    Ushauri : Viongozi wa Chadema waliofungwa Segerea wakapimwe kama wamewekewa Sumu

    Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma. Mungu ibariki Chadema
  15. mwanamwana

    Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

    Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ikishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na Taasisi mbalimbali imebaini kwamba ndani ya mwili wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Mangula kulipatikana na sumu,uchunguzi kuhusu tuhuma ya sumu hiyo ilivyoingia mwilini upelelezi bado unaendelea...
  16. Suley2019

    Watoto wawili wafariki na wengine kumi na moja wafikishwa hospitalini baada ya kula vibama/mabumunda yenye sumu

    Watoto wawili nchini Uganda wamefariki dunia huku wengine 11 wakipelekwa hospitali baada kula kitafunwa aina ya chapati kilichotengenezwa kwa sumu ya kuua wadudu badala ya mafuta. Watoto wote 13 wanatoka familia moja magharibi mwa Uganda na inasemekana kwamba waliokuwa walikuwa na umri wa 5 na...
  17. mabuladaud

    Mtego wa Jana Sumu

    Kwa hali ya Maisha iliyopo saivi Ni bora nisioe au nioe basi tuu maana kuzini kumekuwa kama jambo la kawaida. Nipo hapa geto naishi na jirani yangu ambaye ni mfanya kazi mwajiliwa wa sarikali, pia ameoa, NA mimi ni mwanafunzi bado. Sasa kinacho nipa shida kila siku ni kuwaza kuhusu hawa...
  18. BASIASI

    Sio kila mfuko unaoachwa kwenye gati ea kufungua vingine sumu

    Tumepita hapa Magomeni tukaona watu wanakimbizana kushuka kwenye vioo vya basi nikahisi linawaka moto dereva wetu akasimamisha, kusogea naona watu wanashuka na kukimbia Kuulizia tunaambiwa kuna mtu kaacha mfuko alie pembeni akahisi una kitu alipofungua ni nyuki wanapishana kwenye viti na kuuma...
  19. beth

    Songwe: Aliyehitimu Kidato cha nne anywa sumu kwa kupata ufaulu wa daraja la nne

    Michael Aroni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata Daraja la IV la alama 26 katika matokeo ya Kidato cha 4 yalitolewa jana Michael amehitimu Shule ya Sekondari St. Agrey na alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la kwanza ila matarajio yake...
Back
Top Bottom